The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Niliuliza definition ya "flat" hapa.

Mpaka sasa sijajibiwa jibu la kueleweka.
 
Asili yako ni??evolution au theology
Wewe si huamini kwasababu ya dini?

Mi nawe tushamalizana ulishanambia jambo lolote ambalo dini itasema we utafata bila kuhoji hata kama ingesema mwanaume aolewe wewe uko tayari kufata, sasa sembuse ushindwe kufata nadharia ya dunia bapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatumia facebook ok.huku pagumu mdogo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
We unatumia google kuweka vi-attachments vyako hapa kama ndo source ya taarifa zako inamaana huna uwezo wa kutengeneza vyako?

Nyie sio tu flat earthers bali hata ubongo nao ni tatizo vilevile
FB_IMG_15801564579314092.jpg
 
Wewe si huamini kwasababu ya dini?

Mi nawe tushamalizana ulishanambia jambo lolote ambalo dini itasema we utafata bila kuhoji hata kama ingesema mwanaume aolewe wewe uko tayari kufata, sasa sembuse ushindwe kufata nadharia ya dunia bapa?
Dini haiwezi kusema mwanaume aolewe sababu huo ni ujinga, ndio maana dini imekataza hilo.

Huwa tunaambiwa mazungumzo yoyote yanayo husu maumbile na viumbe nje ya muongozo wa dini huwa yanaishia kwenye migongano na kukosea kosea.

Sisi tumesoma mambk yenu ya sayansi na tunaishi nayo na kupitia dini ndio imetufanya tuwe makini na kuhoji mambo kwa kutumia akili hasa.

Kwa uchache tuyafuatayo nimeyajua ukweli wake kupitia dini, na hakuna yeyote hata awe mwana sayansi nguli wa kusimama na hoja kupinga haya yafuatayo.

1. Nimejua kupitia kupitia dini hakuna aliye wahi kufika mwezini na hatokuja kuweza, na hapa kua hoja nyingi.

2. Nimejua kupitia dini ya kuwa dunia haitembei bali jua ndio linatembea

3. Nimejua kupitia dini ya kuwa hakuna kutokea kwa jambo kwa bahati mbaya yaani bila sababu.

4. Nimejua kupitia dini ya kuwa dunia ni duara

Na mengine mengi....
 
Dini haiwezi kusema mwanaume aolewe sababu huo ni ujinga, ndio maana dini imekataza hilo.

Huwa tunaambiwa mazungumzo yoyote yanayo husu maumbile na viumbe nje ya muongozo wa dini huwa yanaishia kwenye migongano na kukosea kosea.

Sisi tumesoma mambk yenu ya sayansi na tunaishi nayo na kupitia dini ndio imetufanya tuwe makini na kuhoji mambo kwa kutumia akili hasa.

Kwa uchache tuyafuatayo nimeyajua ukweli wake kupitia dini, na hakuna yeyote hata awe mwana sayansi nguli wa kusimama na hoja kupinga haya yafuatayo.

1. Nimejua kupitia kupitia dini hakuna aliye wahi kufika mwezini na hatokuja kuweza, na hapa kua hoja nyingi.

2. Nimejua kupitia dini ya kuwa dunia haitembei bali jua ndio linatembea

3. Nimejua kupitia dini ya kuwa hakuna kutokea kwa jambo kwa bahati mbaya yaani bila sababu.

4. Nimejua kupitia dini ya kuwa dunia ni duara

Na mengine mengi....
Umejua kupitia dini na huna references,
FB_IMG_15801558853650865.jpg
What a joke but i aint laughin?
FB_IMG_15801558853650865.jpg
 
Ok ngoja nikufundishe hesabu

Flat- 1
Sphere- 0


Kwenye binary numbers

1 - ON
0 - OFF

NADHANI MIMI NA WEWE TUMEMALIZANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usinifundishe hesabu ambazo zinafundishwa mashuleni ambako wewe na wenzako flat earthers mnasema tumejazwa ujinga

unauhakika gani kwamba hesabu hizo unazozijua sio ujinga uliojazwa huko shuleni?

Unataka tuwe wajinga wote?
 
Mjinga ni yule anaombiwa unamwonaje yule paka anayetembea kimaumbile anasema "namwona simba mkubwa anayekimbia.
Usinifundishe hesabu ambazo zinafundishwa mashuleni ambako wewe na wenzako flat earthers mnasema tumejazwa ujinga

unauhakika gani kwamba hesabu hizo unazozijua sio ujinga uliojazwa huko shuleni?

Unataka tuwe wajinga wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga ni yule anaombawiwa unamwonaje yule paka anayetembea kimaumbile anasema "namwona mkubwa kama simba anayekimbia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli huyu paka namuona mkubwa sana mpaka ameweza kutembea juu ya dunia na ku prove kua dunia ni flat kitu ambacho wanasayansi wamekua wakitudanganya si mchezo ujue..
FB_IMG_15801551390465618.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom