The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Hii issue imekaa hovyo mno kwa UK, nimesoma wanasema issue ya Middle East kwanza ilishazuiwa na Tony Blair kwa kipingamizi cha national security.

Pili wahusika wengi are no longer working there anymore.

Tatu jamaa walikua tayari ku-settle the score with SFO lakini the amount they asked for was rediculous, hivyo BAE wamesema bring it (In the court).

Nne the SFO so far haven't the sufficient evidence on who's responsible for what exactly hivyo inaonekana ulikua mkwara tu at first kwani BAE washasema hiyo hela aito lipwa labda waje na tens of millions lakini sio a billion compensation.

Mwisho sidhani kama hii kesi inaweza pewa public inquiry kama mtakumbuka mlio UK Tony Blair backed alot of this deals particularly the radar one which was not well received with many MP's. Sasa inaonekana some will be prevented from court evidence its a battle that i do not see the 'SFO' winning. Ndio maana BAE wameleta jeuri ya kwamba wa waende mahakamani wakitaka.


Chenge aweza kupelekwa kahakamani hapa Tanzania na conviction kupatikana bila wasiwasi wowote iwapo PCCB/DPP wangeonyesha kulichangamkia zaidi suala hili, na waondokanae na kutumiwa na wanasiasa kama malaya. Waombe ushahidi from SFO -- ule ulionyesha mtiririko wa dola milioni moja from BAE to Swiss bank to Chenge's account in a private bank in Jersey.

Hakuna haja ya kujishughulisha na siasa za UK kati ya Labour govt, SFO na BAE. Hayo ni masuala yao, tujishughulishe na yetu. SFO hawawezi kutunyima ushahidi. Chenge ni lazime akale dona kwa kuwa ni mhalifu. Akiweza kuwataja akina Mkapa, itakuwa vyema zaidi.
 
Chenge aweza kupelekwa kahakamani hapa Tanzania na conviction kupatikana bila wasiwasi wowote iwapo PCCB/DPP wangeonyesha kulichangamkia zaidi suala hili, na waondokanae na kutumiwa na wanasiasa kama malaya. Waombe ushahidi from SFO -- ule ulionyesha mtiririko wa dola milioni moja from BAE to Swiss bank to Chenge's account in a private bank in Jersey.

Hakuna haja ya kujishughulisha na siasa za UK kati ya Labour govt, SFO na BAE. Hayo ni masuala yao, tujishughulishe na yetu. SFO hawawezi kutunyima ushahidi. Chenge ni lazime akale dona kwa kuwa ni mhalifu. Akiweza kuwataja akina Mkapa, itakuwa vyema zaidi.

Punguza ganja lako kidogo, ingawa nakubaliana nawe 100%. Chenge hadhi yake ni dona kule Keko. tatizo la DPP/PCCB wetu hapa kazi yao kubwa ni kutafuta visababu vya kuwanasua wakubwa katika kashfa zao za uhalifu.

Kamata Chenge peleka mahakamani. Serikali isiogope kulipa mabilioni ikishindwa kesi, kwani haitahitajika kulipa hata senti. Itumie msimamo ule ule kama wa Valambhia. nashangaa inaleta ngonjera nyingi kuhusu hilo wakati inayo precedent live!
 
Chenge aweza kupelekwa kahakamani hapa Tanzania na conviction kupatikana bila wasiwasi wowote iwapo PCCB/DPP wangeonyesha kulichangamkia zaidi suala hili, na waondokanae na kutumiwa na wanasiasa kama malaya. Waombe ushahidi from SFO -- ule ulionyesha mtiririko wa dola milioni moja from BAE to Swiss bank to Chenge's account in a private bank in Jersey.

Hakuna haja ya kujishughulisha na siasa za UK kati ya Labour govt, SFO na BAE. Hayo ni masuala yao, tujishughulishe na yetu. SFO hawawezi kutunyima ushahidi. Chenge ni lazime akale dona kwa kuwa ni mhalifu. Akiweza kuwataja akina Mkapa, itakuwa vyema zaidi.

well ni kweli ya kwamba siasa zetu azihusiani na za UK, kwa mtu mimi kama na wewe inaonekana rahisi kumkaba huyu mtu. Hila maloya wa Chege sidhani kama watakua ni watu wapuuzi hivyoo.

Watataka ushahidi wa pande ya pili kutoka kwa wafungua mashataka ya kwamba ni kweli chege alipata hizo hela sasa sijui tutatumia kigezo gani, kwani ni kweli radar ilinunuliwa hila BAE hii walionga kupata dili nyingi hii ikiwemo moja wapo. Sasa hela atakama kuna ushahidi imeeingia kwenye account ya chege ni nani kalipa au imetoka wapi (ilikua ya serikali yetu au yakuongwa kutoka UK). Kwani waahusika wengi ambao wanahusika kwenye kuonga awapo tena si kwa makusudi ni kama kwetu tu na wao ni kwa kuua soo la ushirikaji wa serikali katika mambo haya.

radar ni hela ndogo kwao, wako more interested on the forty billion deal in the middle east. na how much money was involved kuonga hili wahusika wapate hii dili. Hii sio thoo ya kitoto mjomba.

Kesi ambayo chege ambayo unaweza mkaba nayo ni ya uzembe wa kazi kununua vitu vibovu, again unarudi tena kwenye kesi zote zilizopo tanzania za ufisadi leo hii, ya kwamba na kubali uzembe lakini si kosa langu. sasa kama tuna akili timamu hapa nani atakuwa wakupelekwa mahakamani yaani hao PCCB wamchague nani wamuache nani katika kesi zote za ufisadi zenye kisingizio cha uzembe wa kazi.
 
By Jean Shaoul
5 October 2009


The Serious Fraud Office (SFO) in Britain is set to ask the attorney general to prosecute arms manufacturer BAe Systems for bribing officials in South Africa, Tanzania, the Czech Republic and Romania.

It will then be up to Baroness Scotland, the highest legal officer, to decide whether there is enough evidence to launch a prosecution under the 2001 Prevention of Corruption Act and whether it is in the “public interest” to do so.

If it does go ahead, it will be the first prosecution in Britain of a major corporation for overseas bribery. BAe is Britain’s largest manufacturer, with 105,000 employees worldwide and 30,000 in Britain. It is Europe’s largest defence corporation in revenue terms and the leading overseas supplier to the US Defense Department.

In the weeks leading up to the formal presentation of the documents to the Attorney General, the SFO will continue to negotiate with BAe to secure a plea agreement and a hefty fine as an alternative to a full criminal trial with a jury. It is believed that the SFO, which has been in negotiations with BAe since April, has been demanding a fine of at least £500 million, while BAe is only willing to agree to tens of millions.

BAe has been mired in corruption scandals for years, most notably over its lucrative Al Yamani deal selling military equipment to Saudi Arabia in 1986. The largest export deal in British history, which by 2005 was worth £43 billion, was widely believed to be 30 percent more than the going rate. A 1991 report by the official watchdog, the National Audit Office, was suppressed.

It was only when the Guardian published details of documents inadvertently released to the Public Records Office and almost immediately withdrawn, that the SFO was forced to launch an inquiry in 2004. But Prime Minister Tony Blair intervened in December 2006 and got the attorney general to stop the SFO from pursing its investigations in the “national interest”.

Blair’s aim was to protect the Saudi ruling clique and cover up his own government’s role.

The government defended its position against legal challenges from the campaigning groups, Campaign Against the Arms Trade and the Cornerhouse, right up to the House of Lords where the law lords dutifully backed the government.

Although investigations into the Saudi deals were quashed, the US authorities are determined to pursue the case in the US courts. Moreover, the SFO continued its investigations into other bribery allegations. The largest concerns the £1.6 billion sale of Hawk and Gripen warplanes, a deal promoted by Blair and given financial backing by the Labour government, to South Africa.

South African Defence Minister Joe Modise signed the deal with BAe, even though the Hawks cost twice as much as an Italian competitor. One of a number of leaked SFO documents alleges that BAe secretly paid more than £100 million and accused BAE of a corrupt relationship with an arms dealer, John Bredenkamp, who according to a former BAE executive, “Suggested identifying key decision-makers with a view to ‘financially incentivising them’ to make the right decision.”

Another BAe memo refers to “third world procedures,” which the SFO said was a euphemism for bribes. The document also listed the millions of pounds paid to Modise’s aide through secret off-shore channels.

South Africa’s upgrade of its military has already spawned prosecutions, jail sentences and corruption allegations that go right to the top of the South African elite, including President Jacob Zuma.

The second set of charges relate to a £116 million deal in 2003 with Romania to refurbish and maintain two British frigates the Royal Navy no longer wanted. The Ministry of Defence organised the deal and the government provided financial backing. A Romanian admiral later claimed that similar frigates were available from the Dutch at half the price. At issue are BAe’s payments of £7 million to a middle man, Barry George, married to a Romanian woman with close connections to the Ceausescu regime and Communist Party. BAe, when applying for financial aid from the government, claimed that most of the £7 million had gone to another agent whom it refused to identify. The SFO has evidence that all the payments went to George.

Another investigation relates to the sale of a £28 million air traffic control system to Tanzania in 2001, involving £9 million bribes. The deal was the subject of widespread condemnation by NGOs at the time because it was unsuitable and four times more expensive than a far more suitable system. Tanzania, one of the poorest counties in the world, had recently been granted $3 billion debt relief by the World Bank and IMF on the basis that it would impose austerity measures. As a system clearly designed for military purposes, it was a flagrant breach of the debt conditions.

The deal had the backing of Blair and then Foreign Secretary Jack Straw, probably because it was to be used for Western military operations against “the war on terror” in East Africa. The deal must also have had Washington’s backing, otherwise Tanzania would not have defied the World Bank. Clare Short, then minister for international development, tried to stop the deal.

The fourth set of SFO inquiries relate to a £400 million contract to lease fighter jets to the Czech government. Jan Kavan, a former Czech foreign secretary, told undercover reporters that “money changed hands” with politicians in the Czech republic and named two BAe employees that had given money to an agent to pass onto politicians.

Bribery and corruption to secure overseas contracts has always been part and parcel of the way big business secures overseas contracts. But the US is pushing for prosecutions as a means of eliminating the competition.

Siemens of Germany paid £2 billion in fines and legal costs for corruption on a global scale. A senior executive from Halliburton, the US engineering corporation, faces seven years in jail for corruption in Nigeria. In France, 30 of Total-Elf’s executives and agents were found guilty of the corrupt misuse of 350 million euro between 1989 and 1993 to buy political favours abroad.

BAe and other major corporations admit that graft and palm greasing on a mammoth scale was endemic. But Britain’s politicians and civil officials turned a blind eye as they helped the corporations secure lucrative contracts, while lecturing poor countries on the need for “good governance” and an end to corruption.

In 1997, Tony Blair promised an ethical foreign policy and the ratification of the OECD’s Anti-Bribery Convention. That has still to happen and the OECD has long complained about Britain’s failure to implement it. While Blair did under pressure in 2001 introduce the Prevention of Corruption Act, key elements of the Convention were excluded.

Labour has operated a revolving door between powerful companies, financial consultants and Whitehall, under the guise of bringing entrepreneurial expertise into the civil service, giving the major companies enormous lobbying power. Following pressure from BAe, Rolls Royce and Airbus, the government put a stop to the Export Credit Guarantee Department’s attempts to introduce stronger anti-bribery measures. It took a judicial review to get them reinstated.

The late Robin Cook, a former foreign secretary, famously wrote in his memoirs, “I came to learn that the chairman of BAe appeared to have the key to the garden door to No 10. Certainly I never knew No 10 to come up with any decision that would be incommoding to BAE.”

The same can be said for the oil companies, the banks and a host of others.

As well as dropping the investigations into BAe’s dealings with Saudi Arabia, Britain has hindered the recovery of huge sums looted by Nigeria’s former president, Sani Abachi, and salted away in British banks. Earlier this year, the SFO called off belated investigations into a massive Kenyan corruption scandal involving British registered companies.

The first ever case involving overseas corruption was last year, when the managing director of a British company was given a suspended prison sentence for bribing a Ugandan official. Last week, a construction company, Mabey & Johnson, was convicted of making corrupt payments in six countries to secure contracts, including one in the US.

But the BAe case is far bigger than any of these other overseas cases. The corporation wants to avoid both admitting to the charges and paying a hefty fine. An admission of guilt could see it banned from competing for contracts in the European Union, the US and elsewhere, while a hefty fine would eat into profits. But the company may yet do a deal with the SFO. Alternatively, it may calculate that the SFO’s record in successfully prosecuting serious fraudsters and business crime has been so abysmal it may be able to evade conviction.
 
Kazi ipo! Tanzania aibu imetupata, tena kubwa, aibu hii inaletwa na uongozi mbovu ambaohauna hata ile haya ya usoni binadamu aliyoumbiwa, JK yuko wapi? Silence means?

Nasikitika sana, ipo nafasi moja tu ya ukombozi kwa mtanzania na hii sio kupitia boksi la kura au karatasi za kura zitakazo chapwa hapa nchini tena na vibaraka wa hawa hawa mabwana wanao kalia kimya maswala walioapa kuyalinda, ukombozi huu utaletwa na mapinduzi! ndio, mapinduzi! Tena mapinduzi matakatifu!
 
rushwa its our habit may God change us turn to be innocent pple wizi wengine hauna dili chukuwa kidogo muachie na mwenzio
 
Kazi ipo! Tanzania aibu imetupata, tena kubwa, aibu hii inaletwa na uongozi mbovu ambaohauna hata ile haya ya usoni binadamu aliyoumbiwa, JK yuko wapi? Silence means?

Nasikitika sana, ipo nafasi moja tu ya ukombozi kwa mtanzania na hii sio kupitia boksi la kura au karatasi za kura zitakazo chapwa hapa nchini tena na vibaraka wa hawa hawa mabwana wanao kalia kimya maswala walioapa kuyalinda, ukombozi huu utaletwa na mapinduzi! ndio, mapinduzi! Tena mapinduzi matakatifu!

Hii ndugu acha liwatokee puani maana viongozi walikua kifua mbele kuficha lakini obuvu kujificha ni kazi sana. watu watakula kauli zao.
 
THE third phase government of former president Benjamin Mkapa used national gold reserves from the Bank of Tanzania to secure a $40m loan from Barclays Bank used to finance the controversial purchase of military radar equipment from British firm BAE Systems in 2002, it has been revealed.

In order to secure the hefty loan, the Mkapa government went out of its way to minimize the financial risk carried by Barclays Bank in lending to Tanzania.

Measures taken included accepting a financing arrangement that allowed BoT money backed up by the national gold reserves to be held in London as collateral.

The Mkapa administration also agreed that English law, and not Tanzanian law, should prevail in the event of any litigation arising out of a possible default on the Barclays Bank loan.

At the time the loan was being processed between 1999 and 2002, the Barclays Bank Tanzania Limited board of directors was chaired by Jayantilal Chande.

Chande, also commonly referred to as Sir Andy, also served as chairman of the board of directors of the then state-run Tanzania Railways Corporation (TRC).

He was knighted by Queen Elizabeth II of the United Kingdom in 2003, just a year after the radar transaction with BAE (Britain’s leading defence manufacturer) was concluded.

Officials say as Barclays Bank (Tanzania) board chairman, Chande was a person of influence in the loan negotiations between the UK-headquartered bank and the Tanzanian government.

Tanzania, being a beneficiary of the Highly Indebted Poor Countries (HIPC) debt relief initiative, had at the time agreed with the International Monetary Fund (IMF) not to borrow any money from commercial banks.

In order to persuade the IMF to allow this loan to Tanzania, Barclays Bank reportedly declared that over a third of it was to be considered a grant.

Investigations by Britain’s Serious Fraud Office (SFO) have already identified key roles played by then attorney general Andrew Chenge and Bank of Tanzania governor Dr Idris Rashidi in the radar transaction.

Both Chenge and Rashidi are now considered suspects by the SFO in its ongoing investigation of corruption indications related to the whole deal.

According to the SFO investigations, the legal opinion given by Chenge in support of the financing agreement for the purchase of the radar system had "put the economic interests of Tanzania at risk."

Various UK members of parliament last year questioned the role of Barclays Bank in the BAE radar deal with Tanzania, and precisely how the bank came to the decision to extend the loan to the Mkapa government to finance the dubious deal.

They included Liberal Democrat MP Norman Lamb (North Norfolk), who has long been a fierce critic of the deal.

Debating the matter in the British House of Commons, Lamb said: "Barclays provided the loan finance (to Tanzania) at a time when all the allegations were in the public domain and concerns were being raised that it was a dodgy deal."

He noted the widespread public criticism against the deal that prevailed at the time.

According to latest THISDAY findings, a previous attempt by the Mkapa government to purchase an air traffic control system from Siemens Plessey System (SPS) for $88m was aborted due to failure to secure financing for the deal.

BAE Systems acquired SPS in October 1997 and inherited negotiations which were at an advanced stage. In an attempt to avoid opposition to the radar deal from the World Bank and IMF, the contract price was ”reduced” to $40m for the first phase of the project, and there was to be a second phase.

The Mkapa government is understood to have rejected an available loan from the European Investment Bank to install a state-of-the-art air traffic control system for Tanzania and its two neighbours, that would have cost less than half the price quoted by BAE Systems.

Instead, it opted for the BAE Systems radar, described by the International Civil Aviation Organisation (ICAO) as ”very old technology” and more suitable for military, not civilian use.


Kwa mwendo huu Mheshimiwa Mkapa ana majibu ya kujibu siamini kama alikuwa hajui kabisa kinachoendelea.

Madudu kama haya !!!!
 
Apelekwe tu,as a deterent measure.ALE MAHARAGE TU,na kesi icheleweshwe kwa miaka kama ambavyo za wanyonge zinacheleweshwa kwa miaka hata mitano!!!
Mengi yanayoandikwa ni utetezi wa kijanjakijanja.Go to hell Chenge,mwizi ,muuaji.
 
Jamani umefika wakati sasa sheria zifuatwe kama inavyotakiwa-mambo haya yakiachwa yaendelee hovyohovyo itafika wakati wananchi wataamua cha kufanya na hapo maji yatakuwa yameshamwagika.Vijana majimboni kwa hawa mafisadi tunatakiwa kuwa wawazi zaidi na kuwahoji wabunge mafisadi kuhusu tuhuma zao.Jamani tukaze buti sisi ndo wenye uwezo wa kuijenga Tanzania yenye neema na sio hao wanasiasa feki wenye njaa!
 
Prosecute the radar suspects




By Editor



7th February 2010











EdiBAE.jpg

Editorial cartoon



Friday’s announcement that the British arms firm BAE Systems has owned up to all the long-running corruption allegations levelled against it, and agreed to pay penalties in the US and the UK totalling several hundred million dollars, is only partially good news. The totality of the good news would be achieved only if the local co-conspirators are prosecuted, and, ideally, convicted.

Under the deal, announced simultaneously in London and Washington, BAE will pay $400m (£255) in the US and £30m in the UK. In the US, the company will plead guilty to offences of false accounting to settle bribery allegations made over the enormous Al Yamamah arms deals with Saudi Arabia stretching back more than 20 years, as well as corruption allegations over arms deals in central Europe.

The deal with the Serious Fraud Office in the UK covers one arms contract only, under which an overpriced military radar was sold to Tanzania. The SFO said some of the cash would become "an ex gratia payment for the benefit of the people of Tanzania".

The actual price of the military radar then was $12million, but Tanzania paid about $40million – the extra $28million literally went to the dogs. Tanzania may get a refund of $28 million (Sh37.8 billion), an amount that can finance a total of 9,500 students to pursue undergraduate studies for two years or enable 7.4 million families to have treated mosquitoe nets at the cost of Sh5,000 each.
In 2006, UK’s investigators established that BAE System secretly paid a $12m commission into a Swiss account in a deal which led to Tanzania, one of the world's poorest countries, buying a controversial military radar system.

After nearly nine years of spirited public outcry, finally the BAE System admission proves beyond reasonable doubt that it really bribed its way into securing various arms contracts, including the $40million controversial radar sold to Tanzania.

Friday’s announcement proves that a dirty scheme was hatched and huge amounts of money changed hands illicitly. On the local front, though, half of the problem remains pending – prosecution of the gang comprising business tycoons and politicians, which must be undertaken by relevant government agencies, at the forefront of which is the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB).

Commendably, PCCB deserves a huge pat on the back for liaising closely, efficiently and effectively with the Serious Frauds Office (SFO) of the UK to pin-point the suspects. It should now stretch the process to its logical conclusion.

Rumours to the effect that the suspects are now free in the wake of the BAE System’s announcement that it was paying a penalty to avoid corporate criminal prosecutions in UK, should be firmly silenced, to demonstrate, first, that Tanzania is a sovereignty country with its laws, and is not an annex of the UK’s legal system.
Secondly, and more importantly, prosecution will silence the notion that certain individuals can act with impunity and go scot-free. And while acknowledging that the prosecution process has been hampered and consequently delayed by lack of clear-cut evidence, BAE System’s admission strengthens the case against the local schemers of the scam.

The issue, moreover, has a critical socio-economic bearing. We borrowed money from UK’s Barclays Bank under tough conditions to pay for a facility that was overpriced by 200 percent, a big chunk of which was pocketed by a few individuals, and which would have been highly beneficial had it been channelled into causes like the anti-malaria campaign, financing education or providing soft loans to small businesses.

Those individuals must be taken to court, to reinforce the ‘rule of law’ ideal upon which we place so much emphasis.




SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Hawa wahusika akina Mzee wa Vijisenti, Iddrisa Rashid, Mzee wa "tutakula hata majani lakini ni lazima rada inunuliwe" kuendelea kupeta uraiani wakati waliifisadi nchi kwa ununuzi wa rada hii ni ushahidi wa kutosha kwamba nchi yetu haina utawala wa sheria kabisa.
 
Tanzania is a best place to live, while activities of law can be exercised only for wezi wa kuku na sio wahujumu uchumi wakubwa kama akina Chenge.
 
Nina hakika mwisho wa haya mambo unakaribia! Nchi hii tuipendayo itapata utawala makini na wa sheria na wale wasioweza kuishi kwa kufuata misingi ya haki itabidi waondoke waikimbie nchi! Mungu ibariki Tanzania! Imeliwa mno! usiiache imalizwe!
 
Hawa wahusika akina Mzee wa Vijisenti, Iddrisa Rashid, Mzee wa "tutakula hata majani lakini ni lazima rada inunuliwe" kuendelea kupeta uraiani wakati waliifisadi nchi kwa ununuzi wa rada hii ni ushahidi wa kutosha kwamba nchi yetu haina utawala wa sheria kabisa.

Wewe Bubu, unadhani kuwa fisi akinaswa mguu kwenye mtego ni rahisi kuula mguu wake ili aokoe maisha yake na ya wanae aliowaacha shimoni? Haya ni mafisi bwana, hawewezi kula miguu yao ni kizazi kizima kiangamie kwa ufisi wao.
 
Nina hakika mwisho wa haya mambo unakaribia! Nchi hii tuipendayo itapata utawala makini na wa sheria na wale wasioweza kuishi kwa kufuata misingi ya haki itabidi waondoke waikimbie nchi! Mungu ibariki Tanzania! Imeliwa mno! usiiache imalizwe!

Ndugu Mpenda,
Huu ni unabii au ni utabiri? manake hatujamsikia Shk Yahaya akizungumzia hili. Watanzania tumekuwa wengi wa imani kuwa iko siku sir god atafanya kweli, matokeo yake tumeendelea kusubiri kama fisi asubirie mkono udondoke.

Natamani wa-Tanzania tuamkimke kama wa-Tailand, haya mafisi yangefikishwa kunakostahili, lkn hii ya kusubiri kudura za muumba inaweza ikaonekana kizazi cha kumi baada yetu. Haiwezekani waje kutuambia kuwa tuwape nafasi ya kuongoza wakati hawatuambii watawafanyia nini haya mafisi yaliyojaa nchini!
 
Jamani tuache kusemaipo siku, siku ndo hii, hakuna siku nyingine, mimi mara nyingi nachukia hawa wazee wanaposema vijana ni taifa la kesho, sio kweli kabisa, muda na siku ndo huu lets us act. Tukisubiri siku tutasubiri mpaka kurudi kwa bwana wetu Yesu kama alivotuahidi.

Tanzania wake up
 
Ramadhan Semtawa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amesema hatma yake kuhusu sakata la rada iko mikononi mwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na pia akisubiri kwa hamu kurejeshwa kwa mabilioni ya fedha, zilizonunulia kifaa hicho, kutoka Kampuni ya British Aerospace Systems (BAE Systems) ya Uingereza.

Kauli ya Chenge inakuja kipindi ambacho tayari sakata la ununuzi wa rada ya jeshi kutoka kampuni ya BAE System kuibuka upya, baada ya ofisi ya serikali ya Uingereza ya Serious Fraud Office (SFO) kuibana BAE na kukubali kulipa kifuta machozi kwa Tanzania Sh 37.8 bilioni kati ya Sh 60 bilioni, zilizonunulia rada hiyo ya kijeshi mwaka 2002.

"Waulizeni Takukuru wao ndiyo wanafanya uchunguzi siyo mimi, mimi hapa nimekula zangu ugali na maharage siwezi kujua uchunguzi wao," alisema Chenge.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Dk Edward Hoseah jana alisema; "sina cha ku-coment katika hilo, sina cha kuzungumza katika hilo, nielewe."

Alipoulizwa zaidi kama alifanikiwa kuona Ripoti ya BAE Systems na hatua gani uchunguzi wa (Takukuru) umefikia wapi kuhusu hatma ya Chenge, Dk Hoseah aliamua kukata simu.

Chenge ambaye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wakati wa ununuzi wa rada hiyo, alipoulizwa na gazeti hili jana kuhusu matokeo hayo, alijibu; "ni jambo la heri kama tutarejeshewa mabilioni hayo."

"Kuna ubaya gani hapo, ehee... ni jambo la heri na jema kabisa, kama wameona kuna umuhimu wa kutoa kifuta machozi kwa Tanzania hilo ni jambo jema."

Hatua ya BAE System kuuza rada hiyo kuukuu kwa Tanzania iliwahi kuikoroga serikali ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair na kumfanya Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa Clare Short kujiuzulu na marehemu Robin Cook, akiwa Waziri wa Mambo ya Nje baada ya kumshambulia waziri mkuu huyo, hadharani.

Rais Jakaya Kikwete, amewahi kunukuliwa akisema wataiomba serikali ya Uingereza kuangalia namna ya kurejesha sehemu ya fedha hizo za rada ambayo ilinunuliwa na mtangulizi wake Benjamin Mkapa.

Chenge alipoulizwa haoni matokeo hayo yanaashiria madai ya muda mrefu kuwepo rushwa katika ununuzi wa rada hiyo, alisema; "tatizo kubwa kuna baadhi ya watu wamekaa kama fisi kusubiri mikono ya wenzao ikatike."

"Watu hawajasoma ripoti husika vizuri wanaamua kufikiria na kuweka ajenda zao wanazotaka, wanafikiria mambo mabaya tu, jamani kilichopo pale si kwamba kuna rushwa bali ni hesabu za BAE System haziko clear (wazi) katika ununuzi wa rada."

Alifafanua kwamba, kwa sheria za makampuni ya Uingereza kama hesabu haziko wazi kuna adhabu kwa kampuni husika hutolewa ikiwa ni pamoja na baadhi ya watu kulipwa kifuta machozi.

Chenge alipoulizwa tena kwamba, haoni utata huo wa hesabu za BAE Systems kutokuwa wazi ndiyo ishara yenyewe ya kuwepo harufu ya rushwa kama ripoti yenyewe ilivyo ambayo nakala imesambaa, alisisitiza;" sheria za makampuni yao, ndivyo zilivyo si kwamba kuna rushwa."

Mwanasheria huyo ambaye alijiuzulu wadhifa wa Uwaziri wa Miundombinu kutokana na kashfa hiyo ya rada baada ya kukutwa na kiasi cha Sh1.2 bilioni katika kisiwa cha Jersey, alifafanua kuwa suala hilo, linakaribia kufikia ukingoni.

Licha ya Chenge kuweka bayana kuachia Takukuru, lakini hadi sasa haijafahamika hasa Sh 1.2 bilioni zilizopo kisiwani Jersey alizitoa wapi kwani hawajawahi kutamka popopte chanzo chake.

Ijumaa wiki iliyopita, BAE ilipigwa faini ya zaidi ya Sh 400 bilioni kutokana hesabu zake za mauzo kujaa utata.

Hadi sasa Tanzania inaendelea na kesi ya rada ambayo mtuhumiwa namba moja Sailesh Vithlan anatafutwa kwa ushirukiano kati ya Polisi wa Tanzania na wenzao wa Kimataifa (Interpol).

Vithlan ambaye alitoroka nchini anatajwa kuchukua kiasi cha dola 12 milioni katika biashara hiyo na kuhonga maafisa wa serikali ya Tanzania na wanasiasa, kushawishi hadi bunge, kuidhinisha malipo hayo ya fedha zilizotumika kununulia rada.

Kumekuwa na mlolongo mrefu wa maafisa wa serikali ya Tanzania takriban 15 kuhusiana na biashara hiyo, lakini hadi sasa anayetajwa zaidi ni Chenge.

.......................
 
Birds of a feather flock together! Chenge na Hosea ni wale wale
 
Ndugu Mpenda,
Huu ni unabii au ni utabiri? manake hatujamsikia Shk Yahaya akizungumzia hili. Watanzania tumekuwa wengi wa imani kuwa iko siku sir god atafanya kweli, matokeo yake tumeendelea kusubiri kama fisi asubirie mkono udondoke.

Natamani wa-Tanzania tuamkimke kama wa-Tailand, haya mafisi yangefikishwa kunakostahili, lkn hii ya kusubiri kudura za muumba inaweza ikaonekana kizazi cha kumi baada yetu. Haiwezekani waje kutuambia kuwa tuwape nafasi ya kuongoza wakati hawatuambii watawafanyia nini haya mafisi yaliyojaa nchini!
Mkuu Nono,
Huu si unabii imekaa kama sala zaidi. Naiombea nchi yangu inusurike na haya mabalaa! Mambo yamekaa vibaya kuliko tujuavyo. Wewe bado unategemea Sh, Yahaya atabiri jema wakati keshasema atakayesimama uchaguzi na JK uchaguzi ujao atafariki??
 
Back
Top Bottom