REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #921
Sehemu ya dunia tuendeleeKwani mlima ni sehemu ya dunia au si sehemu ya dunia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu ya dunia tuendeleeKwani mlima ni sehemu ya dunia au si sehemu ya dunia?
Basi kama umeghafilika samahani halafu hapo penye neno "kondoo" toa weka neno "mjinga" maana jf wajinga wapoKondoo anatafuta nini jf?na kwanini upoteze muda wako kujadili mada na kondoo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama umeghafilika samahani halafu hapo penye neno "kondoo" toa weka neno "mjinga" maana jf wajinga wapo
Wewe si huamini kwasababu ya dini?
Mi nawe tushamalizana ulishanambia jambo lolote ambalo dini itasema we utafata bila kuhoji hata kama ingesema mwanaume aolewe wewe uko tayari kufata, sasa sembuse ushindwe kufata nadharia ya dunia bapa?
Marejeo ninayo. Kwako marejeo ni nini ? Huchelewi kuwekewa maerejeo ukaanza kuyakimbie.Umejua kupitia dini na huna references,View attachment 1337680 What a joke but i aint laughin?View attachment 1337680
Mbona mnapishana na zurri?Haya tunayojadili hapa hayajafafanuliwa na dini.kwa hyo niko free kujadili hapa.
Ingekuwadini yangu imeeleza kwa uwazi basi usingeniona hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jua halina ukubwa wa kumulika dunia nzima bwana we.Bora mtoto mjanja kuliko kubwa jinga
View attachment 1337679
Marejeo ya dini kwangu ni utopoloMarejeo ninayo. Kwako marejeo ni nini ? Huchelewi kuwekewa maerejeo ukaanza kuyakimbie.
Dunia na jua kipi kikubwa?Jua halina ukubwa wa kumulika dunia nzima bwana we.
Hii picha ni kujifurahisha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnapishana na zurri?
Nyie si dini moja na kitabu chenu ni kuran?
Dunia na jua kipi kikubwa?
Kwamba mi ndo sielewi au
Sielewi utopolo ni nini ?Marejeo ya dini kwangu ni utopolo
Unaelewa utopolo ni nini?
Sasa mbona unafananisha mlima, ambao ni sehemu ya dunia, na chupa ambayo si sehemu ya meza?
Kwamba mi ndo sielewi au
Jamaa huoni kasema ana marejeo yanayo support argument yake?
Nilichosema kuwa ile kauli ya wazi kusema kuwa dunia duara ama tufe hyo kauli haipo katika Qurani,huwenda kukawa na viashiria ambavyo mtu anaweza kuvitumia kuthibitisha upande wake.Kwamba mi ndo sielewi au
Jamaa huoni kasema ana marejeo yanayo support argument yake?
Kwaiyo macho yako yanavyoona basi kile kinachoomekana ndo sahihi?Wewe macho yako tu unavyoona kila siku kipi kikubwa kati ya dunia na jua..?
Yani katika macho yako unavyoona kila siku simu na gari kipi kikubwa kwa unavyoona kila siku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona unafananisha mlima, ambao ni sehemu ya dunia, na chupa ambayo si sehemu ya meza?