Ha ha ha ha!
Kawa bubu ghafla.
Cheza na Ushoga wewe!
Huyu Ubungoubungo atabadili chupi mpaka ziishe! Lkn comments zimeisha!
PAPA Katia nanga sehemu chafu mno!
Hatoki tena!!!!
Kuna rafiki yangu padre nimemtumia habari hii kanitukana Sana lakini baadae alivyoingia kwenye very reliable sources kanipigia kuomba msamaha...
Haya mambo yameanza mda mrefu Sana nakumbuka tukiwa wadogo kuna rafiki yetu alilawitiwa na katekista kwenye mafunzo ya kipaimara....
Oyah mkuu! Sijaelewa, kwahiyo kanisa letu ndio linakua lamashoga? Yani wachungaji mashoga mashoga, nasisi waumini tuwe mashoga? Ah ah aaa nakataa, mi nahama dini. Imani zakupelekana kwenye mambo hayo siyataki.Kwa mtu asiyekuwa na akili atakwenda na maji. Ila ushoga haupo na hautakuwepo roman catholic. Kama umesoma vizuri utaelewatu. Ila ukikurupuka utaenda na maji.
What do you get when you lie?Kuna rafiki yangu padre nimemtumia habari hii kanitukana Sana lakini baadae alivyoingia kwenye very reliable sources kanipigia kuomba msamaha...
Haya mambo yameanza mda mrefu Sana nakumbuka tukiwa wadogo kuna rafiki yetu alilawitiwa na katekista kwenye mafunzo ya kipaimara....
Oyah mkuu! Sijaelewa, kwahiyo kanisa letu ndio linakua lamashoga? Yani wachungaji mashoga mashoga, nasisi waumini tuwe mashoga? Ah ah aaa nakataa, mi nahama dini. Imani zakupelekana kwenye mambo hayo siyataki.
What do you get when you lie?
Sasa wenye dini yao washaamua hivyo, wewe uliye letewa tu unaanza ku lecramar, kwanini?Itajadili vipi kitu ambacho mungu amekataza kwa hiyo unajadili kuona kama mungu kakosea tuweni makini dini ina ingiliwa tusijikute tina misimamo na dini kumbe tuna potoshwa dini haina mtu mwenyewe ni kristo hao wengine hawa wezi kutengua chochote
Binafsi bado natafakari kuhusu conspiracy theorists nazo zisikia kuhusu huyu M-jesuits.. lets wait and see
Watu wanataka kupotosha umma. Mkutano wa Sinod hauwezi kubadili msimamo wa Kanisa. Nimesikiliza habari sasa hivi Vatcan wamepinga tamko hilo.
Mkuu nakuheshimu Sana unaweza kusema nimedanganya wapi? Mi mkristo usifikiri nimefurahishwa na hii kitu...
Again nimedanganya wapi??
These claims are not authentic. Hivi huyo mtoto aliye lawitiwa alikwenda Polisi na kujaza PF3? Tunaweza ipata hiyo PF3? Je, wazazi wake walifanya nini baada ya kusikia kuwa mtoto wao kalawitiwa?
If this thread was attacking Muslims, by now ingekuwa imesha fungwa. Sasa huoni kunakitu hapa?Mkuu mbona no comments Leo kunani??
These claims are not authentic. Hivi huyo mtoto aliye lawitiwa alikwenda Polisi na kujaza PF3? Tunaweza ipata hiyo PF3? Je, wazazi wake walifanya nini baada ya kusikia kuwa mtoto wao kalawitiwa?
Jamani tume makini tunapo weka post. Maana huwa zinalete maswali mengi sana.
If this thread was attacking Muslims, by now ingekuwa imesha fungwa. Sasa huoni kunakitu hapa?
Mkuu, unapotea sana...
i thank God i am not catholic. simtambui kabisa papa ila namheshimu kwasababu ni kiongozi wa watu. lakini hata kama huyo angekuwa kiongozi wangu, nina uhakika kuwa there is more homosexual practices in the muslim community than in the christian, regardless of the fact that some christian governments have legalized it. hata hivyo hawawezi kuwafikia. arabs are champions of unnatural sex. kama hauamini nenda zanzibar, mombasa, au pwani yote ya tz utagundua kuwa these guys preach what they don't practice. nina uhakika kama Mungu angekuwa anaweka alama kwa kila takataka anayefanya ufirauni huu, watu wengi wenye kanzu wangekuwa na madoa mwili mzima.
Utajuaje labda wanambabajua wenzie
Hakuna kazi ngumu Kama kupambana na ukweli...
Facts are stubborn things; and whatever may be our wishes, our inclinations, or the dictates of our passion, they cannot alter the state of facts and evidence
It is the responsibility of the claimant to prove his/her claims. I was not even supposed to ask for those documents at the very first place. My post declaring unveracious and questioning the authenticity of your claims, was enough for you comprehend that you did not support your claims with provable and verifiable evidence.Sasa hapo wewe unachobisha nini?
Mbona hizo nakala za pf3 na hayo maswali hukuuliza kabla ya kucloclude kuwa mi muongo?
Umepanic? Relax....
Hii habari ni yakweli ukitaka kaulize pale kanisa katoliki kibaha na Huyo katekista alifukuzwa kazi baada ya kubainika ni kweli...
Unakataa kuwa haya mambo hayapo? Rejea link ya Nyani Ngabu hapo juu...
Mkuu mbona kwenye Yale mambo ya waislamu unajitutumuaga Sana?? Vipi hapa mbona unagwaya Sana?
Zile post unazowekaga hazileti maswali?? Kama unataka mijadala uwe free kupokea lolote unalopenda na usilopenda.....
Leo hata kiswahili hakipandi.What do you get when you lie?