The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

That was great Zurri
Ila issue pia ni vipi unapima ile information kama ni valid or invalid,kuwe na measures,evidence,akili yako binafsi inaonaje(hypothetical thinking),value of information is it worthy to balance the argument and make it off the table ,kutoka wapi as you said is it a valid source n.k
Hayo ya kulipua sio ya msingi.

Mathalani mimi nijuavyo na hili lisiwe mjadala kwa sasa. Marekani na Irani wamoja. Hapa wakubwa tunasema tunaweka kiporo.

Tatizo sio kufatilia tatizo ni kuthibitisha, je ushawahi kuhoji lolote pindi ulipokuwa unafatilia na kaka ulihoji, ulihoji nini na ulitumia nguvu kiasi kupata majibu ya kile unacho hoji na je ulipata majibu ? Kaka leo hii watu wanafatilia mangapi lakini hawapati ukweli jui ya hayo wanayoyafatilia ? Ukweli uko wazi sababu tu wao wanataka muone kile wanachotaka wao muone na wanajua wanapenda kuona basi mnaonyeshwa.

Jambo lingine, nilifundishwa nikiwa nafatilia jambo fulani kitu cha kwanza kufatilia na kukijua na kukitilia mkazo ujue ni wapi unachukua habari za kweli juu ya kile unachokifatilia. Usipojua wapi pakuchukua hili ndio tatizo kubwa kuliko ufatiliaji wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama NASA wamefanya project za mabilioni ya dollar miaka yote kumbe wanatuongopea walaaniwe. Na kwanini watuongope kwa faida gani sasa?

Kwani sisi tukijua dunia ipo flat inatuongezea nini au inatupunguzia nini?

Mimi sasa hivi nikitangaziwa dunia ni flat nitafanya nini kwani nitajiua? Au kwani nitakwenda huko mwisho wa ncha ya dunia na sururu au shoka nianze kupasua kioo nitoke nje ya dunia?

Na kwanini Russia, Japan, Korea, China wapo kimya ilihali kila mara wanarusha vyombo vyao huko nje ya dunia?

Ila hii la dunia flat linamaswali mengi sana

Hizi habari za dunia ipo flat sio za kupuuzwa otherwise lifanyike jambo la kuprove dunia ni spherical shape.

Swali kuprove dunia ni flat nini kifanyike?





Sent using Cash Money Wings
kwanza kabisa kama tunafundishwa ni mviringo ina maana tuliamini ni tambarare au kama kama si hivyo basi swali lako lirudie tena kwakujiuliza, kwanini watufundishe ni mviringo je wangetuacha kungetokea nini? Kama tulidanganywa wao waliathirikaje?

Kuipata picha ya jua linavyoizunguka dunia tumia saa yako ya mshale... ule mshale wa saa upe kidoti, hiko kidot kichukulie kina mwanga, je huo mwanga utamulika sehemu yote ya namba?

pia jua halizunguki upande mmoja wa dunia, linapokua pembezoni, nchi za katikati ya dunia hasa huko ulaya huwa kuna baridi, na likiwa karibu na centre ya katikati ya dunia nchi za pemvezoni huwa na baridi na linapokua katikati ya pembezoni na centre ya funia yaani ikweta ndio nchi kama yetu tunakoma na jua la utosi... ila kumbuka kuzunguka kwake ni kama mzunguko wa mshale wa saa.

Sas waza kidogo, kama mababu zetu walilitumia mzungukowa jua katika kutambua muda, Mzungu hajatuzidi akili kwakuuhamishia mzunguko huo katika saa ya mshale na tukspata muda uleule ila kwa nyakati azitakazo yeye..... nikiwa na maana kwamba, kuna wakati jua ni la saa mbili hasubuhi ila saa zinatuambia ni saa 12 asubuhi.

kama ungemuuliza babu wa enzi hizo kwakuangalia jua anguambia ni saa 2 ila kwa kuangalia saa ya mzungu itadomeka saa 12...

Kwa mawazo tuu, kipi chakukiamini kati ya sayansi na nature?..... jibu lako lijibu kwakuliangalia jua kwanza.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maswali naona yamekosa majibu kabisa.

1. Kama duniani ni flat then northen hemsphere ndio centre ya dunia as kwa hizo ramani za flat earth mnazotuonesha. Then kama jua linaizunguka dunia huko pembeni basi hili eneo lilipaswa kuwa na total darkness au constant amount ya mwanga. Lakini uhalisia haupo hivyo, Hili limekaaje?

2. Ni kuhusu jua la utosi. Kama jua linaizunguka dunia then maana yake kila masaa 24 jua linakuwa limefanya mzunguko mmoja. Kwa maana hiyo tunategemea maeneo fulani kupata jua la utosi kila siku. Kitu ambacho hakipo. Hili nalo linakaaje? Nchi kama Egypt inapataje jua la utosi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maswali naona yamekosa majibu kabisa.

1. Kama duniani ni flat then northen hemsphere ndio centre ya dunia as kwa hizo ramani za flat earth mnazotuonesha. Then kama jua linaizunguka dunia huko pembeni basi hili eneo lilipaswa kuwa na total darkness au constant amount ya mwanga. Lakini uhalisia haupo hivyo, Hili limekaaje?

2. Ni kuhusu jua la utosi. Kama jua linaizunguka dunia then maana yake kila masaa 24 jua linakuwa limefanya mzunguko mmoja. Kwa maana hiyo tunategemea maeneo fulani kupata jua la utosi kila siku. Kitu ambacho hakipo. Hili nalo linakaaje? Nchi kama Egypt inapataje jua la utosi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok
IMG_20200129_220926_681.JPG
IMG_20200129_220901_650.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kama duniani ni flat then northen hemsphere ndio centre ya dunia as kwa hizo ramani za flat earth mnazotuonesha. Then kama jua linaizunguka dunia huko pembeni basi hili eneo lilipaswa kuwa na total darkness au constant amount ya mwanga. Lakini uhalisia haupo hivyo, Hili limekaaje?

Hujibiwi sababu maswali yako ya uongo. Kwanza hakikisha maswali yako na uyafanya yawe kweli. Maswali yako mfano wake ni sawa mtu aseme au uambiwa "Mungu ana nguvu kuliko chochote, halafu uulize je Mungu huyo anaweza kuumba kitu ambacho kina nguvu kuzidi yeye? " Hili sio swali bali ni wasi wasi ni matumizi mabaya ya akili.

Hakiki kwanza uwepo wa hicho unacho kidai kisha uulize swali la kweli.

Pili, hatusemi Jua lina zunguka bali jua linatembea katika njia zake.
2. Ni kuhusu jua la utosi. Kama jua linaizunguka dunia then maana yake kila masaa 24 jua linakuwa limefanya mzunguko mmoja. Kwa maana hiyo tunategemea maeneo fulani kupata jua la utosi kila siku. Kitu ambacho hakipo. Hili nalo linakaaje? Nchi kama Egypt inapataje jua la utosi?

Pili, marejeo ya urefu wa siku nani akikwambia ni masaa 24 haya ni makubaliano ya watu,makubaliano ambayo hayabadilishi maumbile wala nidhamu ya jua. Usahihi wa mahesabu ni kucha na kuchwa kwa jua.

Kwahiyo swali lako hili pia ni la uongo. Uliza maswali ya kweli.
 
FLAT EARTHERS MNAWEZA MKATUMIA FLAT EARTH APP KUWEZA KUONA PHASES ZA MOON CURRENTLY,JUA LIPO WAPI NA MUDA HAPOHAPO

ANGALIA MASAA NA PICHA NA ANGALIA AFRICA ....

OUR WORLD IS FLAT UNDER THE DOME.

GLOBALISTS USIKU MWEMA.
IMG_20200129_225728_919.jpeg
807.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom