The One World Govt/New World Order: Is this thing for real?

The One World Govt/New World Order: Is this thing for real?

Mkuu hebu soma tena post yangu,wala hakuna mahali nimesema simba na wanyama wengine ni outcome ya hybridization!Nimesema giants walichanganya mbegu zao(kuzaana) na wanyama wa asili kama Simba,ndege n.k matokeo yake kukazaliwa viumbe wa ajabu sana ambao hawakuwa na order.Kukuongezea nikusaidie,roho za viumbe hao(hybrids) hazikuangamizwa na gharika,bali zile physical forms zao ili wasiendelee kuzaliana.Roho hizo ndizo leo zinatusumbua zikiwa katika temporary deceiption forms kama nyoka,simba mtu,samaki mwenye kichwa cha kenge n.k we call them demons au jinn!ziliachwa ili zitusumbue kama laana ya dhambi ile kubwa,na leo hao jedis wako bize kwenye research za kisayansi kutengeneza tena giants ambao ni perfect kuliko wale wa zamani!kilichowasumbua walishindwa kureplicate perfect human DNA ili kupata mtu ambaye ni binadamu perfect na hapo hapo jedi perfect.Kwa taarifa zilizopo ni kwamba sasa wameshafanikiwa na huyo mtu ndiye anaandaliwa kuwa kiongozi wa dunia chini ya serikali moja.Anaitwa Maduk.Hawa malaika leo tunawaita alliens!Halafu nikurekebishe pia,suala la hybridization waliolianzisha walikuwa jedis chini ya mkuu wao Azazel na sio Hallel!Uasi wa Hallel na Azazel ni events mbili tofauti isipokuwa baadae Hallel alipoona uasi huo wa Jedis,aliamua kuungana nao ili kuongeza nguvu,na hawa majini hadi leo wana classification zao kutokana na lineage yao.Wale wenye asili na dracos(akina Hallel) ni wakubwa sana kwa ranks za kijini maana dracos walikuwa among higher angelic ranks,na hawa hybrids wa jedi wanafuatia,na wale hybrids watokanao na hybrids ni lower ranks etc.Ikumbukwe kuwa malaika waliumbwa tofauti kutokana na ranks zao.Ni vigumu Jedis waende kupambana na Makerubi au maserafi halafu washinde.Inasemekana Hallel na wenzie walipigana na Gabriel na wenzie for 3 days bila mshindi kupatikana,kesi akapewa Michael kerubi mkuu,in hours Hallel akawa defeated vibaya!Hallel mwenyewe haku-mate na binadamu,yeye ni draco tofauti kabisa aliyeumbwa tofauti na malaika wote!Kuna watu wanasema huyo antichrist ndiye atakuwa hybrid wa kwanza na pekee from Hallel himself!I'm not sure about that ila kuna biblical passages zinamzungumzia antichrist wanazitumia kujustify that.Halafu watu wanaposikia jina "malaika" basi picha inayowajia ni sura ya mwanaume handsome,inayong'aa,kavaa kanzu nyeupe,na mabawa mawili meupe!Si malaika wote wako hivyo jamani.Hebu pitia kitabu cha Ezekiel uone viumbe aliokutana nao nabii huyu.Mpaka alizirai kwa jinsi walivyokuwa wanatisha!Maelezo ya Ezekiel juu ya malaika aliowaona yanafanana sana na hizi taswira za alliens wa hollywood movies.Anyway,wafuatiliaji wa mambo wanaelewa the force behind hollywood film industry.

Ahsante mkuu kwa hili.
Nitakubaliana nawe kwa kuzingatia Biblia ilivyowaelezea ''majitu'' ambao ni Waanaki au Waemi.

hata me nashangaa kwanini hii conspiracy ya Alliens imepata mashiko na inatetewa sana zama hizi na Apollos wameshasema kwamba wapo Alliens kwenye sayari ya Mars naona kuna system wanaiandaa ya kuwazoesha wanadamu kusikia jambo fulani ili waje watakeoff objectives zao kwenye hii NWO.
 
Kama unaona jambo haliwezekani mapovu ya nini?
Kwa sababu sipendi kuona watu wenye akili ndogo kama yako wakiwakosesha raha na kuwatisha wenzao kwa mambo ambayo ni kama hadithi za Abunuwasi!
Na kama hautaki kujua haya mambo kwa nn unabisha na ukiahidiwa kupewa evidence unakimbia.

Are you closed mind?
Wewe mwenyewe hujui, utawezaje kunijuza jambo ambalo hata wewe mwenyewe hulijui zaidi ya kuleta hadithi za kwenye mitandao huku ukijiaminisha kuwa ni ukweli? Akili yako finyu huamini kila kitu kilichopo kwenye mitandao, ukiulizwa utuambie uhalisia wake unaanza kurukaruka tu kama kunguru! Katika kuthibitisha udogo na ufinyu wa akili yako, hebu ona hiki: Are you closed mind? ! Hiki ni Kiingereza cha wapi? Au uliruka madarasa/hukwenda shule kabisa? Hebu rudi Darasa la V ukajifunze lugha vizuri kwanza kabla hujaleta porojo zako za NWO!:
 
In search hakuna uzazi wa mpango hiyo ni just public language lakini real language yao ni Abolition of families ndo maana unaona ni jinsi gani tembe za uzazi zinavyowaathiri wanawake kizazi mpzka utasa kabisa.

pia unaona ni jinsi gani wanavyo promote ndoa za ushoga kwani hakuna shoga anayezaa.

nataka kugusia hapo kwenye ndoa za ushoga.sijajua sheria za jf zinasemaje lakini naomba msamaha kama nitavunja sheria kwa some of technical terms ntakazotumia hapa.Dunia hii wanadamu tunatia huruma sana.Kuna vitu vya kutisha tunaishi navyo bila kujua.Kuna matendo ya kutisha yanafanyika lakini hatujui undani wa athari zake.Mara nyingi tumesikia matendo ya ubakaji,kulawiti watoto,ushoga na ngono za kufira wanawake(anal sex).Media pamoja na enterteinment vimejaa matangazo yanayopromote matendo haya.Mapadre,masheikh,matajiri na watu wakubwa wamehusishwa sana na mambo hayo.Kuna msululu wa kesi za watu wanaojihusisha na mambo hayo kwa masharti ya waganga.Tumesikia ritual nyingi za imani za ushetani zikihusisha matendo ya ngono ya aina hiyo.Je,ni wangapi mmewahi kujiuliza,why sex?what's so special about sex?Kizazi chetu cha leo tumekuwa maskini wakubwa wa spiritual world and science.Hii ni kutokana na jitihada kubwa za "wakubwa" kuhakikisha kwamba hatujui ulimwengu huo kwani huko ndiko the "real thing" na wao wanatumanipulate wanavyotaka kwa kuwa na ufahamu mkubwa kuliko sie.Binadamu ameumbwa na forms mbili,physical form na spiritual form.Spiritual form ni energy inayoendesha physical form.Ni rahisi tu kuelewa,jiangalie mwenyewe,utagundua hilo lakini cha ajabu hatujishughulishi kujua hii spiritual form.Tunamiliki nguvu tusiyoiona lakini hatutaki kuijua.Tunaujua vizuri mwili,ni nini kinauendesha?nini kinaleta huu utashi?Kwa ufupi niwe specific,tunayo roho,hii imeundwa kwa nguvu au energy,we call them soul/energies.Hizi ndizo zinaendesha mwili.Mfano unaposema "akili",unazungumzia nguvu inayoendesha ubongo.Unaposema "roho",unazungumzia nguvu inayoleta uhai(hii ina umuhimu wa kwanza) na kadhalika.Nguvu hizi zinampa mtu utashi alionao.Nyingi zinakuwa revealed through physical body,na chache zinaweza kufanya kazi bila kupitia mwili.Katika elimu ya uchawi kuna ufahamu mkubwa juu ya matumizi ya nguvu hizi.Kuna njia ambazo mtu anaweza kuiba nguvu za mtu mwingine na kujiongezea yeye au kuzivuruga zisikae katika mpangilio wake na hivyo kumweka muathirika katika hali ya kuhitaji nguvu kutoka nje(addiction) ili kufikia kiwango chake cha utendaji kazi.Mojawapo ya njia zinazotumika kumuibia mtu nguvu zake ni kumtia kashikashi fulani ambazo kwa utaalam wa kujifunza,mwizi anajua maeneo ambayo concentration ya nguvu hizo inakuwa kubwa baada ya kashi kashi hizo na kumfanyia kitendo cha kufungua milango yake ya eneo hilo na kumwibia.Niwe specific zaidi,binadamu anapopewa mateso,vitisho,woga na emotions za aina hiyo,soul energy zake nyingi huenda kukaa kwenye vagina(mwanamke) na anus(mwanaume).Kwa hiyo ubakaji na ulawiti unaoambatana na vitisho au vipigo,ukifanyika kwa mtu huyu,yule anayemfanyia hupokea soul energies nyingi toka kwa muathirika.Jambo hili likirudiwa kwa muathirika mara kwa mara,huvuruga energy patterns zake na kumfanya kuhitaji external energy path(addiction) ili kujisikia sawa,jambo linalomsababisha kutaka kufanyiwa tena tendo hilo.Addiction hii ikifikia critical point,huathiri medula oblongata na utendaji wa kiakili jumla wa muathirika.Hapo muathirika humuona yule anayemfanyia kama mungu mtu.Njia hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi katika kutafuta utajiri na mafanikio ya maisha kwa kujiongezea nguvu za maisha toka kwa watu wengine.The worst case scenario ni pale mwizi huyo anapokuwa ameingiwa na pepo(jini) ambalo linamtumia kuiba nguvu hizo toka kwa watu wengine.Ndipo unakuta mtu anasemwa "ana pepo la ngono" kumbe ameshakuwa addictive kutokana na kunyonywa nguvu zake na hilo dude na hivyo kutamani ngono every time.Katika hali ya kawaida ya kufanya ngono na mtu mmoja kwa hiari,huwa kuna energy exchange ya kawaida kwa vile wote wawili mnakuwa na equal concentration of those powers katika genitals zenu lakini kama kuna mmoja ambaye anamiliki jini au ni mfanyaji ngono mara kwa mara na watu tofauti,ina maana energy concentration yake inakuwa ndogo na hivyo anakuwa mnyonyaji always akitoa huku na kupeleka huku,hali inayomfanya kuwa addictive na hapo ndipo umuhimu wa ndoa unapokuja.Hata katika some kind of intelligence organisations na secret organisations ambazo zinahusisha top secret security clearance huwa zipo ambazo wana viapo vya ajabu vinavyohusisha mafunzo ya mateso na sexual pervisions za ajabu ajabu na mara nyingi waathirika huwa ni juniors wanaofanyiwa hayo na seniors wao.Wakitoka hapo huwa na utii wa ajabu kwa mabosi wao na taasisi zao.Sasa imagine dunia iliyojaa wanaume mashoga na wanawake wenye kupractise sex kwa njia zisizo za asili,watoto waliozoea kulawitiwa,na watu wanaotegemea waganga na majini kwa mafanikio ya maisha,do you see what i see mkuu?GOD HELP US PLEASE!
 
nataka kugusia hapo kwenye ndoa za ushoga.sijajua sheria za jf zinasemaje lakini naomba msamaha kama nitavunja sheria kwa some of technical terms ntakazotumia hapa.Dunia hii wanadamu tunatia huruma sana.Kuna vitu vya kutisha tunaishi navyo bila kujua.Kuna matendo ya kutisha yanafanyika lakini hatujui undani wa athari zake.Mara nyingi tumesikia matendo ya ubakaji,kulawiti watoto,ushoga na ngono za kufira wanawake(anal sex).Media pamoja na enterteinment vimejaa matangazo yanayopromote matendo haya.Mapadre,masheikh,matajiri na watu wakubwa wamehusishwa sana na mambo hayo.Kuna msululu wa kesi za watu wanaojihusisha na mambo hayo kwa masharti ya waganga.Tumesikia ritual nyingi za imani za ushetani zikihusisha matendo ya ngono ya aina hiyo.Je,ni wangapi mmewahi kujiuliza,why sex?what's so special about sex?Kizazi chetu cha leo tumekuwa maskini wakubwa wa spiritual world and science.Hii ni kutokana na jitihada kubwa za "wakubwa" kuhakikisha kwamba hatujui ulimwengu huo kwani huko ndiko the "real thing" na wao wanatumanipulate wanavyotaka kwa kuwa na ufahamu mkubwa kuliko sie.Binadamu ameumbwa na forms mbili,physical form na spiritual form.Spiritual form ni energy inayoendesha physical form.Ni rahisi tu kuelewa,jiangalie mwenyewe,utagundua hilo lakini cha ajabu hatujishughulishi kujua hii spiritual form.Tunamiliki nguvu tusiyoiona lakini hatutaki kuijua.Tunaujua vizuri mwili,ni nini kinauendesha?nini kinaleta huu utashi?Kwa ufupi niwe specific,tunayo roho,hii imeundwa kwa nguvu au energy,we call them soul/energies.Hizi ndizo zinaendesha mwili.Mfano unaposema "akili",unazungumzia nguvu inayoendesha ubongo.Unaposema "roho",unazungumzia nguvu inayoleta uhai(hii ina umuhimu wa kwanza) na kadhalika.Nguvu hizi zinampa mtu utashi alionao.Nyingi zinakuwa revealed through physical body,na chache zinaweza kufanya kazi bila kupitia mwili.Katika elimu ya uchawi kuna ufahamu mkubwa juu ya matumizi ya nguvu hizi.Kuna njia ambazo mtu anaweza kuiba nguvu za mtu mwingine na kujiongezea yeye au kuzivuruga zisikae katika mpangilio wake na hivyo kumweka muathirika katika hali ya kuhitaji nguvu kutoka nje(addiction) ili kufikia kiwango chake cha utendaji kazi.Mojawapo ya njia zinazotumika kumuibia mtu nguvu zake ni kumtia kashikashi fulani ambazo kwa utaalam wa kujifunza,mwizi anajua maeneo ambayo concentration ya nguvu hizo inakuwa kubwa baada ya kashi kashi hizo na kumfanyia kitendo cha kufungua milango yake ya eneo hilo na kumwibia.Niwe specific zaidi,binadamu anapopewa mateso,vitisho,woga na emotions za aina hiyo,soul energy zake nyingi huenda kukaa kwenye vagina(mwanamke) na anus(mwanaume).Kwa hiyo ubakaji na ulawiti unaoambatana na vitisho au vipigo,ukifanyika kwa mtu huyu,yule anayemfanyia hupokea soul energies nyingi toka kwa muathirika.Jambo hili likirudiwa kwa muathirika mara kwa mara,huvuruga energy patterns zake na kumfanya kuhitaji external energy path(addiction) ili kujisikia sawa,jambo linalomsababisha kutaka kufanyiwa tena tendo hilo.Addiction hii ikifikia critical point,huathiri medula oblongata na utendaji wa kiakili jumla wa muathirika.Hapo muathirika humuona yule anayemfanyia kama mungu mtu.Njia hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi katika kutafuta utajiri na mafanikio ya maisha kwa kujiongezea nguvu za maisha toka kwa watu wengine.The worst case scenario ni pale mwizi huyo anapokuwa ameingiwa na pepo(jini) ambalo linamtumia kuiba nguvu hizo toka kwa watu wengine.Ndipo unakuta mtu anasemwa "ana pepo la ngono" kumbe ameshakuwa addictive kutokana na kunyonywa nguvu zake na hilo dude na hivyo kutamani ngono every time.Katika hali ya kawaida ya kufanya ngono na mtu mmoja kwa hiari,huwa kuna energy exchange ya kawaida kwa vile wote wawili mnakuwa na equal concentration of those powers katika genitals zenu lakini kama kuna mmoja ambaye anamiliki jini au ni mfanyaji ngono mara kwa mara na watu tofauti,ina maana energy concentration yake inakuwa ndogo na hivyo anakuwa mnyonyaji always akitoa huku na kupeleka huku,hali inayomfanya kuwa addictive na hapo ndipo umuhimu wa ndoa unapokuja.Hata katika some kind of intelligence organisations na secret organisations ambazo zinahusisha top secret security clearance huwa zipo ambazo wana viapo vya ajabu vinavyohusisha mafunzo ya mateso na sexual pervisions za ajabu ajabu na mara nyingi waathirika huwa ni juniors wanaofanyiwa hayo na seniors wao.Wakitoka hapo huwa na utii wa ajabu kwa mabosi wao na taasisi zao.Sasa imagine dunia iliyojaa wanaume mashoga na wanawake wenye kupractise sex kwa njia zisizo za asili,watoto waliozoea kulawitiwa,na watu wanaotegemea waganga na majini kwa mafanikio ya maisha,do you see what i see mkuu?GOD HELP US PLEASE!

You spoke critical factual determined only by interior spiritual individual.

I still updated intensively from your article sire.
 
This is incredible, yet so believable...Im looking into this seriously (sceptical though), I strongly recommend that you do as well...

To watch, Pls click on the picture below:



--WanaJF, Je haya ni ya kweli au majungu tupu?!
--Je, kuna yeyote aliyeona CNN wakiongelea hayo au hii yote miujiza ya 'computer graphics' tu?!
--Kama kuna ukweli, je, Muammar Khadafi na wenginewo walio na msimamo sawa kutoka Africa, hoja zao za kuwa na serikali kuu moja ya Afrika ni mmojawapo ya wahusika katika 'one world governmet'?
--Game Theory, natumaini unapenda kuongelea haya mambo, je nasaha zako kwa hili swala ni zipi?
Shukrani.

SteveD.


Kuweni kiakili watu badala ya kuja JF na junk! KauRais ka nchi moja tu mnafikia mpaka kuuana, si mtaangamizana kabisa mkifikia kugombea cheo kimoja dunia nzima?

Ebu bashiri Afrika ya Mashariki nani unamtarajia kuwa Rais wa kwanza? Sasa hivi ukiwa na amani nyumbani kwako kaa upange maendeleo na mkeo, ukivuka kibambaza chako tu tayari umekuwa mchokozi usiyevumilika kwa jirani, hiyo ndiyo dunia ya sasa.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wafuatiliaji wa Siasa za ulimwenguni hili neno sio geni kwao ''NEW WORLD ORDER''
inasemekana ni mpango wa muda mrefu wa kuiweka dunia chini ya mfumo mmoja kiutawala,
kiuchumi na kidini wakiwa na mikakati madhubuti ya kuelea huku inasemekana zipo sera
na mipango maalumu iliyowekwa ili kurahisisha mpango huu.
kwa wachunguzi wa mambo ni dhahiri wamewasikia viongozi wakubwa duniani wakieleza juu
ya mpango huu kama Barack Obama, George Bush, Angel marcell,David Cameron, Nicolous
Sakouzy,Ban Kimoon, Bill Clinton.etc wakilielezea wazi swala hili na ikiwa ni muendelezo
tu kwani mpango mzima ulibuniwa karne nyingi chungu mbovu

images
images
images


KISIASA
inasemekana kwamba muungano wa jumiya za mataifa mbalimbali kama umoja wa ulaya, umoja
wa Afrika, Jumuiya ya Afrika Mashariki umoja wa mataifa na nyingne nyingi kwa ujumla ni mpango
madhubutiwa kuunganisha mataifa kidogo kidogo mpaka kuwa moja kwa kuweka sera ambazo
zinashabihianaili baadae katka utekezaji kamili wasione tofauti inasemekana Nchi za kiarabu zilizokumbwa
na machafuko zilikuwa zikienda kinyume na Agenda hii kisiasa ndo maana waliwajibishwa.


KIUCHUMI
Mpango wa kuwa na access ya kufanya manunuzi na mauzo popote duniani kwa electronic currency
kwa VISA, MASTER na AMERICA CREDIT Cards ni mpango wao pia kwa ule mkutano wa nchi za BRICS
[Brasil,Russia,India,China na S.Africa] uliofanyika SA mwaka jana inasemekana Agenda hii ndio
iliyokuwa ya kwanza na tumesikia wazi kwenye vyombo vikubwa vya habari kama CNN,BBC,ABC,REUTERS,
ASSOCIATE PRESS na Publications nyingi wakizungumzia jambo hili.

images



KIDINI
Kuunganisha imani zote kuwa Moja nayo ni moja ya mikakati yao kuendana na kikao kilichofanyika Japan
kilichoshirikisha dini zote Agenda kubwa ilikuwa kupata Dini moja.


sasa naomba wajuzi zaidi wa jambo hili kuleta hoja,mawazo na kile unajua juu ya jambo hili na pia kwa upande
wako unao mtazamo gani kuhusu jambo hili nawakaribisha.

Moods naomba huu uzi uachwe hapa kwani hii ni siasa tupu inayohusu dunia na Tanzania tumo ndani.


Hii kitu iko na itakuja ni miongo michache tu itaanza kufanya kazi!
 
Ahsante mkuu kwa hili.
Nitakubaliana nawe kwa kuzingatia Biblia ilivyowaelezea ''majitu'' ambao ni Waanaki au Waemi.

hata me nashangaa kwanini hii conspiracy ya Alliens imepata mashiko na inatetewa sana zama hizi na Apollos wameshasema kwamba wapo Alliens kwenye sayari ya Mars naona kuna system wanaiandaa ya kuwazoesha wanadamu kusikia jambo fulani ili waje watakeoff objectives zao kwenye hii NWO.

Conspirancy ya Alliens inapewa nguvu na uasi ili kumtoa mwanadamu ktk uhalisi ili awe anafahamu kua kuna viumbe wengine Km Hawa! Wameenda mbali sn wanadai ata rais Wa USA hulindwa na hao viumbe Alliens!
 
Mkuu hebu soma tena post yangu,wala hakuna mahali nimesema simba na wanyama wengine ni outcome ya hybridization!Nimesema giants walichanganya mbegu zao(kuzaana) na wanyama wa asili kama Simba,ndege n.k matokeo yake kukazaliwa viumbe wa ajabu sana ambao hawakuwa na order.Kukuongezea nikusaidie,roho za viumbe hao(hybrids) hazikuangamizwa na gharika,bali zile physical forms zao ili wasiendelee kuzaliana.Roho hizo ndizo leo zinatusumbua zikiwa katika temporary deceiption forms kama nyoka,simba mtu,samaki mwenye kichwa cha kenge n.k we call them demons au jinn!ziliachwa ili zitusumbue kama laana ya dhambi ile kubwa,na leo hao jedis wako bize kwenye research za kisayansi kutengeneza tena giants ambao ni perfect kuliko wale wa zamani!kilichowasumbua walishindwa kureplicate perfect human DNA ili kupata mtu ambaye ni binadamu perfect na hapo hapo jedi perfect.Kwa taarifa zilizopo ni kwamba sasa wameshafanikiwa na huyo mtu ndiye anaandaliwa kuwa kiongozi wa dunia chini ya serikali moja.Anaitwa Maduk.Hawa malaika leo tunawaita alliens!Halafu nikurekebishe pia,suala la hybridization waliolianzisha walikuwa jedis chini ya mkuu wao Azazel na sio Hallel!Uasi wa Hallel na Azazel ni events mbili tofauti isipokuwa baadae Hallel alipoona uasi huo wa Jedis,aliamua kuungana nao ili kuongeza nguvu,na hawa majini hadi leo wana classification zao kutokana na lineage yao.Wale wenye asili na dracos(akina Hallel) ni wakubwa sana kwa ranks za kijini maana dracos walikuwa among higher angelic ranks,na hawa hybrids wa jedi wanafuatia,na wale hybrids watokanao na hybrids ni lower ranks etc.Ikumbukwe kuwa malaika waliumbwa tofauti kutokana na ranks zao.Ni vigumu Jedis waende kupambana na Makerubi au maserafi halafu washinde.Inasemekana Hallel na wenzie walipigana na Gabriel na wenzie for 3 days bila mshindi kupatikana,kesi akapewa Michael kerubi mkuu,in hours Hallel akawa defeated vibaya!Hallel mwenyewe haku-mate na binadamu,yeye ni draco tofauti kabisa aliyeumbwa tofauti na malaika wote!Kuna watu wanasema huyo antichrist ndiye atakuwa hybrid wa kwanza na pekee from Hallel himself!I'm not sure about that ila kuna biblical passages zinamzungumzia antichrist wanazitumia kujustify that.Halafu watu wanaposikia jina "malaika" basi picha inayowajia ni sura ya mwanaume handsome,inayong'aa,kavaa kanzu nyeupe,na mabawa mawili meupe!Si malaika wote wako hivyo jamani.Hebu pitia kitabu cha Ezekiel uone viumbe aliokutana nao nabii huyu.Mpaka alizirai kwa jinsi walivyokuwa wanatisha!Maelezo ya Ezekiel juu ya malaika aliowaona yanafanana sana na hizi taswira za alliens wa hollywood movies.Anyway,wafuatiliaji wa mambo wanaelewa the force behind hollywood film industry.


Mkuu nakupata vizuri!

Mkuu hiyo HOLLYWOOD ni moja kati ya taasisi inayomwakilisha Muasi hapa duniani. Na sasaivi wameongeza nguvu kweli kutengeneza move za kututoa kwenye uhalisi Wa Mungu Na kutuaminisha juu ya zana ya Giza ya Muasi!
 
nataka kugusia hapo kwenye ndoa za ushoga.sijajua sheria za jf zinasemaje lakini naomba msamaha kama nitavunja sheria kwa some of technical terms ntakazotumia hapa.Dunia hii wanadamu tunatia huruma sana.Kuna vitu vya kutisha tunaishi navyo bila kujua.Kuna matendo ya kutisha yanafanyika lakini hatujui undani wa athari zake.Mara nyingi tumesikia matendo ya ubakaji,kulawiti watoto,ushoga na ngono za kufira wanawake(anal sex).Media pamoja na enterteinment vimejaa matangazo yanayopromote matendo haya.Mapadre,masheikh,matajiri na watu wakubwa wamehusishwa sana na mambo hayo.Kuna msululu wa kesi za watu wanaojihusisha na mambo hayo kwa masharti ya waganga.Tumesikia ritual nyingi za imani za ushetani zikihusisha matendo ya ngono ya aina hiyo.Je,ni wangapi mmewahi kujiuliza,why sex?what's so special about sex?Kizazi chetu cha leo tumekuwa maskini wakubwa wa spiritual world and science.Hii ni kutokana na jitihada kubwa za "wakubwa" kuhakikisha kwamba hatujui ulimwengu huo kwani huko ndiko the "real thing" na wao wanatumanipulate wanavyotaka kwa kuwa na ufahamu mkubwa kuliko sie.Binadamu ameumbwa na forms mbili,physical form na spiritual form.Spiritual form ni energy inayoendesha physical form.Ni rahisi tu kuelewa,jiangalie mwenyewe,utagundua hilo lakini cha ajabu hatujishughulishi kujua hii spiritual form.Tunamiliki nguvu tusiyoiona lakini hatutaki kuijua.Tunaujua vizuri mwili,ni nini kinauendesha?nini kinaleta huu utashi?Kwa ufupi niwe specific,tunayo roho,hii imeundwa kwa nguvu au energy,we call them soul/energies.Hizi ndizo zinaendesha mwili.Mfano unaposema "akili",unazungumzia nguvu inayoendesha ubongo.Unaposema "roho",unazungumzia nguvu inayoleta uhai(hii ina umuhimu wa kwanza) na kadhalika.Nguvu hizi zinampa mtu utashi alionao.Nyingi zinakuwa revealed through physical body,na chache zinaweza kufanya kazi bila kupitia mwili.Katika elimu ya uchawi kuna ufahamu mkubwa juu ya matumizi ya nguvu hizi.Kuna njia ambazo mtu anaweza kuiba nguvu za mtu mwingine na kujiongezea yeye au kuzivuruga zisikae katika mpangilio wake na hivyo kumweka muathirika katika hali ya kuhitaji nguvu kutoka nje(addiction) ili kufikia kiwango chake cha utendaji kazi.Mojawapo ya njia zinazotumika kumuibia mtu nguvu zake ni kumtia kashikashi fulani ambazo kwa utaalam wa kujifunza,mwizi anajua maeneo ambayo concentration ya nguvu hizo inakuwa kubwa baada ya kashi kashi hizo na kumfanyia kitendo cha kufungua milango yake ya eneo hilo na kumwibia.Niwe specific zaidi,binadamu anapopewa mateso,vitisho,woga na emotions za aina hiyo,soul energy zake nyingi huenda kukaa kwenye vagina(mwanamke) na anus(mwanaume).Kwa hiyo ubakaji na ulawiti unaoambatana na vitisho au vipigo,ukifanyika kwa mtu huyu,yule anayemfanyia hupokea soul energies nyingi toka kwa muathirika.Jambo hili likirudiwa kwa muathirika mara kwa mara,huvuruga energy patterns zake na kumfanya kuhitaji external energy path(addiction) ili kujisikia sawa,jambo linalomsababisha kutaka kufanyiwa tena tendo hilo.Addiction hii ikifikia critical point,huathiri medula oblongata na utendaji wa kiakili jumla wa muathirika.Hapo muathirika humuona yule anayemfanyia kama mungu mtu.Njia hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi katika kutafuta utajiri na mafanikio ya maisha kwa kujiongezea nguvu za maisha toka kwa watu wengine.The worst case scenario ni pale mwizi huyo anapokuwa ameingiwa na pepo(jini) ambalo linamtumia kuiba nguvu hizo toka kwa watu wengine.Ndipo unakuta mtu anasemwa "ana pepo la ngono" kumbe ameshakuwa addictive kutokana na kunyonywa nguvu zake na hilo dude na hivyo kutamani ngono every time.Katika hali ya kawaida ya kufanya ngono na mtu mmoja kwa hiari,huwa kuna energy exchange ya kawaida kwa vile wote wawili mnakuwa na equal concentration of those powers katika genitals zenu lakini kama kuna mmoja ambaye anamiliki jini au ni mfanyaji ngono mara kwa mara na watu tofauti,ina maana energy concentration yake inakuwa ndogo na hivyo anakuwa mnyonyaji always akitoa huku na kupeleka huku,hali inayomfanya kuwa addictive na hapo ndipo umuhimu wa ndoa unapokuja.Hata katika some kind of intelligence organisations na secret organisations ambazo zinahusisha top secret security clearance huwa zipo ambazo wana viapo vya ajabu vinavyohusisha mafunzo ya mateso na sexual pervisions za ajabu ajabu na mara nyingi waathirika huwa ni juniors wanaofanyiwa hayo na seniors wao.Wakitoka hapo huwa na utii wa ajabu kwa mabosi wao na taasisi zao.Sasa imagine dunia iliyojaa wanaume mashoga na wanawake wenye kupractise sex kwa njia zisizo za asili,watoto waliozoea kulawitiwa,na watu wanaotegemea waganga na majini kwa mafanikio ya maisha,do you see what i see mkuu?GOD HELP US PLEASE!

Why sex? That is a stupid question! Sex is the only animal and human activity that requires two individuals (PARTNERS) in order to be accomplished! It is therefore not a complete secret (even-though the two cannot do it in public but they share the secret and a secret that is shared is not a secret any more)). And in all such cases not both of the two individual have the same disposition, one may be small and the other big, one may be young and the other old, one may be sane the other mad, one may not even know that its participating for instance after administration of drugs etc. In animals when the act is accomplished every animal goes its way in search of other activities, or sex with ather partners without recall of how it enjoyed while with the previous partner. In animals, sex is an instinct. In humans sex was supposed to be an instinctive activity too but thought and recall has made sex a ponographic activity. There is always a story to be told to another party, a recall of the previous act and a recall of the previous partner and these contribute to sex experiences being the most SECRETLY sought stories humans want to hear (including you). That is why sex tops the list in terms of human obsessions.

Pepo wa ngono ni wewe mwenyewe ambaye umepewa uwezo wa kufikiri na kutambua MEMA NA MABAYA na kuyakumbuka na kuyarudia ukitaka. Torati inasema ni machukizo mbele za Mungu kwa mwanamme kuingilia mwanamke au mwanamme mwingine katika njia yake ya haja kubwa ili kukidhi haja yake ya ngono. Kwa hiyo hiyo dunia unayoitangaza wewe ni Your own Creation and experience that you may wish not to publish in the JF because such information is not for everyone. BWANA MKUBWA HAYO YOTE UNAYOYASEMA SISI HATUYAJUI ndiyo kwanza tunayasikia JF kutoka kwako. Bila shaka umebahatika kujua mambo mengi ya ajabu ajabu lakini you are informing us of (what we can call) your bizzarre experiences that we do not need to hear from anyone including you and especially in the JF.
 
Well well well....... naona hapa jamaa wamejikita sana ktk masuala ya sheitani, nawaomba msikubali wala kufuatilia matakwa haya stick to your religion that's the best thing to do...Mwamini Mungu na mafundisho yake binafsi najua hawatashinda.
Nimekaa nao miaka kibao ulaya, wamewabadili kwa njia nyingi lkn walipoona waislam hawabadiliki wakaanza kuzusha ugaidi ambao Ni wao wanaufanya, kwa kumalizia tusiache kuwafundisha wtt maadili kwani mtu mzima kumbadili ni vigumu target yao ni watt. I rest my case.
 
Why sex? That is a stupid question! Sex is the only animal and human activity that requires two individuals (PARTNERS) in order to be accomplished! It is therefore not a complete secret (even-though the two cannot do it in public but they share the secret and a secret that is shared is not a secret any more)). And in all such cases not both of the two individual have the same disposition, one may be small and the other big, one may be young and the other old, one may be sane the other mad, one may not even know that its participating for instance after administration of drugs etc. In animals when the act is accomplished every animal goes its way in search of other activities, or sex with ather partners without recall of how it enjoyed while with the previous partner. In animals, sex is an instinct. In humans sex was supposed to be an instinctive activity too but thought and recall has made sex a ponographic activity. There is always a story to be told to another party, a recall of the previous act and a recall of the previous partner and these contribute to sex experiences being the most SECRETLY sought stories humans want to hear (including you).

Pepo wa ngono ni wewe mwenyewe ambaye umepewa uwezo wa kufikiri na kutambua MEMA NA MABAYA na kuyakumbuka na kuyarudia ukitaka. Torati inasema ni machukizo mbele za Mungu kwa mwanamme kuingilia mwanamke au mwanamme mwingine katika njia yake ya haja kubwa ili kukidhi haja yake ya ngono. Kwa hiyo hiyo dunia unayoitangaza wewe ni Your own Creation and experience that you may wish not to publish in the JF because such information is not for everyone. BWANA MKUBWA HAYO YOTE UNAYOYASEMA SISI HATUYAJUI ndiyo kwanza tunayasikia JF kutoka kwako. Bila shaka umebahatika kujua mambo mengi ya ajabu ajabu lakini you are informing us of (what we can call) your bizzarre experiences that we do not need to hear from anyone including you and especially in the JF.

mh!katika saikolojia,tunafundishwa kuwa na open mind tunapopokea maoni toka kwa mtu mwingine.Hii inasaidia kuondoa mitazamo hasi kwa mtu huyo na hivyo kujipa nafasi ya kutafakari kwa kina anachokisema ili umwelewe.Humu kwenye mitandao ni vema ukawa offensive kuliko defensive kwani unaweza usielewe kabisa wanachokisema watu humu na ukawashambulia bure kumbe mna mtazamo wa aina moja,au kuna kidogo tu mnapishana.Mkuu mie si mchawi,ni mkristo kama wewe na hapo juu najaribu kuutahadharisha umma juu ya motives behind haya matukio ya ubakaji,ulawiti na ushoga kwamba yasiangaliwe kwa jicho moja tu kuwa ni tamaa ya mwili bali kuna spiritual aspects zinazosababisha uwepo wa ushenzi huu na ndizo kwa kiasi kikubwa zinaleta ongezeko la vitendo hivi,hivyo ni vema jamii ikaelewa sababu za kukithiri vitendo hivi kwa upana wake ili tunapopambana navyo tujue undani na ku-uproot all the sources.Na kama umechukizwa na kitendo changu cha kuzungumzia uchawi kwa uwazi hapa,nakukumbusha kwenda kusoma kwenye biblia hiyo hiyo kwenye vitabu vya Isaya,Yeremia na Ezekiel jinsi bible inavyoexpose upagani hata pale nabii anaambiwa achungulie hekaluni aone wazee wa Israel wanavyofanya ibada ya kipagani kwenye hekalu la bwana,jinsi wanavyotoa kafara milimani na kuchoma moto watoto and all satanic rituals bible imeelezea does it mean bible inafundisha uchawi?no,inakemea uchawi lakini ilibidi Mungu aeleze kwa undani ili watu wajue na kujiepusha.Kwenye torati hiyo unayosemea kuna sehemu Mungu anatoa sheria na kuelezea utaratibu ambao mwanaume wa israel anapaswa kuufanya akitokwa na mbegu za kiume ,does it mean biblia inafundisha uasherati?no,ukisoma kwa undani with free mind without motives utapata maana sahihi lakini ukitoka huko na mihemko yako utaisoma biblia tofauti kabisa(kwa tafsiri).Ndio nilichofanya hapo juu,kuelezea kwa undani madhara ya uasherati na huu upuuzi unaopigiwa debe sana na mataifa ya magharibi.when you do adultery and other kinds of sexual pervisions you have to know all the dangers facing you,not only physical but also spiritual!there is a spiritual force which drive our people into sexual pervisions and bizzare practises which are harmful to our society!we have to expose them openly ili watu wajue wanapambana na nini jamani!kama hamtaki tuyazungumze hadharani,then tunauliza,what is your motives?kwa nini hamtaki tuyaanike?mnaficha nini?tena kwa ukali hivi?anyway,kama hujanielewa ile post basi huu ufafanuzi utakuwa umekusaidia,we chukua huu,yale mambo ya "soul energies" achana nayo,wenye upeo wa kuyaelewa watacomment na tayari wengine wamecomment!life exposure zinatufanya tusifanane vichwa,wote tuna akili sawa lakini ufahamu tofauti,ila ni vizuri wote tukawa na ufahamu wa kutosha kufanya right choices and judgements.Thank you for your comments mkuu!
 
Najua hiyo post yangu hapo juu inaleta mushkeri kwa vile watz hatujazoea kuambizana ukweli.Watu wanapiga kelele hapa lakini baadhi yao ndio watendaji wakubwa wa huu uchafu na wengine ni members wa hizi destructive institutions.Watz tusikubali upuuzi huu,tuupige vita na mojawapo ya silaha kubwa ni kuujua,wanaufanya gizani,sisi tuuanike mchana kweupee,tuokoe watoto wetu,mabinti zetu na jamii yetu kwa ujumla.Tusiache mambo yajiendeshe yenyewe,tusiwe wanyonge,waoga,tupambane,this world is all we have,tukiacha jamii iende huko kuchafu,kwa kuogopa kuyazungumzia,it will be just a matter of time before these demons knock your door,it will be too late,it's better to expose them now and give our people pre- information so that we fight them when they are miles away or at least premature!Kuna lawmakers humu najua mnasoma,please,kuweni waangalifu na hizi "liberal cultures" za magharibi,msikubali ujinga,mtaangamiza jamii yetu kwa kuijaza "robots" watu watanashati kwa sura,lakini wameshavurugwa akilini,wenye kutegemea "external energy paths"!wako wapi wenye akili timamu mnielewe hapa?oh GOD HELP US!mbona hamnielewi jamani?MY GOD!Watanzania!where can i go and run away from this madness?!
 
Conspirancy ya Alliens inapewa nguvu na uasi ili kumtoa mwanadamu ktk uhalisi ili awe anafahamu kua kuna viumbe wengine Km Hawa! Wameenda mbali sn wanadai ata rais Wa USA hulindwa na hao viumbe Alliens!

yes!ndio njama yenyewe mkuu!wanapewa majina mazuri na mkakati wao umepewa jina jipya but in fact hawa ni majini na mashetani wanaotafuta suluhu ya kijanja kurudi kutawala binadamu baada ya zahma ile ya gharika na vita za Yeriko n.k na huu mpango wao ni ule ule wa ancient war kati ya joka na michael!NWO ni mnara mpya wa babeli!wenye jicho mmeshanisoma
 
mh!katika saikolojia,tunafundishwa kuwa na open mind tunapopokea maoni toka kwa mtu mwingine.Hii inasaidia kuondoa mitazamo hasi kwa mtu huyo na hivyo kujipa nafasi ya kutafakari kwa kina anachokisema ili umwelewe.Humu kwenye mitandao ni vema ukawa offensive kuliko defensive kwani unaweza usielewe kabisa wanachokisema watu humu na ukawashambulia bure kumbe mna mtazamo wa aina moja,au kuna kidogo tu mnapishana.Mkuu mie si mchawi,ni mkristo kama wewe na hapo juu najaribu kuutahadharisha umma juu ya motives behind haya matukio ya ubakaji,ulawiti na ushoga kwamba yasiangaliwe kwa jicho moja tu kuwa ni tamaa ya mwili bali kuna spiritual aspects zinazosababisha uwepo wa ushenzi huu na ndizo kwa kiasi kikubwa zinaleta ongezeko la vitendo hivi,hivyo ni vema jamii ikaelewa sababu za kukithiri vitendo hivi kwa upana wake ili tunapopambana navyo tujue undani na ku-uproot all the sources.Na kama umechukizwa na kitendo changu cha kuzungumzia uchawi kwa uwazi hapa,nakukumbusha kwenda kusoma kwenye biblia hiyo hiyo kwenye vitabu vya Isaya,Yeremia na Ezekiel jinsi bible inavyoexpose upagani hata pale nabii anaambiwa achungulie hekaluni aone wazee wa Israel wanavyofanya ibada ya kipagani kwenye hekalu la bwana,jinsi wanavyotoa kafara milimani na kuchoma moto watoto and all satanic rituals bible imeelezea does it mean bible inafundisha uchawi?no,inakemea uchawi lakini ilibidi Mungu aeleze kwa undani ili watu wajue na kujiepusha.Kwenye torati hiyo unayosemea kuna sehemu Mungu anatoa sheria na kuelezea utaratibu ambao mwanaume wa israel anapaswa kuufanya akitokwa na mbegu za kiume ,does it mean biblia inafundisha uasherati?no,ukisoma kwa undani with free mind without motives utapata maana sahihi lakini ukitoka huko na mihemko yako utaisoma biblia tofauti kabisa(kwa tafsiri).Ndio nilichofanya hapo juu,kuelezea kwa undani madhara ya uasherati na huu upuuzi unaopigiwa debe sana na mataifa ya magharibi.when you do adultery and other kinds of sexual pervisions you have to know all the dangers facing you,not only physical but also spiritual!there is a spiritual force which drive our people into sexual pervisions and bizzare practises which are harmful to our society!we have to expose them openly ili watu wajue wanapambana na nini jamani!kama hamtaki tuyazungumze hadharani,then tunauliza,what is your motives?kwa nini hamtaki tuyaanike?mnaficha nini?tena kwa ukali hivi?anyway,kama hujanielewa ile post basi huu ufafanuzi utakuwa umekusaidia,we chukua huu,yale mambo ya "soul energies" achana nayo,wenye upeo wa kuyaelewa watacomment na tayari wengine wamecomment!life exposure zinatufanya tusifanane vichwa,wote tuna akili sawa lakini ufahamu tofauti,ila ni vizuri wote tukawa na ufahamu wa kutosha kufanya right choices and judgements.Thank you for your comments mkuu!

Nilipokusoma tangunhapo awali nilikuona kama mtu unayesoma mandiko matakatifu na kuyafuatilia kwa makini sana. Katika maisha kuna kikundi cha watu kinachodai mahubiri ya Mungu ni DOGMA ya do or dont do! Mungu alipokuumba alikuumba na mapungufu ambayo huwezi kujiongezea wewe hata ufanye nini. Kimwili ukishika moto utauungua, ukikanyaga mwiba utakuchoma. Kiroho amekwambia usizini ni dhambi. Wewe sasa unageuza mambo ya zinaa yamekuwa ya open mindedness ili kuwaponya wanaoshiriki, kasoro huioni mpaka utakafika pale pa kuuliza madhara yaliyokupata yametokea kwenye dhambi ipi! Huyo pepo anayesababisha madhara watu wenye imani fulani humwondoa kwa kumkemea, lakini hawaulizi huyo pepo katoka wapi? Kumbuka kwamba pepo wabaya hawatoki kwa Mungu, wanatoka katika maisha ya mwanadamu husika. Mtoto ambaye aliyekuwa tayari amekuwa lakini bado akaendelea kulala kitanda kimoja na baba yake na mama yake alijua ngono mapema zaidi kuliko yule aliyekingwa asijue matendo ya watu wazima. Hivyo wote walionasa katika mtego huo wa mapepo wachafu walijifunza mahali, hakuna aliyetokewa na pepo tu akaanza kupandilia wenzie bila kujua. Si pepo, ni experience of the minds that repeats what you call evil acts that a person has learned before.

Sasa una uhuru wa kuchagua kati ya uhuru wa mawazo unaolengwa na saikologia unayoisema au kufuata jinsi Mungu alivyokuumba na kukutaka uishi ili kumpendeza. Mungu alijijulisha kwako kuwa Yeye ni Alpha na Omega, Mwanzo na Mwisho, hakuna pepo mpaka ukamtafute wewe kati ya zile donts. Donts zote ni kukulinda usiumize roho yako na mambo yasiyokufaa, kimwili tunaweza kufananisha na kula mavi ya ng'ombe au ya kwako mwenyewe kama chakula, hayakufai ni uchafu. Ndiyo maana hata katika dini tumeambiwa kuna njia mbili, moja pana sana na nyingine nyembamba. Wingi wa mambo ya kuchagua na kufuata ndiyo upana wa njia, uchache wa mambo ya kuchagua ndiyo ufinyu wa njia. Ushoga na ulawiti umetokana na open minds unazozikingia kifua. Sasa hivi ulaya hakuna miiko, wanaume kuingiliana ni fashion. Kuwa mwerevu uondoke huko kwa sababu miiko haina uhuru wa mawazo. Ishi na chungu ya kukosa yasiyoruhusiwa na Mungu wako.

Hakuna watu wanaofanya ngono hadharani, inaitwa ni tendo la aibu! Kama kutenda ni aibu kujadili iweje huru? Nakubali kuna madarasa ya sex education kila kona mpaka huko vijijini kuna jando na unyago. Ukiwakuta kungwi wanafunda kwenye jando na unyago huwa wanatamka matusi yote kama unavyoyajua kitandani. Ukiwakuta huko ni kama wendawazimu, wako kazini, lakini wakishatoka huko wanarudi kuwa na akili timamu, huwezi kukuta kungwi anatukana matusi aliyokuwa akitukana kwenye unyago! Na mfundwaji anaambiwa aliyojifunza siyo silaha ya kwenda anapayuka ovyo.

Hivyo nakushauri uchague audience yako kwa makini kuepuka wewe kuonekana ni shabiki na mwenye tamaa (obsession) ya kutamka matusi hadharani baada ya kuya-xperience au kuyasikia. JF ni hadhara, keep your Psychology classes and the open mind inside the classrom where it is understood to be a place for learning about sex. Ukisikia hata wataalamu wenyewe wa afya ya uzazi wanakwambia ukitaka kuwa COUNSELED kuhusu mambo hayo ukawaone sehemu maalum, faragha, siyo JF. Komaa kiakili uonekane una hekima, do not extrapolate.
 
juve2012 asante kwa darsa tunapanua ufahamu, JF is where we dare to talk openly
 
Last edited by a moderator:
Lkn ni kweli kutakua na serikali moja au kutakua na mataifa Km yalivyo ila yatakua chini ya Muasi?
 
Najua hiyo post yangu hapo juu inaleta mushkeri kwa vile watz hatujazoea kuambizana ukweli.Watu wanapiga kelele hapa lakini baadhi yao ndio watendaji wakubwa wa huu uchafu na wengine ni members wa hizi destructive institutions.Watz tusikubali upuuzi huu,tuupige vita na mojawapo ya silaha kubwa ni kuujua,wanaufanya gizani,sisi tuuanike mchana kweupee,tuokoe watoto wetu,mabinti zetu na jamii yetu kwa ujumla.Tusiache mambo yajiendeshe yenyewe,tusiwe wanyonge,waoga,tupambane,this world is all we have,tukiacha jamii iende huko kuchafu,kwa kuogopa kuyazungumzia,it will be just a matter of time before these demons knock your door,it will be too late,it's better to expose them now and give our people pre- information so that we fight them when they are miles away or at least premature!Kuna lawmakers humu najua mnasoma,please,kuweni waangalifu na hizi "liberal cultures" za magharibi,msikubali ujinga,mtaangamiza jamii yetu kwa kuijaza "robots" watu watanashati kwa sura,lakini wameshavurugwa akilini,wenye kutegemea "external energy paths"!wako wapi wenye akili timamu mnielewe hapa?oh GOD HELP US!mbona hamnielewi jamani?MY GOD!Watanzania!where can i go and run away from this madness?!

Sasa bwana mdoo hapo ndipo unapoji-contradict. Unasema wao wanafanya uchafu wao gizani na wewe unataka kuuanika hadharani. Umejuaje kuwa huko gizani wanafanya hayo unayotuambia? Hujui kutangaza JF ni kukaribisha iliterate minds kuanza kutafiti hayo machafu ni ya namna gani. In the end badala ya kuondoa kero utakuta unwarry persons wamejiunga na kuwa washiriki. Hao waTz wanaoshiriki unawajua? Usiniambie Babu Seya na wale waliokwisha kukamatwa na kushughulikiwa kisheria, sheria ilishachukua mkondo wake. Sasa kama sheria inachukuaga mkondo wake na watu wanafungwa unajiweka katika hali ya kutaka tukuulize hao mashoga ambao bado wako nje na wewe unataka kuwabadilisha mawazo ni akina nani na wako wapi? Tunahitaji kuwafunga maisha hawa.

Naona unajua mambo mengi sana kuhusu mashoga wa Tz na mahali walipo na unataka hao dada zako wasiende huko? Taja majina na mahali walipo maana hata mimi sitaki mke wangu akaelekea huko. Ukishindwa hilo ndipo tunapofikia kukutilia mashaka kuwa na wewe ni muumin wa ushoga na huwa unashiriki huko gizani na sasa uko katika recruitment drive ya kutafuta wanachama.

Lakini kama siyo mwanachama (bado naamini siyo) huo ushoga unaotufundisha ni hypothetical. Ni sawa na mtoto aliyechungulia mwanamke mtu mzima akiwa uchi au kabisa analala na mwanaume halafu mtoto naye akapata mhemko akaenda kujichua na baadaye kutangaza tendo lote la ngono kama anavyodhani amelielewa kuhusiana na wanawake kwa jumla. Hiki ndicho unachojaribu kufanya. Kuna maswali mengi sana ambayo najua huwezi kuyajibu kama mtaalam mwenye elimu ya (ujuzi wa) kutosha kuhusu ngono na ushoga. Unayo sifa ya kusomea somo hili ili tukusikilize kama mwalimu wa somo anayefundisha nadharia? Vinginevyo acha kunungunikia tatizo usilojua na kuanza kutukana watu ovyo bila kuwajua na hata bila kuwa na ushahidi juu yao.

You are dishing out an academic point of view on a practical field that you seem to even have no knowledge about. Kama mpaka umefikia hatua ya kuwehuka basi wewe ni kichaa kweli kwa sababu utakimbia mashoga wa kusikia ukihadithiwa na wewe unakwenda unahadithia bila hata kuwaona. That is bigger madnes than what you claim to be seeing.
 
Sasa bwana mdoo hapo ndipo unapoji-contradict. Unasema wao wanafanya uchafu wao gizani na wewe unataka kuuanika hadharani. Umejuaje kuwa huko gizani wanafanya hayo unayotuambia? Hujui kutangaza JF ni kukaribisha iliterate minds kuanza kutafiti hayo machafu ni ya namna gani. In the end badala ya kuondoa kero utakuta unwarry persons wamejiunga na kuwa washiriki. Hao waTz wanaoshiriki unawajua? Usiniambie Babu Seya na wale waliokwisha kukamatwa na kushughulikiwa kisheria, sheria ilishachukua mkondo wake. Sasa kama sheria inachukuaga mkondo wake na watu wanafungwa unajiweka katika hali ya kutaka tukuulize hao mashoga ambao bado wako nje na wewe unataka kuwabadilisha mawazo ni akina nani na wako wapi? Tunahitaji kuwafunga maisha hawa.

Naona unajua mambo mengi sana kuhusu mashoga wa Tz na mahali walipo na unataka hao dada zako wasiende huko? Taja majina na mahali walipo maana hata mimi sitaki mke wangu akaelekea huko. Ukishindwa hilo ndipo tunapofikia kukutilia mashaka kuwa na wewe ni muumin wa ushoga na huwa unashiriki huko gizani na sasa uko katika recruitment drive ya kutafuta wanachama.

Lakini kama siyo mwanachama (bado naamini siyo) huo ushoga unaotufundisha ni hypothetical. Ni sawa na mtoto aliyechungulia mwanamke mtu mzima akiwa uchi au kabisa analala na mwanaume halafu mtoto naye akapata mhemko akaenda kujichua na baadaye kutangaza tendo lote la ngono kama anavyodhani amelielewa kuhusiana na wanawake kwa jumla. Hiki ndicho unachojaribu kufanya. Kuna maswali mengi sana ambayo najua huwezi kuyajibu kama mtaalam mwenye elimu ya (ujuzi wa) kutosha kuhusu ngono na ushoga. Unayo sifa ya kusomea somo hili ili tukusikilize kama mwalimu wa somo anayefundisha nadharia? Vinginevyo acha kunungunikia tatizo usilojua na kuanza kutukana watu ovyo bila kuwajua na hata bila kuwa na ushahidi juu yao.

You are dishing out an academic point of view on a practical field that you seem to even have no knowledge about. Kama mpaka umefikia hatua ya kuwehuka basi wewe ni kichaa kweli kwa sababu utakimbia mashoga wa kusikia ukihadithiwa na wewe unakwenda unahadithia bila hata kuwaona. That is bigger madnes than what you claim to be seeing.

Mkuu samhani Labda sijaelewa vizuri hoja zenu! Hapa mnapishania wapi?
 
Nilipokusoma tangunhapo awali nilikuona kama mtu unayesoma mandiko matakatifu na kuyafuatilia kwa makini sana. Katika maisha kuna kikundi cha watu kinachodai mahubiri ya Mungu ni DOGMA ya do or dont do! Mungu alipokuumba alikuumba na mapungufu ambayo huwezi kujiongezea wewe hata ufanye nini. Kimwili ukishika moto utauungua, ukikanyaga mwiba utakuchoma. Kiroho amekwambia usizini ni dhambi. Wewe sasa unageuza mambo ya zinaa yamekuwa ya open mindedness ili kuwaponya wanaoshiriki, kasoro huioni mpaka utakafika pale pa kuuliza madhara yaliyokupata yametokea kwenye dhambi ipi! Huyo pepo anayesababisha madhara watu wenye imani fulani humwondoa kwa kumkemea, lakini hawaulizi huyo pepo katoka wapi? Kumbuka kwamba pepo wabaya hawatoki kwa Mungu, wanatoka katika maisha ya mwanadamu husika. Mtoto ambaye aliyekuwa tayari amekuwa lakini bado akaendelea kulala kitanda kimoja na baba yake na mama yake alijua ngono mapema zaidi kuliko yule aliyekingwa asijue matendo ya watu wazima. Hivyo wote walionasa katika mtego huo wa mapepo wachafu walijifunza mahali, hakuna aliyetokewa na pepo tu akaanza kupandilia wenzie bila kujua. Si pepo, ni experience of the minds that repeats what you call evil acts that a person has learned before.

Sasa una uhuru wa kuchagua kati ya uhuru wa mawazo unaolengwa na saikologia unayoisema au kufuata jinsi Mungu alivyokuumba na kukutaka uishi ili kumpendeza. Mungu alijijulisha kwako kuwa Yeye ni Alpha na Omega, Mwanzo na Mwisho, hakuna pepo mpaka ukamtafute wewe kati ya zile donts. Donts zote ni kukulinda usiumize roho yako na mambo yasiyokufaa, kimwili tunaweza kufananisha na kula mavi ya ng'ombe au ya kwako mwenyewe kama chakula, hayakufai ni uchafu. Ndiyo maana hata katika dini tumeambiwa kuna njia mbili, moja pana sana na nyingine nyembamba. Wingi wa mambo ya kuchagua na kufuata ndiyo upana wa njia, uchache wa mambo ya kuchagua ndiyo ufinyu wa njia. Ushoga na ulawiti umetokana na open minds unazozikingia kifua. Sasa hivi ulaya hakuna miiko, wanaume kuingiliana ni fashion. Kuwa mwerevu uondoke huko kwa sababu miiko haina uhuru wa mawazo. Ishi na chungu ya kukosa yasiyoruhusiwa na Mungu wako.

Hakuna watu wanaofanya ngono hadharani, inaitwa ni tendo la aibu! Kama kutenda ni aibu kujadili iweje huru? Nakubali kuna madarasa ya sex education kila kona mpaka huko vijijini kuna jando na unyago. Ukiwakuta kungwi wanafunda kwenye jando na unyago huwa wanatamka matusi yote kama unavyoyajua kitandani. Ukiwakuta huko ni kama wendawazimu, wako kazini, lakini wakishatoka huko wanarudi kuwa na akili timamu, huwezi kukuta kungwi anatukana matusi aliyokuwa akitukana kwenye unyago! Na mfundwaji anaambiwa aliyojifunza siyo silaha ya kwenda anapayuka ovyo.

Hivyo nakushauri uchague audience yako kwa makini kuepuka wewe kuonekana ni shabiki na mwenye tamaa (obsession) ya kutamka matusi hadharani baada ya kuya-xperience au kuyasikia. JF ni hadhara, keep your Psychology classes and the open mind inside the classrom where it is understood to be a place for learning about sex. Ukisikia hata wataalamu wenyewe wa afya ya uzazi wanakwambia ukitaka kuwa COUNSELED kuhusu mambo hayo ukawaone sehemu maalum, faragha, siyo JF. Komaa kiakili uonekane una hekima, do not extrapolate.

mkuu,naamini nafanya jambo sahihi na mahala sahihi kwa "staili" sahihi. Nikukumbushe tu kuwa kwa hali ilivyo katika dunia yetu ya sasa,kuna wakati tunalazimika kuwa wazi na hasa tunapokemea maovu.Usipoongea wewe unaelijua jambo kwa usahihi kwamba ni baya,atakuja mtu alizungumze jambo hilo baya kwa sifa kama vile ni zuri na hili nimelishuhudia humu humu mitandaoni.Kuna info wars siku hizi mkuu,wake up!Hebu kaa na tv yako fuatilia CNN in a week,hautakosa habari nyingi zenye mwelekeo wa kupublicize ushoga kama kitu kizuri,na hao iliterate minds unaosema wanatazama hizi channels,wanatazama hollywood movies,wanakuwa entertained kwa kila hali kuwa addicted na hivi vitu,kweli kabisa mkuu tukae kimya?tuongee kwa kificho mambo ambayo watu wanapewa "dosage" na media kila siku wayaone mema ilhali ni mabaya na kwa siri yamejaa njama zenye madhara?ndio maana nikasema hivi,ni vema kufunua hata yale ya siri wasiosema hadharani,chungu ni chungu tu,ukimsikia mtu anasema tamu ujue ana njama huyo,pale pale muumbue,waambie watu "hiyo chungu" kwenye platform ile ile anayoitumia kuhadaa watu.atakayefurahia uchungu kwa kuwa umesema ukweli,basi huyo anapenda uchungu tu,hata ungekaa kimya au umdanganye ni tamu,bado yeye angetafuta chungu.Tuokoe hawa wengine wafuata mkumbo ambao ni wengi sana.Wamo humu wanasoma ,wanaelewa positively.
 
Back
Top Bottom