REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
- Thread starter
- #261
Yani dunia ni kama nusu chungwa halafu zungushia nusu ya bubble juu yake,mfano hivyo.sisi tupo katikati huu ni kama mfano sasa nje ya dome yani nusu ya juu ndo kuna anga za mbingu,jua na mwezi vipo ndani ya nusu ya juu na zina umbo sawaHii statement mkuu in ukakasi sana... hata mtu wa darasa la tatu B atahoji sana... naomba jazia nyama nyama tukuelewe vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app


