The vatican changing tone on homesexuality?!

The vatican changing tone on homesexuality?!

Status
Not open for further replies.
BBC wanatoa tafsiri yao kutetea msimamo wa kimagharibi tu.....:-\ catholic church will never bless sins.




Endeleeni kujifariji na kupiga mayowe tu hapa.
Kanisa Catholic haliwezi kwenda kinyume na maandiko.
Hilo mtasubiri mpaka mwisho wa dahari




Aliyekwambia BBC hakuna "makanjanja" ni nani? Au kitu kikiwa cha "mweupe" ndo kinakuwa perfect kwa asilimia 100?

Waziri mkuu wa nchi iliyo makao makuu ya hiyo BBC si ndiyo alikuwa anatuhimiza tuukubali ushoga?

Leo MNAIKATAA MPAKA BBC!

ha ha ha ha !

Sasa mkitaka kujua kuwa Habari hii ni ya hakika 100% baso gongeni na hapa kwenye WEBSITE YA KANISA KATOLIKI.
http://www.catholicnewsagency.com/headlines/vatican/

Mkiikataa na hii basi wakuu mtakuwa mmelewa pombe haramu ya kienyeji.
 
[h=1]Catholic Priests: It's 'Empirical Fact' That Many Clergy Are Gay[/h]Some Catholic clergy say most priests are gay.

Gay and straight priests alike are cheering Pope Francis's comments about homosexuality in the priesthood, saying gay priests make up a significant segment of the Catholic clergy and deserve papal recognition.
On a plane from Brazil Monday, Francis told reporters that, "if someone is gay and he searches for the Lord and has good will, who am I to judge?"
 
Rafiki yangu Remote chamtemamoto na Nyakageni mnaongeleaje suala hili?

Ha ha ha ha!
Haji mtu hapa.
Pana moto! Yuko wapi na Mkuu wa chuo au Eiyer waje hapa watumwagie vumbi lao la kujigongea mikono hewani?

Leo PAPA kafunga Shati na Mashoga.
Hii ni hatari sana kwa Kizazo kijacho!

Namuomba Mungu awapige radi waliberali wote na hao wanao wasapoti!
Sema Amen mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Watu kwa unafiki bana!

Kanisa katoliki (na hata imani zingine za kidini) lina mashoga kibao lakini hawataki kuukubali ukweli hadharani.
 
Jamani inakuwaje Mara topic closed Mara removed mbona sielewi?
 
Watu kwa unafiki bana!

Kanisa katoliki (na hata imani zingine za kidini) lina mashoga kibao lakini hawataki kuukubali ukweli hadharani.

Bora ilivyokuwa sirini mkuu kulifanya kwa wazi hivi kunaibomoa dunia kimaadili hebu ona lilivyoleta taharuki....
 
Ha ha ha ha!
Haji mtu hapa.
Pana moto! Yuko wapi na Mkuu wa chuo au Eiyer waje hapa watumwagie vumbi lao la kujigongea mikono hewani?

Leo PAPA kafunga Shati na Mashoga.
Hii ni hatari sana kwa Kizazo kijacho!

Namuomba Mungu awapige radi waliberali wote na hao wanao wasapoti!
Sema Amen mkuu!


Aisee moto mkuu Uzi nimehangaika nao toka asubuhi ndo unarudishwa now...

Hili suala limeitikisa dunia je ndio dalili yenyewe ya kiama??
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
Bora ilivyokuwa sirini mkuu kulifanya kwa wazi hivi kunaibomoa dunia kimaadili hebu ona lilivyoleta taharuki....

Mi napendelea uwazi na ukweli kwa sababu yakiendelea kuwekwa chini ya busati hayo matukio ya kingono hususan kama yale ya mapadri na vile vivulana vya kanisa yataendelea kutendeka na jamii haitojua.

Ifikie mahali jamii iache unafiki. Haya mambo yapo kwenye kila sekta za jamii.

Hebu soma hii habari ya jana huko Minnesota.....

Victims of clergy sex abuse stood next to Catholic church leaders in Minnesota on Monday to announce a settlement to a novel lawsuit that includes new measures to keep children safe.


The settlement averts a November trial of the claim that the Archdiocese of St. Paul and Minneapolis and the Diocese of Winona created a public nuisance by failing to warn parishioners about an abusive priest.

Source
 
Binafsi bado natafakari kuhusu conspiracy theorists nazo zisikia kuhusu huyu M-jesuits.. lets wait and see


Sikajaona mafujo yako siku nyingi, au uko Syria nini?

Nyie leteni Maneno mabovu bovu lkn kiongozi wenu Mkuu ameamua kutangaza wazi kuwa WALIBERALI na VATICAN ni baba mmoja mama mmoja!

Laana hii itawaingilia mpaka vyumbani mwenu.
Ngojeni tu!

Sasa hivi na nyie mtaanza kupaka poda na kuvaa michuchumio!

Yuko wapi yule Ishmael MaxShimba Tanzania law Ubungoubungo.

Njoo pande hii kuna harufu mbaya sana huku.
 
Last edited by a moderator:
Jamani inakuwaje Mara topic closed Mara removed mbona sielewi?

Ha ha ha ha!
Mkuu we huna habari kuwa Hii topic imekuna watu vibaya mno.
Usishangae kuna kiongozo mmoja humu kiroho kinamuuma mno.
Anatani kuifuta kabisa. Hapa anachosubiri ni Mtu atukane tu.
Atakula ban ya mwaka na uzi utatiwa kapuni ss hivi.

Uliberali unavunja heshima kabisa kwenye Kanisa hili.

Huu ni USHETANI wa kupindukia.
 
Vatican imeruhusu mazungumzo ya kujadili ushoga! Hilo suala lilikuwa haliongelewi! Na sio kwamba wamekubali ushoga! Papa ameruhusu huo mjadala, na sio kwamba wanaongelea ushoga pekee, ameruhusu majadiliano yahusuyo talaka, na changamoto za familia ya sasa kwa ujumla wake
 
Mi napendelea uwazi na ukweli kwa sababu yakiendelea kuwekwa chini ya busati hayo matukio ya kingono hususan kama yale ya mapadri na vile vivulana vya kanisa yataendelea kutendeka na jamii haitojua.

Ifikie mahali jamii iache unafiki. Haya mambo yapo kwenye kila sekta za jamii.

Hebu soma hii habari ya jana huko Minnesota.....



Source


Mhhh,

Inasikitisha na kushangaza kwa wale tunaodhani wana dhamana ya kusimamia miiko na maadili halafu wanakuwa wakwanza kuvunja au kutotii miiko hiyo ambayo kanisa imeihubiri miaka nenda rudi..
.

watu walikuwa na imani kwa kanisa sasa kwa muhuri huu Wa moto ni dhahiri kanisa limepoteza imani kwa waamini wake....
 
Vatican imeruhusu mazungumzo ya kujadili ushoga! Hilo suala lilikuwa haliongelewi! Na sio kwamba wamekubali ushoga! Papa ameruhusu huo mjadala, na sio kwamba wanaongelea ushoga pekee, ameruhusu majadiliano yahusuyo talaka, na changamoto za familia ya sasa kwa ujumla wake


Unajua kusoma na kuelewa mada? nakushauri isome tena then utuambie ameruhusu kujadili au wamekuja na hitimisho??

watu Kama nyie mnaobishana na picha ni kuwapiga nyundo tu
 
Ha ha ha ha!
Mkuu we huna habari kuwa Hii topic imekuna watu vibaya mno.
Usishangae kuna kiongozo mmoja humu kiroho kinamuuma mno.
Anatani kuifuta kabisa. Hapa anachosubiri ni Mtu atukane tu.
Atakula ban ya mwaka na uzi utatiwa kapuni ss hivi.

Uliberali unavunja heshima kabisa kwenye Kanisa hili.

Huu ni USHETANI wa kupindukia.


ha ha ha Hatari Sana.
 
Mhhh,

Inasikitisha na kushangaza kwa wale tunaodhani wana dhamana ya kusimamia miiko na maadili halafu wanakuwa wakwanza kuvunja au kutotii miiko hiyo ambayo kanisa imeihubiri miaka nenda rudi..
.
watu walikuwa na imani kwa kanisa sasa kwa muhuri huu Wa moto ni dhahiri kanisa limepoteza imani kwa waamini wake....

Oh yeah, breach of fiduciary duty ni moja ya mambo ambayo hawa mapadri na wachungaji huwa wanashitakiwa nayo. Bofya hapo chini usome mambo ya mchungaji Eddie Long na ushoga wake (licha ya yeye kuwa on record akipinga vikali sana ushoga hadharani kumbe nyuma ya pazia yeye mwenyewe shoga hahahaaaa)

Men allege sexual coercion by prominent Atlanta pastor
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom