hasason
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 1,648
- 1,543
Mkuu hebu soma tena post yangu,wala hakuna mahali nimesema simba na wanyama wengine ni outcome ya hybridization!Nimesema giants walichanganya mbegu zao(kuzaana) na wanyama wa asili kama Simba,ndege n.k matokeo yake kukazaliwa viumbe wa ajabu sana ambao hawakuwa na order.Kukuongezea nikusaidie,roho za viumbe hao(hybrids) hazikuangamizwa na gharika,bali zile physical forms zao ili wasiendelee kuzaliana.Roho hizo ndizo leo zinatusumbua zikiwa katika temporary deceiption forms kama nyoka,simba mtu,samaki mwenye kichwa cha kenge n.k we call them demons au jinn!ziliachwa ili zitusumbue kama laana ya dhambi ile kubwa,na leo hao jedis wako bize kwenye research za kisayansi kutengeneza tena giants ambao ni perfect kuliko wale wa zamani!kilichowasumbua walishindwa kureplicate perfect human DNA ili kupata mtu ambaye ni binadamu perfect na hapo hapo jedi perfect.Kwa taarifa zilizopo ni kwamba sasa wameshafanikiwa na huyo mtu ndiye anaandaliwa kuwa kiongozi wa dunia chini ya serikali moja.Anaitwa Maduk.Hawa malaika leo tunawaita alliens!Halafu nikurekebishe pia,suala la hybridization waliolianzisha walikuwa jedis chini ya mkuu wao Azazel na sio Hallel!Uasi wa Hallel na Azazel ni events mbili tofauti isipokuwa baadae Hallel alipoona uasi huo wa Jedis,aliamua kuungana nao ili kuongeza nguvu,na hawa majini hadi leo wana classification zao kutokana na lineage yao.Wale wenye asili na dracos(akina Hallel) ni wakubwa sana kwa ranks za kijini maana dracos walikuwa among higher angelic ranks,na hawa hybrids wa jedi wanafuatia,na wale hybrids watokanao na hybrids ni lower ranks etc.Ikumbukwe kuwa malaika waliumbwa tofauti kutokana na ranks zao.Ni vigumu Jedis waende kupambana na Makerubi au maserafi halafu washinde.Inasemekana Hallel na wenzie walipigana na Gabriel na wenzie for 3 days bila mshindi kupatikana,kesi akapewa Michael kerubi mkuu,in hours Hallel akawa defeated vibaya!Hallel mwenyewe haku-mate na binadamu,yeye ni draco tofauti kabisa aliyeumbwa tofauti na malaika wote!Kuna watu wanasema huyo antichrist ndiye atakuwa hybrid wa kwanza na pekee from Hallel himself!I'm not sure about that ila kuna biblical passages zinamzungumzia antichrist wanazitumia kujustify that.Halafu watu wanaposikia jina "malaika" basi picha inayowajia ni sura ya mwanaume handsome,inayong'aa,kavaa kanzu nyeupe,na mabawa mawili meupe!Si malaika wote wako hivyo jamani.Hebu pitia kitabu cha Ezekiel uone viumbe aliokutana nao nabii huyu.Mpaka alizirai kwa jinsi walivyokuwa wanatisha!Maelezo ya Ezekiel juu ya malaika aliowaona yanafanana sana na hizi taswira za alliens wa hollywood movies.Anyway,wafuatiliaji wa mambo wanaelewa the force behind hollywood film industry.
Ahsante mkuu kwa hili.
Nitakubaliana nawe kwa kuzingatia Biblia ilivyowaelezea ''majitu'' ambao ni Waanaki au Waemi.
hata me nashangaa kwanini hii conspiracy ya Alliens imepata mashiko na inatetewa sana zama hizi na Apollos wameshasema kwamba wapo Alliens kwenye sayari ya Mars naona kuna system wanaiandaa ya kuwazoesha wanadamu kusikia jambo fulani ili waje watakeoff objectives zao kwenye hii NWO.