Yap! uhondo unaendelea na kuanzia Episode ya 14 au 15 nahisi ndio utakuwa mwanzo wa utamu kamili wa Tamthilia hii nashukuru wooooote kwa sapport. Lakini shukrani zangu za kipekee ziwafikie prospa, everlenk na beth ambao wamekuwa watu wa kwanza kutoa michango yao kwaajili ya kuisapot Tamthilia hii naamini wasomaji wangu wengine wanaonipa nguvu kubwa kabisa kwa kufatilia tamthilia hii wasomaji kama ram, xfactor,davidson689, Mrembo by Nature, Mbimbinho, Kyenju na wengine wengi sana zaidi ya 5000 siwezi kuwataja woote naamini pia wapo njiani kusapot kazi hii kwa kuichangia hata kidogo
MAMBO VIPI MARAFIKI, NINAWATAKA RADHI SANA KUWATAARIFU KUWA NINASAFARI YA KUELEKEA TANGA KUANZIA J/3 AU J/4 KWA MUDA USIOZIDI WIKI MOJA HIVYO SITAKUWA NA NAFASI NZURI YA KUENDELEA KUANDIKA
RIWAYA HII. lAKINI NAAHIDI MUDA WOWOTE NIKIPATA KOMPUTER YOYOTE SAFARINI NA UPENYO WA
KUENDELEA KUANDIKA NITAIPOST KWANI SITAWEZA KWENDA INTERNET CAFE USIKU.
SITAKI MUDA MREFU UPITE BILA KUENDELEA KUWAPA BURUDANI HII.
NAOMBENI DUWA ZENU.
pouwa tunakutakia safari njema uende urudi salama maaana tanga bhana !!!!!!!!!!!!!!!
MAMBO VIPI MARAFIKI, NINAWATAKA RADHI SANA KUWATAARIFU KUWA NINASAFARI YA KUELEKEA TANGA KUANZIA J/3 AU J/4 KWA MUDA USIOZIDI WIKI MOJA HIVYO SITAKUWA NA NAFASI NZURI YA KUENDELEA KUANDIKA
RIWAYA HII. lAKINI NAAHIDI MUDA WOWOTE NIKIPATA KOMPUTER YOYOTE SAFARINI NA UPENYO WA
KUENDELEA KUANDIKA NITAIPOST KWANI SITAWEZA KWENDA INTERNET CAFE USIKU.
SITAKI MUDA MREFU UPITE BILA KUENDELEA KUWAPA BURUDANI HII.
NAOMBENI DUWA ZENU.
Hahahahahaaa hii ndio ile waswahili walisema kuwa "ukionja asali utachonga mzinga"Safari njema Msamiati,Mungu akulinde,we will miss yoooooooo!!!!!!!
Wadau tuchange basi kijana apate Laptop na moderm burudani iwe inaendelea popote atakapokuwa.....au mnalionaje hili?????