The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Hii statement mkuu in ukakasi sana... hata mtu wa darasa la tatu B atahoji sana... naomba jazia nyama nyama tukuelewe vizuri.
Yani dunia ni kama nusu chungwa halafu zungushia nusu ya bubble juu yake,mfano hivyo.sisi tupo katikati huu ni kama mfano sasa nje ya dome yani nusu ya juu ndo kuna anga za mbingu,jua na mwezi vipo ndani ya nusu ya juu na zina umbo sawa
DOME.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?
Si kwamba wamewazuia Bali eneo lilitangazwa kuwa ni mali ya dunia nzima hakuna nchi ya kujimilikisha Bali mataifa yote yalitumie kwa ajili ya tafiti
 
Kama unaamini dunia inazunguka basi wewe utakuwa ni juha.

Tena wazungu wanakwambia inazunguka 10,000km/h.

Ni mwehu tu ndo wakuamini haya mambo kama aliyeamini binadamu wa kwanza kaishi miaka milion 3.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama dunia haizunguki tunapata wapi tofauti za masaa?
Na sehemu nyingine unakuta ni asubuhi pengine usiku?. Ni nini kinasababisha?
 
Its hoax lazima waseme hivyo ili ujue ni spherical its all a planned thing kwasababu ukiwa angani hutaweza kuprove.
Just google.. flight path from australlia to USA.... mbona unakua mjinga? Elimika basii.... your are better than that.. kila siku izo flights zipo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H
Yani ni ardhi tambarare ambayo ni duara lakina sio mpiraView attachment 1335117

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika katika hii picha nimepata swali.
Kama ni kweli kuwa mapambazuko huanzia mashariki na kuishia magharibi,endapo dunia ni duara tambarare,huo mwanga hapo unarudije kuanzia mashariki ukishafika magharibi siku inayofuata?
Nataka kueleweshwa.
 
Ni una zungukuka moja kwa moja hio ni tafsiri unayoiona
H

Katika katika hii picha nimepata swali.
Kama ni kweli kuwa mapambazuko huanzia mashariki na kuishia magharibi,endapo dunia ni duara tambarare,huo mwanga hapo unarudije kuanzia mashariki ukishafika magharibi siku inayofuata?
Nataka kueleweshwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A line is an infinitely large circle. A flat surface is the limit of sphere as radius tends to infinity - ukubwa wa radius ya dunia ndio inapelekea flat earthers kuhisi dunia umbo la chapati.Its just an illusion. Ukweli pale pale dunia mviringo wa chungwa.
 
Kama nia ni kueleweshana na si kujibizana tu, kuuliza swali katika kujibu swali kunaweza kusaidia kuelewesha kuliko kujibu swali kwa jibu. Kunaweza kumfanya mtu apate jibu mwenyewe kwa kufikiri bila kupewa jibu na mtu mwingine, au, kunaweza kumshirikisha vizuri zaidi mtu katika kufikia jibu, na hata akipewa jibu baadaye, anakuwa ameshiriki katika mchakato wa kufikia jibu hilo.

Mambo ndio huenda namna hii, hapa umeeleweka vizuri mkuu..

Thanks
 
Sas
Its hoax lazima waseme hivyo ili ujue ni spherical its all a planned thing kwasababu ukiwa angani hutaweza kuprove.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hamna flight eastwards from autrallia to U.S, ina maana ukipita westwards si lazma kuwe na stop over kwasababu ya huo umbali????.. ingekua vipi hoax????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom