Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,208
- 128,960
Mkataba umeshasainiwa, Waziri Membe amezungumza kwa Kiswahili, na kilifuatia kipindi cha maswali na majibu.
Membe alieleza pamoja na mambo mengine, fungu hilo pia litatumika kujenga uwezo kwa waandishi wa habari kuripoti uchaguzi huo kwa uhuru na uwazi bila kuegemea upande wowote.
Viburudisho vinafuatia.
Pamoja na kuwa mimi ni muungaji mkono wa demokrasia, lakini naona hao UNDP kama wangekuwa na nina njema wapeleke hizo hela kwenye maendeleo. Najua ni wazo contoversial lakini ndivyo ninavyoona.
Pesa hizi ni mkopo au ni zawadi?
Pamoja na kuwa mimi ni muungaji mkono wa demokrasia, lakini naona hao UNDP kama wangekuwa na nina njema wapeleke hizo hela kwenye maendeleo. Najua ni wazo contoversial lakini ndivyo ninavyoona.
Tukio limeisha nitawajulisha wachangiaji wakiongozwa na Uingereza iliyotoa Pauni milioni 10.
Mod rekebisha hii sasa sio breaking news tena.
big mistake
uchaguzi tungeughaamia kwa pesa zetu wenyewe kama walivyofanya zimbabwe
hiii ya kupewa pesa za uchaguzi akishinda mtu ambaye wao hawamtaki itakuwaje?
na hasa kule visiwani?
otherwise wajiandae kuwapokea wakimbizi zaidi wa kisiasa from Zanzibar by December 2010
Mkataba umeshasainiwa, Waziri Membe amezungumza kwa Kiswahili, na kilifuatia kipindi cha maswali na majibu.
Membe alieleza pamoja na mambo mengine, fungu hilo pia litatumika kujenga uwezo kwa waandishi wa habari kuripoti uchaguzi huo kwa uhuru na uwazi bila kuegemea upande wowote.
Viburudisho vinafuatia.