The World is a flat plane and not a globe

Mkuu kumbuka hata hawa Jamaa wa flat Earth hawataki kutoa ushirikiano wa kutosha ktk maswali wanayo ulizwa! Mfano Swali limeulizwa kuhusu picha ya hizo dome3 za vioo zinazo ifunika Dunia.Aliye piga picha ya hizo Dome zote 3 aliwezaje,iwapo roket inashindwa kupenya na kutoka nje ya dome ya kwanza tu?! Hata katika vitabu vya Dini hiyo habari ya Dome ya kioo kuifunika Dunia haija andikwa! Tungesema wanao pinga flat Earth iliyo funikwa na dome za kioo wanapingana na Mungu! Sasa Jamaa huyo mwingine utetezi wake ni kutuwekea Vijumba na Majengo yenye Dome kwa juu!
 
Kuna mmoja humu alikuwa na majibu mfano wa hilo. Yaani anataja majina tu, hoja hajengi, ukiona mtu anataja sana majina bila kujenga hoja, ujue hana hoja zaidi ya kutaja majina, na nikamwambia kutaja majina kazi rahisi sana na huenda nikawa nauwezo wa kutaja majina kuzidi yeue, ila tunachotaka sisi ni hoja.

Tuko pamoja kaka.
 
ha haaa..kumbe tumepatikana wengi humu, spherical earth bye bye
Mkuu wasomi wetu akina baba swalehe hawawezi kutuelewa kwa sababu wamesoma mavitu Mengi ambayo yapo complicated na kuyabugia.

Si unaona hapa baba swalehe hatoi ushirikiano kwa sababu hana lugha rahisi ya kutuelezea tukaelewa juu ya hili,atakupelrka kwenye madudu ya physics wakati jambo hili anaweza khhoji hata mtu asiyejua physics.

Na hyo inadhihirisha kuwa wasomi wetu wameletewa dini mpya ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo ni baba swalehe huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamekariri hawajasoma
 
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
 
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
Sahihi mkuu na hoja nyingi za dunia duara wanazotoa kuthibitisha pia zinathibitishika kwa dunia flat.

Hoja kubwa ilikuwa ya baharini kuona meli inapanda kila inapozidi kuja.ila ismejibiwa fresh tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VITABU VYA DINI NDO KABISAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka eti kuyabugia duh
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimekusoma, nadhani hizo domes ni imaginary kutokana na ancient beloefs kwa sababu elimu ya globe earth imekuja hivi majuzi tu. Kwa sasa nafuatilia expeditions mbalimbali huko Antarctica, inaonyesha kuna jambo limefichwa kabisa.

Mpaka sasa nimeweza kuzikubali facts kadhaa mfano:

1. Hakuna carveture ya dunia kwa kutumia vitu hakisia zaidi ya kwamba ipo kimahesabu (theory) tu

2. Hoja ya meli kutokeza ni perception tu

3. Hakuna mwanadamu ama chombo kilichovuka parking orbit mpaka sasa (maneno ya mwanasayansi wa NASA akiwa ISS)

4. Kwa kuzingatia hilo ina maana safari ya mwezini ni hoax

5. Dunia ina centre ambayo ndio NORTH POLE ndio maana sumaku zote zinaelekea huko.

6. Kila nikitazama mwenendo wa jua nashawishika kuwa haliwezi kuwa na ukubwa unaosemwa wala huo umbali wa km milioni 150

7. Mwezi unaweza usiwe mchanga kwa sababu kuna kioindi unafifia na tunaweza kuona upande wa pili kupitia huo huo mwezi

8. Kwa nini ndege hazirekebishi uelekeo kufuata umbo la dunia?

9. Nakubaliana na hoja kuwa picha zote za dunia ni CGI

10. Kama umbali uliochimbwa kwenda chini ni 12.3 km pekee, tunajuaje yaliyopo huko?

11. Kwamba dunia inazunguka haiingii akilini hata kidogo, yako mengi yanayokataa logic hii.

12. Kwa nini land navigation (Topographical maps) haizingatii umbo la dunia?

13. Kwa nini meli zinatumia flat earth model?

14. Gravitatinal force ni halisi?

Etc, etc. Nahitaji mwanasayansi wa globe earth anisaidie kwenye hayo ili nisipotee.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
Yaani wana hoja zinazoeleweka zaidi na hazihitaji formula ndeefu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Hutakiwi kuanza kuzungumzia flat this and flat that kabla huja define flat ni nini.
 
When viewed from above, YES. Haya rudi kwenye mada

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Sijauliza "are mountains flat when viewed from above?".

Nimeuliza, are mountains flat?

Mbona hujibu swali nililouliza na swali unalojibu sijauliza?
 
Kuhusu kupotea kwa meli, ni upeo wa macho tu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Sijauliza "are mountains flat when viewed from above?".

Nimeuliza, are mountains flat?

Mbona hujibu swali nililouliza na swali unalojibu sijauliza?
Nashughulika na hoja ya msingi, you have a dictionary to your aid.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Kuna hoja moja nimekutana nayo imenishtua kiasi, naomba mchango wenu. Hubble space telescope imeweza kuzoom na kupiga picha black hole umbali wa miaka milioni 53 ya kasi ya mwanga, lakini haiwezi kupata picha safi kabisa za Appollo landing site kwenye mwezi. Hii imekaaje?

By the way tukisema light year mqana yake kama ukisafiri umbali husika kwa KASI YA MWANGA basi utatumia miaka hiyo kufika huo umbali. Mfano hapo juu ni kuwa, kama mtu ama kifaa kitasafiri toka duniani kwa kasi (speed) ya mwanga, basi kitatumia miaka milioni 53 kufika kwenye black hole tuliyopigiwa picha!! Miaka milioni 53 kwa speed ya mwanga!!!!

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…