The Power of Letting Go....

Wapendwa,

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

Weekend hii nimekuwa nikitathmini mahusiano yetu kwa ujumla. Nikajikuta nagongana na hii ya power of letting go!! Ni mara nyingi tumekuwa/au kushuhudia wenzetu wakifika mwisho wa mahusiano au mahali ambapo inawabidi kuachana na wenzi wao wengine ilhali bado wanawapenda lakini tu inabidi.

Katika kuwaza na kuperuzi nikakutana na hii ilim isemayo; Ili kuelewa power of letting go, kwanza hatuna budi kuyaelewa mahusiano yetu ambayo ni mitihani kamili ya kutufunulia undani wa nafsi zetu.... They are the true test of who we are because it is the ultimate test of our self-respect!! mh!!.....................

NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.


Kuna quotation moja niliisoma hamali flani huwa inanisaidia sana, let me share this with u nawe pia inaweza kukusaidia

"When someone comes into your life, let him come. Welcome the person, whoever he/she is. Enjoy what it is he/she brings, even if it's only for a short time.

When it is time for a person to go away, let him go. Do not turn the person's leaving into an experience of rejection, loss or abandonment. Reliaze that his/her lwaving has nothing to do with you. it is simply time for him to go.... Do this with yourself as well. let youself come and go freely in life, and don't get caught in unnecessary chains. The more you free yourself and others, the more you easily fall in Love"

Thou huwa inaumiza sana tena sana kuachwa na umpendaye ama kuachana na umpendaye kwa sababu zisizoweza kuzuilika ila tunapaswa kuukubali ukweli na pia huwa sometime challenges tu katika maisha ama ilikuwa itokee hivyo ili upate fundisho!
 
Bishanga it is the matter of telling the reality and not philosophizing. You know always women are the victims of cheating and the breaking relationships. we are always prone to whatever is seen as immoral according to our culture but also we do love men in true and with all our hearts but its you men who bait us in these bad behaviors.

unacheza wewe,kuna siku nitakupa my personal life story,nikimaliza nitaona kama utarudia kusema maneno haya.
Women!
 
una akili sana wewe!
Gfsonwin, I beg to differ ur honor!
Men get cheated too, they also get abused, Bishanga for one has been there. Why do we, women, have to make such a big out of it? Becoz we have been taught and groomed to behave like victims! Act like a lady but think like a man! What's the big deal? Mie nawaheshimu sana wanawake na wanaume walioweza kujikwamua from useless relationships! Sasa ushinde kombe, afu ulie for most of ur remaining life? Oteeeee!
 
una akili sana wewe!

Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...

Babu Jinga kakatiza mitaa ya Tandika...
Anapiga misele huku akidundika...
Akidhani watoto wa kitaa wata wanga...
Au mke wangu atababaika na kushoboka...

Kukatiza kichochoroni masela wamembananisha...
Kimoja kimoja wakaanza kumpukutisha...
Wakasaula kila kitu na kumuacha mtu kabisa...

Kama alivyozaliwa, yaani mtu kabisa...
Ooh ooh masela oya oya...
Eeh eeh eeh raia oya oya..
Ooh ooh masela oya oya...
Eeh eeh eeh raia oya oya..

Kama Japenga, Jaaapenga...
Nasema Japani mwanangu kama Japenga...
 
Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...
Natiririka natiririka natiririka hivi...

Babu Jinga kakatiza mitaa ya Tandika...
Anapiga misele huku akidundika...
Akidhani watoto wa kitaa wata wanga...
Au mke wangu atababaika na kushoboka...

Kukatiza kichochoroni masela wamembananisha...
Kimoja kimoja wakaanza kumpukutisha...
Wakasaula kila kitu na kumuacha mtu kabisa...

Kama alivyozaliwa, yaani mtu kabisa...
Ooh ooh masela oya oya...
Eeh eeh eeh raia oya oya..
Ooh ooh masela oya oya...
Eeh eeh eeh raia oya oya..

Kama Japenga, kama Japenga...
Nasema Japan mwanangu kama Japenga...

kwi kwi kwi kwi alokwambia Mama Ashrat wa tandale nani?
baby Mama Ashrat vinjari yake masaki,bahari beach,weekend dubai,j'burg,we vipi?
 
Last edited by a moderator:
Wamtakia nini wewe Mama Ashrat?

si umemtelekeza wewe baada ya kumpata Kongosho? ukidondosha kitumbua mwenzio akaokota akapangusa vumbi akala kuna ubaya gani?
halafu nasikia ustawi wa jamii wanakutafuta wewe hutunzi watoto,unazalisha tu.
 
Last edited by a moderator:
si umemtelekeza wewe baada ya kumpata Kongosho? ukidondosha kitumbua mwenzio akaokota akapangusa vumbi akala kuna ubaya gani?
halafu nasikia ustawi wa jamii wanakutafuta wewe hutunzi watoto,unazalisha tu.

Wee Babu Jinga waache Baba na Mama na Ashrat wao.....mbona unapenda kuwasumbua wewe?
 
nshakwambia Mama Ashrat katengana na mumewe ,kwanza Baba Ashrat kisukari kimemuathiri niniliyu haisimami halafu hata haeleweki eleweki,inaelekea bange aliyovuta utotoni imemdhuru.

Mi nlivosikia ni kwamba gia box yako imekufa. Na ndo maana sishangai wewe kuokota na kula kitumbua ambacho Baba Ashrat alikitupa kule.
 
Aksante Kongosho. I think you are right mydia but nini hasa kinachotufanya tuumie jamani? Kwa nini akili inagoma kukubaliana na hali halisi? Au ndio zile hisia za ...'amenichezea hisia zangu za mapenzi' zinakuwa zimetawala?

Niliachwa ghafla bila kuambiwa sababu ya kuachwa. Nilijitahidi ku let go...... ilinisumbua kwa muda mrefu sana ingawa sikuendelea kubembeleza. Akili yangu iligoma kukubaliana na hali halisi kwa kutoelezwa what went wrong.... hadi mahusiano yakavunjwa
 
Niliachwa ghafla bila kuambiwa sababu ya kuachwa. Nilijitahidi ku let go...... ilinisumbua kwa muda mrefu sana ingawa sikuendelea kubembeleza. Akili yangu iligoma kukubaliana na hali halisi kwa kutoelezwa what went wrong.... hadi mahusiano yakavunjwa

Pole sana msafiri27 kweli inauma sana ikiwa ni zile za ....Basi tu nimeamua; sijisikii tu kuendelea au ninataka tu kuwa single ! ni bora ukaijua sababu ingawa mara nyingi nahisi inawezakuwa si sababu halisi ya kilichopelekea kukuacha!

Hivi kuna mtu anayemwacha mwenzie akamwambia kabisa kuwa nimepata mwingine ninayemwona ananifaa zaidi yako? Naona kama vile hii ni ngumu especially kwa kina dada!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana msafiri27 kweli inauma sana ikiwa ni zile za ....Basi tu nimeamua; sijisikii tu kuendelea au ninataka tu kuwa single ! ni bora ukaijua sababu ingawa mara nyingi nahisi inawezakuwa si sababu halisi ya kilichopelekea kukuacha!

Hivi kuna mtu anayemwacha mwenzie akamwambia kabisa kuwa nimepata mwingine ninayemwona ananifaa zaidi yako? Naona kama vile hii ni ngumu especially kwa kina dada!

.....it's only in jf where we dare to talk openly.
Who dare tell the truth and nothing but the truth?
:D

Mwj1, kuacha kugumu kuliko kuachwa. No wonder wengi wetu tunapofikia hatua muhimu kama hiyo, tunatafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu kuepuka "lawama" za kutoa/kudai talaka.

...nakumbuka siku mbu niliyoachwa, nilimwambia ex-wangu, nenda kajifikirie upya...utapokuwa na uhakika unayosema njoo tena uniambie. Think twice (before you close the door) - Celine Dion.... Ili,....tukishaachana mtu ujue there's no room for U-Turn.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom