The World is a flat plane and not a globe

Mbona kitu kidogo sana...satellite zinakua launched live kabisa kila mtu anaona
Ukiweza kunielezea kupatwa kwa mwezi nitakuwa muumini wako mzuri
Mbona kama flat earthers mnapingana wenyewe kwa wenyewe?

Ebu kubalianeni nyie kwa nyie mfike muafaka wote mje na jibu moja kwanza then tuanze kuwahoji na sisi

It's Scars
 
Mbona kama flat earthers mnapingana wenyewe kwa wenyewe?

Ebu kubalianeni nyie kwa nyie mfike muafaka wote mje na jibu moja kwanza then tuanze kuwahoji na sisi

It's Scars
Mimi sio flat earther kama uko juu nimejibu kiflat brain au kiflat earther ujue nlikuwa nawaTroll tu au jokes.....it was sarcasm
 
Asante kwa haya maelezo Mwanamkiwi.
But my question was kwa hawa 'Flat-Earther' kwamba kama hawaamini utafiti uliofanywa kwanini wasiende kujaribu kuangalia hao na watuletee ushahidi kwamba dunia ni flat?.
 
Angalia hio gif vizuri kuna muda jua linakuwa mbele na kuna mda mwezi unakuwa mbele kwenye circulation angalia vizuri na narudi mda si mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajiona yupo sahihi kwa unachokiandika na mwenzako naye anaona yupo sahihi vile vile

sasa mnatuchanganya sisi watazamaji ambao tunataka kujifunza kupitia nyinyi hatuelewi yupi mjuzi yupi mamluki, tunashindwa kujua hoja za nani ni kweli

It's Scars
 
Ukweli unao kwenye ufahamu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni kwa sababu y'all continue to deny all evidence. Na huku kwenda kufanya utafiti wenu ni really expensive hamna huo uwezo mnaishia kusema NASA NASA.
Sisi tuna majibu sahihi hatuna haja ya kurudia rudia kwa kufanya majaribio kwa kufata nadharia.

Yaani tuna shabaha tukilenga hatukosi.
 
Mwenyewe nafatilia hapa,naona kama funia flat wananichukua kwa sababu hoja zao zina mashiko ingawa zinaonekana za kijinga mbele ya wale waliokuwa vizuri kuisoma na kuiamini elimu ya darasani ya astronomy
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe nafatilia hapa,naona kama funia flat wananichukua kwa sababu hoja zao zina mashiko ingawa zinaonekana za kijinga mbele ya wale waliokuwa vizuri kuisoma na kuiamini elimu ya darasani ya astronomy

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si huamini kwasababu ya dini?

Mi nawe tushamalizana ulishanambia jambo lolote ambalo dini itasema we utafata bila kuhoji hata kama ingesema mwanaume aolewe wewe uko tayari kufata, sasa sembuse ushindwe kufata nadharia ya dunia bapa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…