The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Elichoma inaelekea hujui nini kinaendelea duniani....hujui nini mission za NATO dhidi ya libya mpaka sasa...anyway mringo kaelezea mengi kwa kifupi tu....Gaddafi aliwapa wananchi wake kile kilichopatikana kutokana na rasilimali za nchi muda wote...katika maisha yake ya uongozi kwa muda mrefu aliishi maisha ya kawaida ambayo yanafananishwa na watu wengine wa kawaida....alilinda heshima ya nchi na kuitetea yaani hakuwa kibaraka...yapo mengi ambayo alikuwa akiyafanya dhidi ya nchi yake...mbali na hilo aliitetea Africa kwa juhudi kubwa dhidi ya ukoloni mambo leo unaendelea...kitu ambacho si rahisi kwa viongovi wetu. Alibeba jukumu la kuendeleza africa kwa kudhamini mambo mbalimbali...nk...vilevile naweza kusema hana tofauti na watu kama Che Guavarra ambao walijito muhanga kutetea watu dhidi ya ukandamizaji alafu vibaraka wachache kwa uchoyo na kutokuelewa wanawageuka kwa masilahi binafsi...

Jaribu kumkubali Colonary because is the Hero!...
 
Wewe Mringo unaonekana kuwa Mwislam zaidi ya Muhamad na unaonekana Umeokoka kuliko Yesu na unaonekana Mzalendo Wa Libya kuliko walibya wenyewe.
Wananchi Wa Libya ndiyo wana haki ya kumsifia Gaddafi au kumponda maana wanamjua vizuri na wala usituletee estmation za Marekani they know nothing about Libya and it's people
Kama Gaddafi alikuwa nzuri kwao mbona walinfanyia vitendo ambavyo siwezi kusema hapa Usiwe Kama waziri Membe Tanzania bendera nusu mlingoti Libya shangwe na vigeregere wamemwondoa Dikteta sasa wapi na wapi????

.......................
Nadhani Mr Echo umejikuta umefunikwa na taswira ya imani yako...nadhani si sahihi kua na fikra kama hizo...
...
Mimi nadhani kama uliyosema ndio dhahiri uaminivyo usingemudu kuishi ktk nchi kama Tanzania yenye kila aina ya ulafi na Ufisadi..ukilala njaa ama ukipata kidogo tofauti na unavyotumikishwa...ukishindwa kufikia ndoto zako kwa sababu tu ya umasikini huku wengine wakijilumbikizia mali na hata kukosa cha kuzifanyia.
Nadhani ni muda sasa wa kuweka tofauti za kiimani na kutafakari bila kumfikiria mtu ana imani gani....
.....

Umenihuzunisha kunifananisha na red hapo juu
....
Labda nikuulize swali dogo tu..hasa kuhusu hayo mambo aliyofanyiwa Gadaffi ambayo umeshindwa kuyasema..
...
Yesu alitumwa na mungu, alitenda yale aliyoagizwa ayatende hapa duniani ..Je waliomuua walikua walifanya vile kwa vile walikua wanaamini anafanya wema au a mabaya?..(nikimaanisha yaleyale aliyotumwa na mungu lakini yanayopingana na wanayoyapendelea?)..
...
***(sijaribu kumfananisha na Yesu nataka upate picha ninachotaka kumaanisha)
 
Doctoz,akissumo na wewe Mringo mimi nawaelewa SANA na siegemei mambo ya Imani lakini nilichotaka kusema ni kuwa walibya wanayo haki ya kuamua nani kiongozi Bora na nani mbaya wao hivyo wamuondoe.
Nakubali kunaweza kuwa na influence toka nje lakini Kama nguvu ya umma iko upande wake wasingeweza kumuondoa lakini kulikuwa na GAP ambalo ndiyo udhaifu Wa Gaddafi
Tusijenge kichwani mwetu kuwa kila sehemu kunapotokea matatizo basi woote wanasema kuna mkono Wa Marekani si kila kitu Marekani tatizo kubwa ni viongozi wetu si wazelendo wanasababisha hata maanguko yao.
Kinachonishangaza mpaka sasa hivi ni kuwa Libya wananchi wanamuona Gaddafi Kama dikteta lakini sisi tuliokuwa tunapokea Misaada yake tunamuona kama Shujaa Wa Afrika tumefikia hata kubadirisha Historia ya Vita vya Kagere ambapo Gaddafi ameondolewa kama mshirika mkubwa aliyetoa Ndege(Tupolev),Askari na Silaha ili kumsaidia Idd Amin kuivamia nchi yetu
Hivi misaada ya Gaddafi ndiyo imetufanya tubadili historia na tumwite shujaa?????
Osama kwao anaonekana Kama Gaidi sisi huku tukimwita Shujaa ita-sound vipi????????
 
Doctoz,akissumo na wewe Mringo mimi nawaelewa SANA na siegemei mambo ya Imani lakini nilichotaka kusema ni kuwa walibya wanayo haki ya kuamua nani kiongozi Bora na nani mbaya wao hivyo wamuondoe.
Nakubali kunaweza kuwa na influence toka nje lakini Kama nguvu ya umma iko upande wake wasingeweza kumuondoa lakini kulikuwa na GAP ambalo ndiyo udhaifu Wa Gaddafi
Tusijenge kichwani mwetu kuwa kila sehemu kunapotokea matatizo basi woote wanasema kuna mkono Wa Marekani si kila kitu Marekani tatizo kubwa ni viongozi wetu si wazelendo wanasababisha hata maanguko yao.
Kinachonishangaza mpaka sasa hivi ni kuwa Libya wananchi wanamuona Gaddafi Kama dikteta lakini sisi tuliokuwa tunapokea Misaada yake tunamuona kama Shujaa Wa Afrika tumefikia hata kubadirisha Historia ya Vita vya Kagere ambapo Gaddafi ameondolewa kama mshirika mkubwa aliyetoa Ndege(Tupolev),Askari na Silaha ili kumsaidia Idd Amin kuivamia nchi yetu
Hivi misaada ya Gaddafi ndiyo imetufanya tubadili historia na tumwite shujaa?????
Osama kwao anaonekana Kama Gaidi sisi huku tukimwita Shujaa ita-sound vipi????????

Mzee yafaa ujue We nin nani duniani unless utakuwa gizani tu
 
Mzee yafaa ujue We nin nani duniani unless utakuwa gizani tu
Mimi nataka mnijibu hayo maswali yangu maana tusiwe tu washabiki wa kupokea misaada na kumsifia mtu hali mtu huyo hana sifa hiyo kwake.
Kwa Gaddafi siwezi kusema alikuwa Shujaa maana vitendo vyake tu inatosha kumwondolea hadhi ya kumwita shujaa wa Afrika aliunga mkono magaidi duniani na isitoshe narudia alishiriki kikamilifu kumsaidia Dickteta Idd Amin kuivamia nchi yetu mimi mwenyewe nimeshiriki vita hivyo na nimewalinda hao mateka 400 wa KI-KIBYA hapo MPIGI Uganda.
Tuliwalinda vyema baada ya kuwateka na walirudishwa salama bila fidia yoyote.leo hii historia inabadilishwa na viongozi wetu ukisimlia historia ya vita vya Kagera ni lazima Utaje Idd Amin,Gaddafi sasa hivi Gaddafi kabadilika kawa Shujaa wa Africa hii inanishangaza sana kwa nini Gaddafi tumwite Hero of Africa???? kwa misaada yake???????? naomba jibu.
 
Mimi nataka mnijibu hayo maswali yangu maana tusiwe tu washabiki wa kupokea misaada na kumsifia mtu hali mtu huyo hana sifa hiyo kwake.
Kwa Gaddafi siwezi kusema alikuwa Shujaa maana vitendo vyake tu inatosha kumwondolea hadhi ya kumwita shujaa wa Afrika aliunga mkono magaidi duniani na isitoshe narudia alishiriki kikamilifu kumsaidia Dickteta Idd Amin kuivamia nchi yetu mimi mwenyewe nimeshiriki vita hivyo na nimewalinda hao mateka 400 wa KI-KIBYA hapo MPIGI Uganda.
Tuliwalinda vyema baada ya kuwateka na walirudishwa salama bila fidia yoyote.leo hii historia inabadilishwa na viongozi wetu ukisimlia historia ya vita vya Kagera ni lazima Utaje Idd Amin,Gaddafi sasa hivi Gaddafi kabadilika kawa Shujaa wa Africa hii inanishangaza sana kwa nini Gaddafi tumwite Hero of Africa???? kwa misaada yake???????? naomba jibu.
Echolima

Hii thread ina kurasa 388 mpaka sasa kama una muda pitia 1 mpaka 388. Utakutana na mengi pia utanufaika na habari na mjadala wote. Usitake njia ya mkato, mkuu. (Ni ushauri tu).
 
Echolima

Hii thread ina kurasa 388 mpaka sasa kama una muda pitia 1 mpaka 388. Utakutana na mengi pia utanufaika na habari na mjadala wote. Usitake njia ya mkato, mkuu. (Ni ushauri tu).
Nimekuelewa ingawaje nilitaka sana nipatiwe majibu naanza kusoma mwanzo Wa thread na sijui Kama nitapata jibu langu Thanks Noda
 
Tripoli hakukaliki kumenuka, jamaa wameanza kuchapana wenyewe kwa wenyewe (Zintan brigade na Tripoli brigade), mapigano mpaka hospitali kuu...
 
Tripoli hakukaliki kumenuka, jamaa wameanza kuchapana wenyewe kwa wenyewe (Zintan brigade na Tripoli brigade), mapigano mpaka hospitali kuu...
KIle kibibi kichawi, kinapenda damu imwagike kilishasema ,"we came, we saw, they die!....ndio protection yenyewe hiyo ya civilians.
La ajabu katika dunia hii, wadhungu wanasema kuna silaha nyingi Libya...lakini makampuni ya silaha ya UK yanatuma ujumbe ili kufunga mikata mipya ya silaha na NTC yao.

Watakapochoka kutwangana shaba watajikuta zile 200 billioni dollar zimeliwa na US-NATO na deni juu yake. Halafu wataambulia ahadi hewa ya "maisha bora na domokrasia kwa kila mlibya".
Watakoma kuomba protection kutoka kwa mataifa yenye historia ya kumwaga damu ovyo kwa visingizio vya uongo.
 
African ambassadors and diplomats say they are already starting to feel the impact of the shift in power from Gaddafi to his enemies. Many feel frozen out by Libya's interim rulers, the National Transitional Council (NTC). Some suspect the new government is even going to want some of Gaddafi's gifts back. Whatever happens, Gaddafi's vision of a united Africa -- always quixotic -- is gone.

"He made us feel important," one told Reuters. "But there aren't so many of us being invited to sit and break bread with NTC leaders. They think that we sided with Gaddafi."

Officials in Tripoli say the Gaddafi government's investments across sub-Saharan Africa were massive, although so far there is no complete picture of them.

Al-Madar, a state-owned Libyan mobile phone operator owned or controlled telecoms operations with assets worth over $100 million in eight other African countries.

"It wasn't all cynical," said another African ambassador in Tripoli of Libya's spending spree. "He did a lot of good for African countries ... There was little racism in him, unlike some other Arabs, who treat us like slaves when we come here looking for work."

There is real fear in African capitals that the NTC is going to want to take that money back, though it has not yet outlined official policy on the issue.

"Such investments as exist in sub-Saharan Africa are likelier than not to come under pressure to liquidate in order to secure the funds to rehabilitate the war-torn country," agreed Peter Pham, an analyst with U.S. think-tank the Atlantic Council.

The African Union, which replaced the Organisation of African Unity, held its inaugural meeting in Gaddafi's hometown of Sirte in 1999.

Theatrical summit entrances, rambling speeches and buffoonish behaviour married with a seemingly genuine desire to encourage African leaders to stand up to their former colonial masters and build more unity among themselves.

"For us, there was some good and some bad," an African Union official told Reuters.

INSIGHT-Africa to miss Gaddafi's money, not his meddling | News by Country | Reuters

 
Elichoma inaelekea hujui nini kinaendelea duniani....hujui nini mission za NATO dhidi ya libya mpaka sasa...anyway mringo kaelezea mengi kwa kifupi tu....Gaddafi aliwapa wananchi wake kile kilichopatikana kutokana na rasilimali za nchi muda wote...katika maisha yake ya uongozi kwa muda mrefu aliishi maisha ya kawaida ambayo yanafananishwa na watu wengine wa kawaida....alilinda heshima ya nchi na kuitetea yaani hakuwa kibaraka...yapo mengi ambayo alikuwa akiyafanya dhidi ya nchi yake...mbali na hilo aliitetea Africa kwa juhudi kubwa dhidi ya ukoloni mambo leo unaendelea...kitu ambacho si rahisi kwa viongovi wetu. Alibeba jukumu la kuendeleza africa kwa kudhamini mambo mbalimbali...nk...vilevile naweza kusema hana tofauti na watu kama Che Guavarra ambao walijito muhanga kutetea watu dhidi ya ukandamizaji alafu vibaraka wachache kwa uchoyo na kutokuelewa wanawageuka kwa masilahi binafsi...

Jaribu kumkubali Colonary because is the Hero!...

Lakini si kwa sababu ya utajiri iliyokuwa nayo nchi yake? Nchi za dunia ya 3, sijui ni ipi inayojitegemea bila donors. Simple analysis,ukiwa na fedha unajiamini zaidi,huna woga! Na ujeuri unazidi. Unakuwa na uwezo wa kununua,kuagiza,kutuma na kuweka chochote kile unachokitaka. Hapo namuangalia Quadaffi kama kiongozi.Kusifia ujasiri wake lazima ujue alimudu vipi kulinganisha na viongozi wengine wa Afrika.
 
Nasikia bado Libya vita inaendelea na hata jana waasi wa NTC waliuwawa wengi karibu na mji mkuu Tripoli nadhani hii nchi itakua vipande sasa..
 
Nasikia bado Libya vita inaendelea na hata jana waasi wa NTC waliuwawa wengi karibu na mji mkuu Tripoli nadhani hii nchi itakua vipande sasa..
Nadhani Libya itakombolewa upya,bado sina imani na hao NTC kabisa!
 
We cherish and admired Gaddaffi's valor and commitment to his convictions and Pan Africanism he fought to prevent his country and Africa from falling prey to Western economic strangulation and resisted the unjust and evil geopolitical machinations of inserting Libya into their strategic geopolitical design and today he is a Pan African Revolutionary icon.

He said in Africa, the lament was not only the loss of Gadaffi as the blow suffered in our long and painful march towards the dream of our true liberation, but the effects, the building blocks Gaddaffi was molding, African Investment Bank, African Monetary Fund and African Central Bank, had been laid to waste given the surrogate character of the Libyan rebels, the NTC.

Zaidi hapa Pan African Council petitions Parliament | General News 2011-12-01
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom