The Tricky Question: Mara ngapi na mkeo?

Umekuja kimtindo Mkuu hahahhh. Hiyo haina ratiba maalumu ni wakati wowote as long as mpo faragha
 
Big point lakini watu wanaitumia hiyo kitu kuwadhibiti wapenzi wao
 
haitakiwi kuwe na formular,siku yoyote,saa yoyote na mahali popote ili mrdi kuwe na faragha....!
Noted with thanks. Mkiisha anza kupeana migongo na kuchokana basi utajua umuhinu wa mipangilio kupunguza hoja za kuwe pana.
 
Kila siku, hamkuoana kulala bana

Si ndio hapo, waafrika kila siku wanawaza ngono.

Lile tendo ukipiga kila siku lazima magoti yafe na kunenepiana kwa wingi.

Kisayansi Ni Mara tatu kwa wiki.


Mtu upo nae kila siku rafu za nini.

Wengi walio comment huku hawajaoa
 
Si ndio hapo, waafrika kila siku wanawaza ngono.

Lile tendo ukipiga kila siku lazima magoti yafe na kunenepiana kwa wingi.

Kisayansi Ni Mara tatu kwa wiki.


Mtu upo nae kila siku rafu za nini.

Wengi walio comment huku hawajaoa
Tuko pamoja lazima kila kitu kwa kipimo
 
hivi vitu vinategemea
1. ntu na ntu
2. lishe
3. saikolojia
4. Umri
etc

Hapo kwenye lishe ndo hatari...
Jitu linakomaaa kila siku afu mlo wenyewe ni sembe na dagaaa.
Linakonda kama glass afu anasema maisha magumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…