The Working Class, Savages in Suits

The Working Class, Savages in Suits

Sasa wote tukianza kuugua kisukari nani atamuuguza mwenzie? Tafuta binti bwana ........
utamu wa vya wazamani huvuka mara tatu zaidi ya hawa mabinti wa kileo.. Nisikilize mwenzio
 
naamini tukiyapanga vizuri utekelezaji utakuwa kama kumsukuma mlevi vile
Siyo mtekelezaji wa kutoka umu......ni sawasawa na ofisini.......hapa ndukiii moja kubwa.........
 
Siyo mtekelezaji wa kutoka umu......ni sawasawa na ofisini.......hapa ndukiii moja kubwa.........
humu mbona ni kama sehemu nyingine tu? Na unaweza kupata mtu ambaye utajivunia na kujipa sifa kuwa ibra anajua kucare
 
humu mbona ni kama sehemu nyingine tu? Na unaweza kupata mtu ambaye utajivunia na kujipa sifa kuwa ibra anajua kucare
Bora huyu ibra nimkute nje ya jf ila ndani anakuwa ameshakosa vigezo......ndukiiiiii kali.....we jichukulie upo ofisini afu ndo design za kina HOM .....teh utani lakini ingawa namaanisha........
 
Back
Top Bottom