Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
www.jamiiforums.commkuu ungeweka na link ingekuwa powa saana
www.jamiiforums.commkuu ungeweka na link ingekuwa powa saana
Duh bibie Umeamua kujilipua kumsaidia muneowww.jamiiforums.com
Kaamua kama wale commando wetu.Duh bibie Umeamua kujilipua kumsaidia muneo
Ep 15 ipo tayari tangu wiki iliyopitaYa 15 VIP. Au 16 typing error kaka
Tayari mkuu ilishatoka..Ya 15 VIP. Au 16 typing error kaka
Salamu zimefika mkuu.. She is here, nimemuonyesha meseji.!! She is saying hiAsante the bold msalimie Nifah
Pamoja sana mkuu..dah much respect the bold, siku imeanza vizuri.
Pamoja sana mkuu..
EPISODE 16 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
MKUU thanks ...hiv nwdays kuna utaratibu gan?? yaan ep 17 mpk lini?? tupo nje ya dunia kinoma kaka ila nimesoma zooote kuanzia jana
Kesho mkuu..Mkuu The Bold episode 17 Leo au kesho
Can't wait yaaniKesho mkuu..
mkuu kwa jinsi navyozipenda simulizi zako wacha niache zifike nyingi kwanzaa maana nikienda kusoma nitajitia AROSTO bureEPISODE 16 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
![]()

Mkuu habari za usiku huu ep 17 bado nacheki kule kwenye website naona badoKesho mkuu..
Ngoja niwahi shukrani the bold ubarikiweEPISODE 16 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
![]()