Elections 2010 The Rise and Fall of CHADEMA

Mwisho napende nisema baadhi ya viongozi wa chadema ni makini lakini chama chao sio makini na wakigundua hivyo watafanya kama alivyofanya kafulila.

Yale yale ! Mara ooh, CCM ni safi ila viongozi ndiyo mafisadi au Kikwete poa ila serikali yake ndiyo goigoi ! Watanzania lini mtafunguka macho na kutambua kuwa bila watu hakuna chama ? Lini mtaerevuka kiasi cha kutambua kuwa Raisi ndiye anaunda serikali na kuisimamia ? Sokomoko, kama unakubali kuwa viongozi wa Chadema ni makini kwa nini chama wanachokiongoza kisiwe makini vile vile ? Naomba usituletee visingizio vya Makamba eti CCM si chama cha kifisadi huku kinaongozwa na mafisadi waliokubuhu. Unatenganisha vipi chama na watu wake ?
 
Kwani wewe ujuwi kuwa Chadema ni waroho wa madaraka na udini, ukanda na ukabila umewatawala.
hapa sio mahari pa mihadhara pelekenu nujinga wenu kule mlikotoka, so what if?
mnadhani CHADEMA ni cuf siyo? hiki siyo chama cha maamua kama ninyi
 
CUF ni chama cha upinzani ila kinasumbuliwa na udini. Kwa sasa viongozi wa juu wa ccm na serkali yake ni waislam yaani marais 4 (bara 2, zanzibar 2) wana katibu mkuu wa chama nk. Hawa ndio wanafanya maamuzi makubwa yanayohusu taifa. Hii imesababisha CUF waweke kando upinzani, hawana sababu ya kupingana na wadini wenzao afterall wana dira moja. Wakati mwingine haya masuala ya udini ni kama michecheto ya yanga na simba, utamkuta mtu anashabikia tu hata kama hakuna maslahi. Wale ambao wanadhani CUF wameacha upinzani wasubiri siku ambayo ccm itamsimamisha mkristo kugombea urais hasa yule ambaye atatuhumiwa kuwa hatajali maslahi ya waislam. Wana JF huo ndo ukweli wa CUF na siasa za bongo!
 
Chama cha Chadema sio makini ila kuna baadhi ndani ya hicho chama ni watu makini mmoja wao aliepata kuwa mwanachama ni kafulila wengine wakijakutambua kama Chadema kina agenda zake na wanaharakisha zitimie na mfano kilichotokea Dodoma utaona watamwaga manyanga na nina uhakika NCCR Mageuzi itarudi kwenye form na kuipiku Chadema 2015 hii itachangiwa na ubinafsi wa chama cha chadema.
Mimi hata sielewi unachokiandika, nikionacho mimi hapa ni kutapatapa kwako tu, huna points tulia.
 
CUF ni chama cha upinzani ila kinasumbuliwa na udini. Kwa sasa viongozi wa juu wa ccm na serkali yake ni waislam yaani marais 4 (bara 2, zanzibar 2) wana katibu mkuu wa chama nk. Hawa ndio wanafanya maamuzi makubwa yanayohusu taifa. Hii imesababisha CUF waweke kando upinzani, hawana sababu ya kupingana na wadini wenzao afterall wana dira moja. Wakati mwingine haya masuala ya udini ni kama michecheto ya yanga na simba, utamkuta mtu anashabikia tu hata kama hakuna maslahi. Wale ambao wanadhani CUF wameacha upinzani wasubiri siku ambayo ccm itamsimamisha mkristo kugombea urais hasa yule ambaye atatuhumiwa kuwa hatajali maslahi ya waislam. Wana JF huo ndo ukweli wa CUF na siasa za bongo!

CHADEMA hakifanani na nccr ya wakat ule wala cuf ya sasa,kina viongoz na members makini ht makamba na huyo kafulila (mroho wa madaraka) analijua hilo waache wapoteze muda kuongea sie 2jeng chama huku vijijin
 
Heshima kwako mkuu,

Mamwinyi mnaihitaji sana elimu-dunia. Kila linapozungumzwa suala la CHADEMA au la kitaifa mnakuwa na macho ya dini dini dini. Ubongo wa binadamu hauwezi kuendelea kifikra ikiwa unalishwa ujinga tu. Msikimbie shule.
Huo ndo ukweli. Hawa watu wenye akili za watu wa jangwani na masharubu mengi wanamatatizo kweli. Yaani si watu wenye kuthink. Wamekaa kiudini udini. Ndio maana hata maeneo walikobobea hakuna maendeleo kulinganisha na sehemu ambako watu wanaweka dini kando na kutakafakari mustakabali wa maisha yao yasiyohusiana na dini. Yaani akili yao siku zote mtu ukiwa si wa dini yao we ni adui yao. Hii ndio nchi za jangwa zinaongozwa kitumwa kitumwa ilimradi uwanunue kisaikolojia kwa kutamka MUNGU MKUBWA.
Wanayo mifano hai duniani kote lakini hawezi kujifunza.
Watu wanaofuata dini hiyo ndio watu wenye maendeleo duni zaidi hata uje hapa TZ utaona hivo lakini hawajifunzi. Kwao kutenganisha dini na siasa na kuwa na mawazo huru haipo. Itakuwa vema kama dini yao hiyo itakuwa ya kweli lakini ikiwa si ya kweli (ni ngumu sana kutambua dini yako ni ya kweli au uongo hata ungekuwa na digrii 1000) nawaonea huruma make hawawezi kujinasua kwenye upuuzi huo.
Watu wa Mungu hata kwenye vitabu vya kale wanapendwa na wanapendeka lakini wenzetu hawa hawajipendi wenyewe angalia uadui ulioko nchi za jangwa, au Somali; iran na Irak; Uturuki na Irak, Jordan na Lebanon. Na upande wa pili wanagombana na kila mtu awe Mrusi, Mhindi, Mchina, na Mzungu. Yaani utawaonea huruma. Mi naamini hata Palestina wangekuwa na Imani tofauti wangeishi kwa amani na waisraeli kwa bila tatizo. Mbona waafrika wanaishi vizuri na makaburu Afrika kusini?
Ukweli utawaonea huruma lakini kizingiti walichowekewa na huo udini wao hairuhusu kuwaza zaidi ya wigo wa kidini.
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks


Unakumbuka support ya NCCR ilitoka wapi 1995? Acha kulinganisha Mlima na Kichuguu.
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks


CHADEMA haikuanzishwa leo, kilikuwepo hata wakati NCCR wanawika 1995, tatizo NCCR walikuja na moto wa mabua, wakati CHADEMA walikuwa wanajiimarisha polepole matokeo yake tunayaona. CHADEMA walikuwa wana wabunge wangapi 1995, 2000,2005, na sasa 2010? Wakati NCCR 1995 walikuwa wana wabunge 28, 2000 walipungua kwa kiwango kikubwa sana, na hatimaye kutokuwa na mbunge kabisa 2005. At least Mkoa wa Kigoma umewatoa kimasomaso mwaka huu.
 
Tusipende kuwa watabiri halafu by chance yakatokea hayo muanze ku review topic zenyu na kujisifu
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks

Wewe inaonekana una fikra changa na hujui muundo wa chadema na hali ya kisiasa inayoendelea nchini kwa sasa ni heri ungetafuta material usoem kwanza kabla ya kuropoka.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. (QUOTE)


Hivi ukikutana na na mtu msituni na mtu huyo akakuonya kwa kukuambia kuwa usipite hiyo kuna chatu mkubwa je, utamjibu kwa kejeli kuwa
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. (QUOTE)


Hivi ukikutana na mtu msituni na mtu huyo akakuonya kwa kukuambia kuwa usipite njia hiyo kuna chatu mkubwa je, utamjibu kwa kejeli kuwa
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
 
CHADEMA haikuanzishwa leo, kilikuwepo hata wakati NCCR wanawika 1995, tatizo NCCR walikuja na moto wa mabua, wakati CHADEMA walikuwa wanajiimarisha polepole matokeo yake tunayaona. CHADEMA walikuwa wana wabunge wangapi 1995, 2000,2005, na sasa 2010? Wakati NCCR 1995 walikuwa wana wabunge 28, 2000 walipungua kwa kiwango kikubwa sana, na hatimaye kutokuwa na mbunge kabisa 2005. At least Mkoa wa Kigoma umewatoa kimasomaso mwaka huu. (QUOTE).

Time will tell. Tusubiri tuone. Yetu macho, masikio na kila kitu. Tuombe uzima ili tuione hiyo 2015.
 
sokomoko je ndivyo ulivyo kaa na utafakari kama nccra ikipata watu wenye busara itabadilika lakini sii hii inayoongozwa guys!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom