The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Wengi sikuwaelewa, lakini nitajibu kwa muktadha na proof za Flat Earth.

Unavyosema wote watakutana US Yakupasa kufahamu ndege zina slight flight direction point moja ya East!

Na hii inadhihirisha hata mpangilio wa continent's kwa (Round/Spherical Earthers) sio sahihi.
Hakuna spherical earth ni project tu inayotumia alot of cash to keep the lie hanging.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kaenda mwezini ,mwezi ni kama illuminary object ukiwa na p9 camera unauona kama kioo flani hivi au gololi ya transparent yenye rangi ya pale light grey...ngoja nikupe picha ya hawa jamaa wanavyotuactia

Sent using Jamii Forums mobile app
You have strong points mkuu.

Mimi mpaka leo napata kigugumizi kusema dunia ni duara.

Ila kwenye density nimekuelewa sana mkuu.

Wanasema gravity kumbe ni kesi ya density tu.

Hahaha huu uzi mtamu haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly
Professionally I'm not an architect ila I'm fascinated by architecture and engineering. Yes, round is 2 dimensional. At the peripheral line there is a dome, and we as humans can never venture beyond. Refer logo ya UN that is the REAL MAP of the earth. (truth hidden in plain sight)

ISAYA 40:22 SUV
"Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;"

Kuna videos from youtube nimepost hapo juu, please keep an open mind unapozipitia.

Sent using Intercontinental Ballistic Missile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes hapa ndo huwa nilikuwa najiuliza .

Yaani tupate mkunjo wa dunia na umbali wa macho kuona.

Kama kuanzia pale nilipo mpaka macho yangu yanapoona ni km 20 alafu dunia inajikunja kwa kipimo flani basi hapo tunapata ukweli flan
Nachokueleza ni kuwa huo umbali ambao unaweza ukapata curvature na usione kitu kwa nadharia ya kuwa dunia ni tufe ni kuwa p9 camera inaona umbali zaidi ya hiyo nadharia na vitu unaviona mfano kila mile 1 ina mkunjo wa inch 8 progressively sasa watu washaona picha umbali wa mile 57 na hakuna curvature

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If we cant venture beyond this peripheral line dome, why can a person fly from say tanzania eastwards to Australia. Then from australlia eastwards to the states, then from the states eastwards again to Tanzania..and he does not find this peripheral. . Soo where is this peripheral located.???
You cant escape through the dome upwards but you can downwards

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini usielezee huo msingi wa kujibu swali kwa swali kama ulivomuelewa socrates then tukaenda sawa..

Elezea hapo mkuu
Kama nia ni kueleweshana na si kujibizana tu, kuuliza swali katika kujibu swali kunaweza kusaidia kuelewesha kuliko kujibu swali kwa jibu. Kunaweza kumfanya mtu apate jibu mwenyewe kwa kufikiri bila kupewa jibu na mtu mwingine, au, kunaweza kumshirikisha vizuri zaidi mtu katika kufikia jibu, na hata akipewa jibu baadaye, anakuwa ameshiriki katika mchakato wa kufikia jibu hilo.

Nitakupa mfano. Mfano huu ni kwa mujibu wa habari za vitabu vya dini, unatoka katika vitabu vya dini, lakini mimi nauchukulia kifalsafa tu.

Inaelezwa Yesu aliulizwa na watu, tumlipe kodi Kaizari au tusimlipe?

Hakujibu mlipeni, au msimlipe moja kwa moja.

Aliomba apewe sarafu. Akapewa. Akaionesha sarafu kwa watu. Akawauliza, sarafu hii ina picha ya nani?

Ukiwa unabeza habari za kujibu swali kwa swali, mpaka hapo Yesu anakuwa kashindwa. Maana kajibu swali kwa swali.

Watu wakamjibu. Wakasema, sarafu ina picha ya Kaizari.

Basi Yesu akawaambia, sawa, kama sarafu ni ya Kaizari/ ina picha ya Kaizari, mpeni Kaizari vya Kaizari.

Yesu angeweza kujibu kwamba mlipeni kodi Kaizari bika kuwauliza watu sarafu ina picha ya nani.

Lakini jibu hilo la moja kwa moja lisingeweza kuelimisha vizuri kuhusu sababu. Kwa nini Kaizari alipwe kodi.

Kwa Yesu kuanza kujibu swali kwa swali, aliwafikirisha waliomuuliza swali kuhusu jambo muhimu kabisa kwenye hilo swali.

Msingi huu wa kujibu swali kwa swali haukuanza kwa Yesu. Ukisoma habari alizoandika Plato kumhusu Socrates utaina kwamba Socrates alikuwa hapendi kutoa jibu la haraka yeye kwa maswali aliyoulizwa, bali alioenda kumuongiza yule aliyeuliza swali kwa utitiri wa maswali ambayo yangeweza kumfanya aliyeukiza seali mwenyewe aoate jibu, au hata akioewa jibu, awe kashiriki katika mchakato wa kulifikia hilo jibu kwa makubaliano, si kwa nsingi wa kuoewa jibu tu.

Ukielewa maandishi ya zamani kama ya Plato alivyiandika kuhusu Socrates na Galileo Galileo katika "Dialogues" utaona kwamba kuna msingi mzuri sana wa kujibu swali kwa swali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka ushahidi hilo unalosema kama limewahi kufanyika.. Hata flight routes za ndege haziko hivyo! Hakuna ndege inayotoka USA kwenda Australia through the Pacific Ocean. Zote zinapitia europe! Ask yourself why

Sent using Intercontinental Ballistic Missile
 
Weka ushahidi hilo unalosema kama limewahi kufanyika.. Hata flight routes za ndege haziko hivyo! Hakuna ndege inayotoka USA kwenda Australia through the Pacific Ocean. Zote zinapitia europe! Ask yourself why

Sent using Intercontinental Ballistic Missile
Usiwe mjinga kiasi hicho erooo... flights do fly over the pacific from australia to The states
 

Attachments

  • Screenshot_20200126-115315.jpg
    Screenshot_20200126-115315.jpg
    105 KB · Views: 18
Na unaamini kwahiyo sasahivi to revolve kwa kasi ya ajabu ok maybe
Tafuta sehemu isiyokuwa na matuta, kisha mwambie dereva aendeshe gari kwa speed kubwa, halafu ulale au usiangalie nje, kama utahisi hiyo speed njoo Tena tukueleweshe kuhusu hiyo 10,000km/hr ya dunia

Au kapande ndege kisha utuambie kama unaweza hisi speed yake ukiwa ndani.

Hivyo ndivyo dunia ilivyo, ingekuwa na speed ndogo ungeihisi lakini ina speed kubwa na kwa sababu imekubeba huwezi kuihisi speed yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.

To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...

READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471

Sent using Jamii Forums mobile app

REALITY, Yawezekana mimi ni kipofu ila would you mind showing me those proofs? Hapa naona picha mbili tuu, Au kama ni hizo naomba udadafue zaidi.
I don't believe in any kind of flat earth conspiracy. I am convinced 100% that it's nonsensical to believe in flat earth.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom