Elections 2010 The Rise and Fall of CHADEMA

Nov 4, 2010
83
2
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks

umetumia kigezo gani kung'amua hayo? au ndiyo shekhe yahya style?
 
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateThu Nov 2010Posts33Thanks0Thanked 1 Time
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks

Mkuu, CUF ndicho kinaweza kikasambaratika - kimekuwa chama cha upinzani cha vyama vya upinzani na kuisupport ccm kiasi inanishangaza hata wana nccr kusimama upande wao, sidhani wana cuf wote watakuwa wanafurahia namna kilivyofanya. Kimeanza kuzeeka mapema sana na kwa kasi ya ujabu. Mpaka kufika 2015 si ajabu walio ndani yake watataka kujitoa ili waanzishe CUF nyingine au chama kingine.
 
Kwa wanao ona mbali Chadema hakina maisha marefu labda wabadili mienendo yao ya kiuongozi. Binafsi sina matatizo na watu wamoja wamoja ndani ya chama nina matatizo ya mfumo wa chama. Wakiweza kurekebisha hili basi wataweza kuwa chama bora Tanzania wakienedlea na itikadi zao za kuona wao ni asilimia 12. basi wataweza kitakufa natural death.

Mwisho napende nisema baadhi ya viongozi wa chadema ni makini lakini chama chao sio makini na wakigundua hivyo watafanya kama alivyofanya kafulila.
 
Mkuu, CUF ndicho kinaweza kikasambaratika - kimekuwa chama cha upinzani cha vyama vya upinzani na kuisupport ccm kiasi inanishangaza hata wana nccr kusimama upande wao, sidhani wana cuf wote watakuwa wanafurahia namna kilivyofanya. Kimeanza kuzeeka mapema sana na kwa kasi ya ujabu. Mpaka kufika 2015 si ajabu walio ndani yake watataka kujitoa ili waanzishe CUF nyingine au chama kingine.

Hujui lolote kuhusu kuisupport CCM ni bora unyamaze unaonyesha ushabiki wa chama weka hoja zako watu wazipime. In short CCM bara hawakufurahishwa na kilichojiri Zanzibar maana Sief alimkabili Karume na kumweleza nchi inaelekea kubaya na anajukumu la kuenedleza yale aliyoyasimamia baba yake akamkumbusha mengi sana na kumwambia zanzibar ni nchi iliyoingia kwenye muungano amabalo mimi pia nalikubali! Kwahiyo wao ndio watakaojenga nchi yao na ni wao ndio watakaobomoa nchi yao wazike tofauti zao waache kuamliwa na upande wa pili wa muungano. Ndio maana kukafanyika mabadiliko ya katiba zanzibar lakini CCM hawakufurahia hata kidogo na mgomo wa Karume kwa Serikali ya Muungano ulianza kuonekana kitambo mnakumbuka sherehe za mapunduzi mwaka juzi hakuhudhuria?

Kwahiyo ule muungano wa CUF na CCM hauna baraka na CCM bara ila hawana budi kukubali shingo upande maana wenyewe wazanzibari wameamua kuipeleka nchi yao kwenye maendeleo na sio malumbano
 

Attachments

  • znz new era.jpg
    znz new era.jpg
    58.1 KB · Views: 75
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks

This is your opinion. Chadema ndicho chama pekee cha upinzani na kwa kuwa watakuwa wamelijua hilo kwa sasa ndio watajipanga upya kwa mshikamano zaidi.
 
Kwa wanao ona mbali Chadema hakina maisha marefu labda wabadili mienendo yao ya kiuongozi. Binafsi sina matatizo na watu wamoja wamoja ndani ya chama nina matatizo ya mfumo wa chama. Wakiweza kurekebisha hili basi wataweza kuwa chama bora Tanzania wakienedlea na itikadi zao za kuona wao ni asilimia 12. basi wataweza kitakufa natural death.

Mwisho napende nisema baadhi ya viongozi wa chadema ni makini lakini chama chao sio makini na wakigundua hivyo watafanya kama alivyofanya kafulila.

Hivi hata wewe mwenyewe umekielewa ulichokiandika, hasa hapo kwenye red??
 
Kwa wanao ona mbali Chadema hakina maisha marefu labda wabadili mienendo yao ya kiuongozi. Binafsi sina matatizo na watu wamoja wamoja ndani ya chama nina matatizo ya mfumo wa chama. Wakiweza kurekebisha hili basi wataweza kuwa chama bora Tanzania wakienedlea na itikadi zao za kuona wao ni asilimia 12. basi wataweza kitakufa natural death.

Mwisho napende nisema baadhi ya viongozi wa chadema ni makini lakini chama chao sio makini na wakigundua hivyo watafanya kama alivyofanya kafulila.

hao watakuwa ni akina shekhe yahya na itikadi bila elimu kutuletea uanajimu wa kwenye vitabu vya miungu wao wa uongo
lakini kwa wenye kutumia hekima kutazama mbali CHADEMA ni chama pekee cha ukombozi wa taifa kwa sasa hapa tz
cuf na ccm lao ni moja tu ikiwa ni kuisimilisha nchi ama kuizamisha tanganyika
 
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Maneno kama yako ni siku nyingi yanasemwa, lakini kitu ambacho nina amini, na nitaendelea kuaminini ni kwamba, Chadema ni chama makini na kina watu makini. Chadema ni chama ambacho kinafanya maamuzi kisayansi na sio kisanaa (usanii), ni mara nyingi unakuta watu wengi wanalalama oh oh chadema wafanye hili au lile, lakini Chadema wanaamua kutokana na uhalisia wa jambo na si hisia za watu fulani.
Sote tunajua wanasiasa wengi nchi hii ni pandikizi la CCM (wengine huwezi wajua kwa haraka) hivyo kuendeleza au kukuza chama ni kazi ngumu inayohitaji umakini wa hali ya juu ambao Chadema wanao. Nani angeamini Kyabo CCJ angefanya aliyofanya.

Chadema wanajua walifanyalo, ndugu zangu. Tuwaombee tu.
 
Hujui lolote kuhusu kuisupport CCM ni bora unyamaze unaonyesha ushabiki wa chama weka hoja zako watu wazipime. In short CCM bara hawakufurahishwa na kilichojiri Zanzibar maana Sief alimkabili Karume na kumweleza nchi inaelekea kubaya na anajukumu la kuenedleza yale aliyoyasimamia baba yake akamkumbusha mengi sana na kumwambia zanzibar ni nchi iliyoingia kwenye muungano amabalo mimi pia nalikubali! Kwahiyo wao ndio watakaojenga nchi yao na ni wao ndio watakaobomoa nchi yao wazike tofauti zao waache kuamliwa na upande wa pili wa muungano. Ndio maana kukafanyika mabadiliko ya katiba zanzibar lakini CCM hawakufurahia hata kidogo na mgomo wa Karume kwa Serikali ya Muungano ulianza kuonekana kitambo mnakumbuka sherehe za mapunduzi mwaka juzi hakuhudhuria?

Kwahiyo ule muungano wa CUF na CCM hauna baraka na CCM bara ila hawana budi kukubali shingo upande maana wenyewe wazanzibari wameamua kuipeleka nchi yao kwenye maendeleo na sio malumbano

punguza hasira, it will only impose poison in your brain. ikiwa kuna ccm bara unadhani hakuna cuf bara? hudhani kuwa wanaweza kuuliza ni kwa nini inaonekana kuna chama kimoja cha upinzani bungeni na ni kwa nini cuf bungeni (bunge la muungano) inaonekana kuambatana na ccm?

mimi siangalii suala la huo mwafaka wenu wa zanzibar ulioasisiwa na Mke wa marehemu Adeid karume, hiyo kusema seif alimkabili karume ni porojo za wasiojua kilicho chini ya pazia.

Mwasisi wa hayo yote ni mama karume na ndiyo maana hata akina makamba waliufyata. seif na amani wasingeweza kukaa meza moja bila huyo mama kuingilia.

give it time and you will see
 
Hujui lolote kuhusu kuisupport CCM ni bora unyamaze unaonyesha ushabiki wa chama weka hoja zako watu wazipime. In short CCM bara hawakufurahishwa na kilichojiri Zanzibar maana Sief alimkabili Karume na kumweleza nchi inaelekea kubaya na anajukumu la kuenedleza yale aliyoyasimamia baba yake akamkumbusha mengi sana na kumwambia zanzibar ni nchi iliyoingia kwenye muungano amabalo mimi pia nalikubali! Kwahiyo wao ndio watakaojenga nchi yao na ni wao ndio watakaobomoa nchi yao wazike tofauti zao waache kuamliwa na upande wa pili wa muungano. Ndio maana kukafanyika mabadiliko ya katiba zanzibar lakini CCM hawakufurahia hata kidogo na mgomo wa Karume kwa Serikali ya Muungano ulianza kuonekana kitambo mnakumbuka sherehe za mapunduzi mwaka juzi hakuhudhuria?

Kwahiyo ule muungano wa CUF na CCM hauna baraka na CCM bara ila hawana budi kukubali shingo upande maana wenyewe wazanzibari wameamua kuipeleka nchi yao kwenye maendeleo na sio malumbano

wazanzibar wepi hao? hawa tunaowajua sisi ama? hapo hakuna maendeleo ukweli ni kwamba zanzibar sasa
kuongozwa kwa remoti kontroo na kundi la mafisadi la ccm
 
Hujui lolote kuhusu kuisupport CCM ni bora unyamaze unaonyesha ushabiki wa chama weka hoja zako watu wazipime. In short CCM bara hawakufurahishwa na kilichojiri Zanzibar maana Sief alimkabili Karume na kumweleza nchi inaelekea kubaya na anajukumu la kuenedleza yale aliyoyasimamia baba yake akamkumbusha mengi sana na kumwambia zanzibar ni nchi iliyoingia kwenye muungano amabalo mimi pia nalikubali! Kwahiyo wao ndio watakaojenga nchi yao na ni wao ndio watakaobomoa nchi yao wazike tofauti zao waache kuamliwa na upande wa pili wa muungano. Ndio maana kukafanyika mabadiliko ya katiba zanzibar lakini CCM hawakufurahia hata kidogo na mgomo wa Karume kwa Serikali ya Muungano ulianza kuonekana kitambo mnakumbuka sherehe za mapunduzi mwaka juzi hakuhudhuria?

Kwahiyo ule muungano wa CUF na CCM hauna baraka na CCM bara ila hawana budi kukubali shingo upande maana wenyewe wazanzibari wameamua kuipeleka nchi yao kwenye maendeleo na sio malumbano


Ndiyo unatuambia kuwa CUF ni moja ya chama tawalaeeee!!!!
Kwa taarifa yako CUF hakina muda mrefu, na kitauawa na ccm ambao wameungananao kinafiki.
CHADEMA ni chama makini na kitaendelea kukomaa na kwenda mbali zaidi. CUF wangekuwa makini wangekubali kuungana na CHADEMA. Hii inaonyesha ni jinsi gani CUF wasivyo na vision.
 
punguza hasira, it will only impose poison in your brain. ikiwa kuna ccm bara unadhani hakuna cuf bara? hudhani kuwa wanaweza kuuliza ni kwa nini inaonekana kuna chama kimoja cha upinzani bungeni na ni kwa nini cuf bungeni (bunge la muungano) inaonekana kuambatana na ccm?
mimi siangalii suala la huo mwafaka wenu za zanzibar ulioasisiwa na Mke wa marehemu Adeid karume.

give it time and you will see
na huo ni ukweli mkuu,
kwa mtu yeyote makini hawezi kuufurahia ule mwafaka wa zanzibar ambao kwa uwazi
ulilenga kumwandalia maisha yasiyo na bugdha KArume na familia yake
kutokana na ufisadi alioufanya kwa visiwa vya zanzibar

lakini ule hakuna mwafaka ni kwamba cuf kwa sababu ya uroho wa kupewa madaraka
ama kuajiriwa na ccm wakaamua kuuza utu wao kwa ccm kwa maslahi ya viongo ni kwa
faida za wazanzibar
 
wazanzibar wepi hao? hawa tunaowajua sisi ama? hapo hakuna maendeleo ukweli ni kwamba zanzibar sasa
kuongozwa kwa remoti kontroo na kundi la mafisadi la ccm

Mkuu I can asure you hao mafisadi tayari wameshapima na kukata sanda ya kuivalisha cuf wakati wa maziko. it is just the matter of time. cuf itayumba mpaka watajutia uamuzi wao.
 
Chadema hakitaanguka kama unavyofikiria, bali watakaoanguka ni hao wanaotaka kukiangusha.:nono::nono:
 
Hivi hata wewe mwenyewe umekielewa ulichokiandika, hasa hapo kwenye red??

Chama cha Chadema sio makini ila kuna baadhi ndani ya hicho chama ni watu makini mmoja wao aliepata kuwa mwanachama ni kafulila wengine wakijakutambua kama Chadema kina agenda zake na wanaharakisha zitimie na mfano kilichotokea Dodoma utaona watamwaga manyanga na nina uhakika NCCR Mageuzi itarudi kwenye form na kuipiku Chadema 2015 hii itachangiwa na ubinafsi wa chama cha chadema.
 
Back
Top Bottom