The World is a flat plane and not a globe

 
Samahani, sijakuelewa vizuri ukimaanishacho. Nitapenda unieleweshe maana ya maswali yako kutoka katika comment yangu.
 
Tuanzie mwisho huku pale unapotumia akili yako ya wastani... maana kusikia na kuangalia sio jambo gumu sana na bado mengi tutasikia na kuyaona.

Mkuu kwa akili hizo za wastani, unaliona jua linatembea au limesimama?
Kwa akili hizo hizo za wastani, unayaona mazingira katika utambarare au uduara?
Kwa akili hizo za wastani unazani palikua na ulazima gani kufundishwa umbo la dunia na hasa katika dhana moja ya uviringo peke yake?
Kwa akili hizo za wastani dunia ikiwa tambarare unadhani kipi kinachowezekana sasa kisingewezekana kutokana na shape hiyo?
Kwa akili hizo za wastani juu ya dunia ni wapi?
 
Mkuu na mimi naomba kitabu
 
Labda ulisoma political science


Ulisoma wapi dunia inazunguka jua zaidi ya speed ya mwanga kama sio uonho huo.

Unaijua speed ya mwanga wewe ?
 
Acha ujinga wewe spherical geometry inatumika kwenye geodetic studies. Plane table assumption inafanya kazi over short distances.
 
Satellite ni uongo nikuulize nasa imeanza 1958 satellite je?ukijibu ntakuambia kitu kuwa zipo ila una ushahidi wowote?zaidi sarakasi za NASA za kupotosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
We mshamba NASA imeanzishwa kipindi ambapo warusi washaenda kwenye space zaidi ya mada tatu, washarusha sputnik
We unadhani satellite zinarushwa Na NASA tu?

Currently Kuna satellite za China, India, wafaransa, ESA ( ZA ULAYA ) ,RUSSIA hadi za waarabu

Wote hawa wamekaa wakakubaliana wakudanganye wewe mjinga mmoja uliye Tanzania?
 

Hujui satellite signals zinazingua kwenye maeneo yenye obstacles kama ukiwa pangoni, kwenye forests pia geometry ya satellite mahala ulipo Na wakati husika inachangia sana kupata signal nzuri mbaya.
 
Mkuu unaonekana hauna uelewa Na somo LA map projections.

Ramani zote ( plane) unazoziona ni projected maps from spherical/ellipsoidal earth call it what what you like

Na projections zipo za aina nyingi.

Moja ya sifa ya projections ni kuleta distortions so kuna baadhi ya projections zina leta false representation ya uhalisia ( ground truth).

Mfano kuna nchi utaziona kubwa kwenye ramani lakini ni ndogo in reality.

Ndiomana different projections zinatumika kutengeneza ramani for different purposes.
 
Dunia ni duara na hilo halina ubishi, anayepinga ni mjinga tu. Toka na meli pale Cape Town uelekee mashariki mwisho wa safari yako utajikuta umerudi pale pale.

Huu ubishi wa kijinga wenzenu waliufanya millennium kadhaa nyuma. Sayansi inathibitishwa kwa sayansi.

Mnakuwa kama mtu moja anaye idanganya dunia kwamba nchi yake haina Corona huku hadi wateule wake wanakufa kwa huo ugonjwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…