The World Index acheni uongo, tunafurahia maisha zaidi yenu

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Nimeona sisi kama Watanzania kuna muda tunakubali ripoti za kipuuzi sana zinazotolewa na taasisi za mabeberu kutuhusu.

Hawa @theworldindex wameorodhesha nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi ambazo watu wake hawana furaha kwa mwaka huu. Kwenye orodha ya nchi 10 zamwisho sijaona nchi za Italy, Spain, China nk ambazo zinapitia kipindi kigumu mno tangu Covid 19 ianze kuwaburuza

Sisi huku mambo ni shwari kila mtu anaendelea na shughuli, hakuna waliopoteza maisha, uhuru wa kujieleza ni mkubwa (isingekuwa hivi jf ingefungwa) na mengine mengi

Halafu anakuja mtu anasema mwaka 2020 sisi hatuna furaha ukilinganisha na wazungu.

Ifike mahali tuache upuuzi wa kuamini kila taarifa ya wazungu. Ukweli ni kwamba furaha yetu haielezeki kwa kile Mungu anachotufanyia, tumshukuru Mungu kwa kutupatia kila sababu ya kufurahi.

Moderator uzi hauna mahusiano na nyuzi nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ni kweli unaongea hamna sehemu yenye furaha kama Tanzania. Mie nimeshi ugaibuni miaka 3 simfahamu jirani yangu nyumba ni moja imetengwa na ukuta. Miaka yato nikama ni quarantine. sasa nashangaa furaha hua wanaipima je? ha ha ha a
 
Ni Kweli Watu Wana Furaha Sana Mpaka Wanajitangaza Humu JF Kujinyonga.

Magufuli mwenyewe kila akifanya ziara mikoani anatukanana na wamama na wananchi wenye furaha mpaka POMONI
 
Huwez kua na furaha kama pesa huna ww" wengine tusipo kua napesa sio furaha tu! hatu dindixh kabisaa an!
 
Nimeona sisi kama Watanzania kuna muda tunakubali ripoti za kipuuzi sana zinazotolewa na taasisi za mabeberu kutuhusu.

Hawa @theworldindex wameorodhesha nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi ambazo watu wake hawana furaha kwa mwaka huu. Kwenye orodha ya nchi 10 zamwisho sijaona nchi za Italy, Spain, China nk ambazo zinapitia kipindi kigumu mno tangu Covid 19 ianze kuwaburuza

Sisi huku mambo ni shwari kila mtu anaendelea na shughuli, hakuna waliopoteza maisha, uhuru wa kujieleza ni mkubwa (isingekuwa hivi jf ingefungwa) na mengine mengi

Halafu anakuja mtu anasema mwaka 2020 sisi hatuna furaha ukilinganisha na wazungu.

Ifike mahali tuache upuuzi wa kuamini kila taarifa ya wazungu. Ukweli ni kwamba furaha yetu haielezeki kwa kile Mungu anachotufanyia, tumshukuru Mungu kwa kutupatia kila sababu ya kufurahi.

Moderator uzi hauna mahusiano na nyuzi nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,wewe unaishi kwa shemeji ndiyo maana unafuraha, lakini muulize mwenye nyumba (shemeji) yako uone kama ana furaha.
 
Hakuna kitu kama hicho....watanzania furaha wanaisikia kwenye Tv au kuiona kwenye redio basi,kinyume na hivyo ni unafiki wa kugongelea na misumari.
 
Basi kama hamjui ni kwamba jinsi unavyoishi remote areas Kama vijijini na mashambani hakuna stress kwa sababu hakuna maswala ya kodi ya nyumba, hakuna ukosefu wa chakula/mboga n.k. Sehemu zinazosadikika kwamba zimeendelea ndo wamapata taharuki mpaka pressure mpaka vifo. Vivyohivyo kadri nchi inavyoendelea ndivyo watu wake wanavyohamia kwenye style ya maisha hatarishi-hand to mouth.
 
Ila ni kweli unaongea hamna sehemu yenye furaha kama Tanzania. Mie nimeshi ugaibuni miaka 3 simfahamu jirani yangu nyumba ni moja imetengwa na ukuta. Miaka yato nikama ni quarantine. sasa nashangaa furaha hua wanaipima je? ha ha ha a
Ughaibuni jirani yako umjue ili iweje?kama Kuna uhalifu nyumbani kwako ukipiga simu Polisi watakuja on time, ambulance pia. Huku kwetu Polisi
wako bize kutesa Wapinzani. Hatujaonewa kwenye hiyo list.
 
Mkuu,wewe unaishi kwa shemeji ndiyo maana unafuraha, lakini muulize mwenye nyumba (shemeji) yako uone kama ana furaha.
Huyu ni kula kulala hajui wakati mwingine shemeji yake anashindwa kupiga miti kisa mawazo na kukosa furaha!
 
Nimeona sisi kama Watanzania kuna muda tunakubali ripoti za kipuuzi sana zinazotolewa na taasisi za mabeberu kutuhusu.

Hawa @theworldindex wameorodhesha nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi ambazo watu wake hawana furaha kwa mwaka huu. Kwenye orodha ya nchi 10 zamwisho sijaona nchi za Italy, Spain, China nk ambazo zinapitia kipindi kigumu mno tangu Covid 19 ianze kuwaburuza

Sisi huku mambo ni shwari kila mtu anaendelea na shughuli, hakuna waliopoteza maisha, uhuru wa kujieleza ni mkubwa (isingekuwa hivi jf ingefungwa) na mengine mengi

Halafu anakuja mtu anasema mwaka 2020 sisi hatuna furaha ukilinganisha na wazungu.

Ifike mahali tuache upuuzi wa kuamini kila taarifa ya wazungu. Ukweli ni kwamba furaha yetu haielezeki kwa kile Mungu anachotufanyia, tumshukuru Mungu kwa kutupatia kila sababu ya kufurahi.

Moderator uzi hauna mahusiano na nyuzi nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji ndio uharo gani huu ulioandika humu jamvini. Kwa hakika leo ntampiga miti dada yako usiku kwa hasira hadi akusimulie kesho. Haiwezekani nikulishe bure ulale kwangu bure halaf uje uharishe hapa jamvini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yasemwayo yapo...

Inawezekana ni kweli tukana hatuna furaha kwa factor nyingi... Furaha ya wachache siyo furaha...



Cc: mahondaw
 
Basi kama hamjui ni kwamba jinsi unavyoishi remote areas Kama vijijini na mashambani hakuna stress kwa sababu hakuna maswala ya kodi ya nyumba, hakuna ukosefu wa chakula/mboga n.k. Sehemu zinazosadikika kwamba zimeendelea ndo wamapata taharuki mpaka pressure mpaka vifo. Vivyohivyo kadri nchi inavyoendelea ndivyo watu wake wanavyohamia kwenye style ya maisha hatarishi-hand to mouth.
Maisha ya kijijini ni habari nyingine huko matatizo ndo kwake how come mtu wa kijijini awe na furaha kushinda wa mjini wakati town kuna namna nyingi za kurefresh akili compared na kijijini.
 
Kwa akili zako tangu mwezi wakwanza mpaka mwezi huu wachina na wataliano wanatuzidi kwa furaha?
Maisha ya kijijini ni habari nyingine huko matatizo ndo kwake how come mtu wa kijijini awe na furaha kushinda wa mjini wakati town kuna namna nyingi za kurefresh akili compared na kijijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa uzi unachanganya kati ya furaha na kucheka, jaribu siku ukae na mtu ambae anakuamin kisha aanze kukuhafisia anayopitia, naongea haya nikiwa na ushahidi kutokana na sehemu . kwa bahati mbaya hadi watoto wadogo sasa wako katika hali ngumu sana
 
Back
Top Bottom