The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

He he..that will be a life bonus🙂

Hivi unafikiri kama ninavyofikiria kuhusu hawa maharusi leo? mmh, I think kazi kubwa wanayo baadae wakiwa wawili!!he he

Furaha ya ndoa ni ile siku ya ndoa baada ya hapo kinachofuatia unavumilia au kuachia ngazi mwenyewe He he!!!
 
Mie nimechukia sana eti Elton John! Elton John kaalikwa na mumewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Pumbavu hawa laana kum!
Kaingia kanisani pamoja na mumewe!! Jamani waingereza wazima kweli wameruhusuje ujinga huuu?? mume kwa mume kuoana na kuwa eti jambo la kawaida tuuuu!! mwili wangu unasisimka kwa mshangao!
 
slide_22349_271202_large.jpg

newreply.php
 
This is not their first kiss to the love of God. They were in relationship for almost 8 years. Tuseme kùlikuwa hakuna uchakachuaji kweli wadhungu...

Ni kweli mkuu. Hawa watakuwa wamechakachuana vya kutosha. Hata wanapokwenda mwezi wa asali haina maana yoyote maana walishajuana tayari.
 
article-0-0BD151A500000578-151_468x923.jpg


Duh hii kifaa kimetulia haswaaa.

Duuu! mkuu, umenifurahisha mno, maana maneno yako yanaonekana yametoka ndaaaaaaani kabisa ya moyo wako na umeyasema kwa ushujaa mno bila kusitasita!
Ahaaaahaaaaaaa! eti hii nini?
Sijui mzungu au mkabila gani huyu mwanamke!?
 
Back
Top Bottom