Tueleweshe wewe uliyeelewa tofauti na sisi.Kwa mtu asiyekuwa na akili atakwenda na maji. Ila ushoga haupo na hautakuwepo roman catholic. Kama umesoma vizuri utaelewatu. Ila ukikurupuka utaenda na maji.
Afisa wa Vatican amesema Kanisa Katoliki halipingi uhalalishwaji wa mahusiano ya jinsia moja maadamu hayajalinganishwa na ndoa.
Afisa huyo Bruno Forte amesema kanisa linapinga matumizi ya maneno sawa kwa miungano kati ya watu wa jinsia sawa na wale wa jinsia tofauti.
Ameongoza kuwa pamoja na msimamo huo, anatambua kuwa wanaadamu wanaoshiriki uzoefu tofauti wana haki zinazopaswa kulindwa, akimaanisha uhusiano baina ya watu wa jinsia moja. Forte amesema uwezekano wa kuorodhesha haki hizo ni suala la ustahifu na heshima kwa utu wa watu.
Huo mkutano haujadili kubadilisha Doctrine yoyote ya Kanisa na pamoja na habari hizi kuandikwa kwa uzuri kufurahisha wale ndugu zetu pamoja na maadui wa kanisa bado wasiojua mifumo ya Kanisa Katoliki kesho wataandika kabisa "Kanisa Katoliki lakubali ushoga" .....kwa anayetaka kuelewa nini kilijadiliwa aingie kwenye official site za Kikatoliki ili usome ujumbe halisi na si hizi tafsiri zenye lengo la kuonesha sasa Kanisa linatambua mashoga ...... Kwa mnaosubiri Kanisa kutangaza kuwatambua rasmi mashoga mtangoja MILELE ......miaka zaidi ya 2000 kanisa ni moja na halijawahi kuyumba kimafundisho ......nani aliyumbishe sasa? Hao activist wenye media kubwa kubwa na ambao watu wetu wengi wanachota habari zenye tafsiri zao?
Bill Cosby na Ntuzu piteni hapa wapwa zangu.
Ahsante kwa jibu hili....Huo mkutano haujadili kubadilisha Doctrine yoyote ya Kanisa na pamoja na habari hizi kuandikwa kwa uzuri kufurahisha wale ndugu zetu pamoja na maadui wa kanisa bado wasiojua mifumo ya Kanisa Katoliki kesho wataandika kabisa "Kanisa Katoliki lakubali ushoga" .....kwa anayetaka kuelewa nini kilijadiliwa aingie kwenye official site za Kikatoliki ili usome ujumbe halisi na si hizi tafsiri zenye lengo la kuonesha sasa Kanisa linatambua mashoga ...... Kwa mnaosubiri Kanisa kutangaza kuwatambua rasmi mashoga mtangoja MILELE ......miaka zaidi ya 2000 kanisa ni moja na halijawahi kuyumba kimafundisho ......nani aliyumbishe sasa? Hao activist wenye media kubwa kubwa na ambao watu wetu wengi wanachota habari zenye tafsiri zao?
Jamani ulimwengu unakwenda wapi? tujifiche wapi na hasira ya Mungu?
karibuni wadau mtoe mawazo yenu...
Bill Cosby na Ntuzu piteni hapa wapwa zangu.
Kumekucha.
Ahsante kwa jibu hili....
Secular media zinapenda sana potosha media..
Makamanda lusungo na THE BIG SHOW naona juu ya kuwa Habari hii imeletwa na BBC lkn wakatoliki kina Otorong'ong'o WANAIKATAA.
Sasa sijui huko wanakoishi hata TV HAKUNA?
Mi nilijua tu kuwa iko siku Huyu Lucifier atatoa makucha yake nje! Na leo KAMWAGA RAZI!
Kkkkkkkkk!
Waliberali wameshamtungia nyimbo za Kumeremeta!
Na bado!
Kesho ndoa za WANYAMA na Bimaadamu zitaongezeka huko VATICAN kwa sana tu!
Makamanda lusungo na THE BIG SHOW naona juu ya kuwa Habari hii imeletwa na BBC lkn wakatoliki kina Otorong'ong'o WANAIKATAA.
Sasa sijui huko wanakoishi hata TV HAKUNA?
Mi nilijua tu kuwa iko siku Huyu Lucifier atatoa makucha yake nje! Na leo KAMWAGA RAZI!
Kkkkkkkkk!
Waliberali wameshamtungia nyimbo za Kumeremeta!
Na bado!
Kesho ndoa za WANYAMA na Bimaadamu zitaongezeka huko VATICAN kwa sana tu!