Hadhi yake ndio ya chini kabisa mkuu ila to the top yupo God. Middle yupo mwanadam ambae anaweza kuchagua either ashuke chini to devil au apande juu to God.Da'Vinci kuwa serious aisee yaani Shetani mwenye kupiga soga na Sir God live bila chenga azidiwe uwezo na bacteria?
Kautazame mchoro wa Mona lisa kila pembe utakayoangalia utamuona huyo mwaname anakuangalia. Ni yeye tu anaweza kuchora hvoNimefuatilia habari Za da vinchi nimegundua jamaa hakuwaga na siri. Ila tu watu wanaumiza kichwa bure tu. Ukiacha hii ya kusoma maandishi lazima uweke kioo.. Nothing kipya kwa michoro yake. Hakuna siri wala sirini
Hapana. Hayupo levo ya malaika..Shetani ni malaika, kwa hiyo yupo level ya malaika, kwa vile ameasi basi ni malaika muasi
Mkuu ile aya yako ya mwisho inaelezea upuuzi fulani ndani yako! Utanisamehe bure!..Naomba nisaidie maana mkuu
kumbe huyu ndo yesu?View attachment 1500590
Kwenye huu mchoro unaona Yesu kashikilia msalaba ambao ilikua ni destiny yake kua atawekwa msalabani. Lakini mama yake hapo anajaribu kumvuta kumtoa kwenye huo msalaba ambao ni destiny ya mwanae. Je unaelewa nini.?
eti! Ni kweli huwa unapiga story na sir God live?Da'Vinci kuwa serious aisee yaani Shetani mwenye kupiga soga na Sir God live bila chenga azidiwe uwezo na bacteria?
HahahaaKwa mpangilio wako unataka kuniambia kwamba Shetani anazidiwa hata na paka