The Other Half (Simulizi)

The Other Half (Simulizi)

Umenifanya nikawaza mbali sana,nikakumbuka enzi zile nilipokuwa mtoto nilikuwa naweza kukaa peke yangu sehemu iliyotulia na kujiuliza mimi ni nani? Kiasi nilikuwa najishangaa na kutoka nje ya dunia kifikra tofauti na siku hizi hata nijaribu vipi siwezi tena.

Siwezi kusubiri kigongo hiki kipya honey,kwa intro hii itakuwa balaa...pasua kichwa hasa.

Si wewe peke ako Mrs The Bold.....nilivokua mtoto nilikua nawaza hvo pia naenda beyond the life afu najikuta siwezi kufikiri anymore......nilikua naishia kulia tu
 
Si wewe peke ako Mrs The Bold.....nilivokua mtoto nilikua nawaza hvo pia naenda beyond the life afu najikuta siwezi kufikiri anymore......nilikua naishia kulia tu
Dah acha tu mkuu. Tusubiri hii simulizi huenda ikatutoa tena nje ya dunia kifikra ukubwani
Hahahaaaaaa
 
Mimi nilikua nawaza huyu mungu ni katili kiasi gani hadi aumbe binadamu na wanyama kisha awaangamize kwa kiamaa?,kimsingi swali hili lilinikosesha amani ya moyo.
Dah mtoto ni malaika kweli.
Sasa hivi nimewahi kujaribu kwenda beach mara kadhaa na kujitenga sehemu tulivu kila nikivuta hisia kama zamani haziji!

Mara yatanijea mawazo ya The bold,Bashite,Sizonje hahahaaaaaaa
 
Dah mtoto ni malaika kweli.
Sasa hivi nimewahi kujaribu kwenda beach mara kadhaa na kujitenga sehemu tulivu kila nikivuta hisia kama zamani haziji!

Mara yatanijea mawazo ya The bold,Bashite,Sizonje hahahaaaaaaa
Ndo hivyo hamna namna tena,
 
Back
Top Bottom