The One World Govt/New World Order: Is this thing for real?

The One World Govt/New World Order: Is this thing for real?

mkuu,naamini nafanya jambo sahihi na mahala sahihi kwa "staili" sahihi. Nikukumbushe tu kuwa kwa hali ilivyo katika dunia yetu ya sasa,kuna wakati tunalazimika kuwa wazi na hasa tunapokemea maovu.Usipoongea wewe unaelijua jambo kwa usahihi kwamba ni baya,atakuja mtu alizungumze jambo hilo baya kwa sifa kama vile ni zuri na hili nimelishuhudia humu humu mitandaoni.Kuna info wars siku hizi mkuu,wake up!Hebu kaa na tv yako fuatilia CNN in a week,hautakosa habari nyingi zenye mwelekeo wa kupublicize ushoga kama kitu kizuri,na hao iliterate minds unaosema wanatazama hizi channels,wanatazama hollywood movies,wanakuwa entertained kwa kila hali kuwa addicted na hivi vitu,kweli kabisa mkuu tukae kimya?tuongee kwa kificho mambo ambayo watu wanapewa "dosage" na media kila siku wayaone mema ilhali ni mabaya na kwa siri yamejaa njama zenye madhara?ndio maana nikasema hivi,ni vema kufunua hata yale ya siri wasiosema hadharani,chungu ni chungu tu,ukimsikia mtu anasema tamu ujue ana njama huyo,pale pale muumbue,waambie watu "hiyo chungu" kwenye platform ile ile anayoitumia kuhadaa watu.atakayefurahia uchungu kwa kuwa umesema ukweli,basi huyo anapenda uchungu tu,hata ungekaa kimya au umdanganye ni tamu,bado yeye angetafuta chungu.Tuokoe hawa wengine wafuata mkumbo ambao ni wengi sana.Wamo humu wanasoma ,wanaelewa positively.

Nilikuambia hivi, Marekani ushoga ni fashion. Tena mtu anayetumbukizwa utakuta ni mwenye umbo kubwa kuliko wale anaowakaribisha kumwingilia. Wanakoingilaiana hupajui, ni picha tu unawekewa mtandaoni na kwenye tv na unashuhudia wakishughulika kiukweli. Watanzania tunapiga kelele mashoga hatutaki! Hubiri dini yenyewe kuwa Tz hatutaki mashoga na tukiwakuta kama Babu Seya tutawafunga. Samahani simsemi Babu Seya kuwa ni shoga kwa sababu sasa hivi unaweza kukutana na mchaga akakusingiizia tu ukafungwa maisha.

Wewe unachofanya ni kufukuza mashoga wa Holywood Tz. Wapi na wapi? Kwanza hawaji huku! Pili sisi hatutumii, ukitumia unaishia kama Babu Seya, upo mdogo wangu. Hizo tv zisikuehushe, acha kuwaangalia wahuni hao ikiibidi, ukiangalia ndiyo ile njia pana unaitafuta mwenyewe. Mbona unasononeka na dhambi ya mtu mwingine?
 
Mkuu samhani Labda sijaelewa vizuri hoja zenu! Hapa mnapishania wapi?

mkuu Ntuzu,nimemwudhi huyu mheshimiwa kwenye post yangu moja hapo juu nilipokuwa nikielezea masuala ya kichawi yanayopelekea watu kufanya ubakaji,ulawiti na ushoga.Anasema nimekuwa muwazi kupita kiasi kwa mambo ambayo sio hekima kuyaongea kwa uwazi sana hadharani.Mie nimejitetea kwa kumwambia kuwa kuna wakati tunahitaji "uwazi" kukemea makosa na hapa jf ni platform sahihi.Basi ndio nimeambulia "vichapo" hivyo hapo juu na kuambiwa napromote huo uchafu na huenda mie ni shoga kwa vile naongelea saana mkuu,ha ha haa!Jf bhana!unatakiwa uje na zako timamu vinginevyo utavunja kalaptop kako bure!
 
Last edited by a moderator:
Nilikuambia hivi, Marekani ushoga ni fashion. Tena mtu anayetumbukizwa utakuta ni mwenye umbo kubwa kuliko wale anaowakaribisha kumwingilia. Wanakoingilaiana hupajui, ni picha tu unawekewa mtandaoni na kwenye tv na unashuhudia wakishughulika kiukweli. Watanzania tunapiga kelele mashoga hatutaki! Hubiri dini yenyewe kuwa Tz hatutaki mashoga na tukiwakuta kama Babu Seya tutawafunga. Samahani simsemi Babu Seya kuwa ni shoga kwa sababu sasa hivi unaweza kukutana na mchaga akakusingiizia tu ukafungwa maisha.

Wewe unachofanya ni kufukuza mashoga wa Holywood Tz. Wapi na wapi? Kwanza hawaji huku! Pili sisi hatutumii, ukitumia unaishia kama Babu Seya, upo mdogo wangu. Hizo tv zisikuehushe, acha kuwaangalia wahuni hao ikiibidi, ukiangalia ndiyo ile njia pana unaitafuta mwenyewe. Mbona unasononeka na dhambi ya mtu mwingine?

are you sure mkuu,ushoga si tatizo kubwa linalohitaji kukemewa hapa kwetu?what about paedophile?na ubakaji?hakuna lililofikia critical point ya kutufanya akina sie kupiga kelele hivi?it's only in America?really?
 
are you sure mkuu,ushoga si tatizo kubwa linalohitaji kukemewa hapa kwetu?what about paedophile?na ubakaji?hakuna lililofikia critical point ya kutufanya akina sie kupiga kelele hivi?it's only in America?really?

Unapigia kelele the wrong people. Hao -------, mashoga na wabakaji unaowatikisia hisia zako wewe mwenyewe umesema wako gizani huko wakiendelea na shughuli zao. Sikuelewi kipimo chako cha kufikia critical point cha kujustify wewe kuanza kupiga kelele hadharani kwa wasiohusika. Mambo hayo yapo katika jamii tangu zama za Sodoma na Gomora na Mungu aliunguza miji hiyo kwa sababu ya hayo. Ungewaidentify waliofikia uozo wa sodoma na gomora ndiyo uwapigie kelele kwa sababu hao ndiyo hata Mungu aliwaangamiza, watu tu generally hawawezi kukuelewa expperience ya kujua mambo hayo umeipata wapi!

Sanasana tukuelewe kuwa wewe ndiyo mteja wa hizo pono mwenye tamaa ya kuangalia pono zao.Kwa hiyo unawapa soko wanapiga picha za video za matusi yao na kukuuzia ili uwasaidie kusambaza kwa kuyaonyesha kwenye tv na mitandao ya intaneti. Kama wewe siyo mteja basi ni mmoja wa wale wenye tamaa ya kuangalia picha za pono katika cafe za intaneti na tv, vinginevyo usingeyajua hayo unayotuambia.

Halafu wewe mwenyewe umesema umeona picha za mashoga wa Holywood, nakushangaa unakuja kupigia makelele watz kwa ufuksa wa wazungu. Kuna mTz mmoja tu amekamatwa na polisi amepiga picha za video akimwingilia mfanyakazi wake wa dukani kwenye njia ya haja kubwa na kuziuza mitaani. Baada ya polisi kumkamata huyo ungekwenda kumpigia kelele huyo badala ya wana JF ambao nina hakika hawana tamaa za hata kuongelea ushoga.

CHOOSE YOUR AUDIENCE CORRECTLY AND SHOUT AT IT, GO TO HOLYWOOD OR ARUSHA AND GIVE THEM YOUR LECTURES, MAY BE THEY WILL REFORM AND STOP. YOU ARE REFORMING AN AUDIENCE THAT HAS NOT EVEN STARTED INDULGING IN THE ACTIVITY, UNATIA MASHAKA.
 
Mkuu samhani Labda sijaelewa vizuri hoja zenu! Hapa mnapishania wapi?

Hoja ni nani ahubiriwe na kwa njia ipi kuhusu uovu wa ushoga na ubakaji. Malaria ni uonjwa unaoweza kumpata yeyote na hivyo kuhubiria jamii njia sahihi za kujikinga ni sawa, ni kjikinga na mbu. Ushoga, ubakaji na kuingiliana kinyume na maumbile hakuwezi kukupata wewe bila wewe kujua. Kama nilvyosema hapo awali katika maisha sex-ngono au vyotevyote unavyotaka kuita ndiyo tendo pekee linalohitaji wawili (partners) ili kulikamilisha. Lakini pamoja na kushirikisha wapenzi wawili tendo hilo hutokea gizani bila kuwepo mtu wa tatu.

Kwa hiyo siyo sahihi kulihubiri hadharani bila kujali nani ameshiriki, atashiriki, hakushiriki au anataka kushiriki. Anayeshiriki haji kutangaza hadharani kwa ving'ora, iweje mhubiri apige ving'ora JF?
 
mkuu Ntuzu,nimemwudhi huyu mheshimiwa kwenye post yangu moja hapo juu nilipokuwa nikielezea masuala ya kichawi yanayopelekea watu kufanya ubakaji,ulawiti na ushoga.Anasema nimekuwa muwazi kupita kiasi kwa mambo ambayo sio hekima kuyaongea kwa uwazi sana hadharani.Mie nimejitetea kwa kumwambia kuwa kuna wakati tunahitaji "uwazi" kukemea makosa na hapa jf ni platform sahihi.Basi ndio nimeambulia "vichapo" hivyo hapo juu na kuambiwa napromote huo uchafu na huenda mie ni shoga kwa vile naongelea saana mkuu,ha ha haa!Jf bhana!unatakiwa uje na zako timamu vinginevyo utavunja kalaptop kako bure!


Mkuu Niliona ni vema kuuliza kwasababu vitu ambavyo umevizungumza ndio uasi wenyewe unavyo Fanya kazi na kuporomosha maadili!
 
Last edited by a moderator:
Hoja ni nani ahubiriwe na kwa njia ipi kuhusu uovu wa ushoga na ubakaji. Malaria ni uonjwa unaoweza kumpata yeyote na hivyo kuhubiria jamii njia sahihi za kujikinga ni sawa, ni kjikinga na mbu. Ushoga, ubakaji na kuingiliana kinyume na maumbile hakuwezi kukupata wewe bila wewe kujua. Kama nilvyosema hapo awali katika maisha sex-ngono au vyotevyote unavyotaka kuita ndiyo tendo pekee linalohitaji wawili (partners) ili kulikamilisha. Lakini pamoja na kushirikisha wapenzi wawili tendo hilo hutokea gizani bila kuwepo mtu wa tatu.

Kwa hiyo siyo sahihi kulihubiri hadharani bila kujali nani ameshiriki, atashiriki, hakushiriki au anataka kushiriki. Anayeshiriki haji kutangaza hadharani kwa ving'ora, iweje mhubiri apige ving'ora JF?


Mkuu Samahani lkn, kwa mtazamo wangu Mimi Sioni Km kuna shida iwapo hili swala likahubiliwa hapa JF! Kwasababu lipo na litakuwepo na litazidi Zaidi ya hapa!

Pamoja na kwamba hili swala ni siri ya wawili na hufanyika gizani lkn bado ni vema kulizungumza mbele ya hazara!
 
Mkuu Samahani lkn, kwa mtazamo wangu Mimi Sioni Km kuna shida iwapo hili swala likahubiliwa hapa JF! Kwasababu lipo na litakuwepo na litazidi Zaidi ya hapa!

Pamoja na kwamba hili swala ni siri ya wawili na hufanyika gizani lkn bado ni vema kulizungumza mbele ya hazara!

Lilikuwepo tangu Sodoma na Gomora. Swali ni, hao wanaolihubiri ni competent? Utatuletea hadithi ya vipofu saba waliokwenda kuangalia tembo na kila kipofu akarudi na description yake tofauti na wenziwe. Katika uhuru wenu wa amwazo mnauliza hata watoto wa darasa la pili kutoa misimamo yao kuhusu mambo hatari ambayo kimsingi hawayajui bali wana picha ya TEMBO ambaye wanadhani wanamjua.

Ndiyo sababu katika maswala ya namna hiyo kuna maneno kama "USHAURI NASAHA-COUNSELLING" NA AKINA MAMA NA BABA USHAURI. Hawa ni WATAALAM wa mambo wanayofundisha, siyo holela JF kutumia lugha ngumu ya matusi hatari eti tunafundisha watu hatari za hayo mnayoyasema, unamfundisha nani wakati huyo beneficiary wa lecture yako humjui isipokuwa kwa jina bandia la Jogoolashamba?
 
Unapigia kelele the wrong people. Hao -------, mashoga na wabakaji unaowatikisia hisia zako wewe mwenyewe umesema wako gizani huko wakiendelea na shughuli zao. Sikuelewi kipimo chako cha kufikia critical point cha kujustify wewe kuanza kupiga kelele hadharani kwa wasiohusika. Mambo hayo yapo katika jamii tangu zama za Sodoma na Gomora na Mungu aliunguza miji hiyo kwa sababu ya hayo. Ungewaidentify waliofikia uozo wa sodoma na gomora ndiyo uwapigie kelele kwa sababu hao ndiyo hata Mungu aliwaangamiza, watu tu generally hawawezi kukuelewa expperience ya kujua mambo hayo umeipata wapi!

Sanasana tukuelewe kuwa wewe ndiyo mteja wa hizo pono mwenye tamaa ya kuangalia pono zao.Kwa hiyo unawapa soko wanapiga picha za video za matusi yao na kukuuzia ili uwasaidie kusambaza kwa kuyaonyesha kwenye tv na mitandao ya intaneti. Kama wewe siyo mteja basi ni mmoja wa wale wenye tamaa ya kuangalia picha za pono katika cafe za intaneti na tv, vinginevyo usingeyajua hayo unayotuambia.

Halafu wewe mwenyewe umesema umeona picha za mashoga wa Holywood, nakushangaa unakuja kupigia makelele watz kwa ufuksa wa wazungu. Kuna mTz mmoja tu amekamatwa na polisi amepiga picha za video akimwingilia mfanyakazi wake wa dukani kwenye njia ya haja kubwa na kuziuza mitaani. Baada ya polisi kumkamata huyo ungekwenda kumpigia kelele huyo badala ya wana JF ambao nina hakika hawana tamaa za hata kuongelea ushoga.

CHOOSE YOUR AUDIENCE CORRECTLY AND SHOUT AT IT, GO TO HOLYWOOD OR ARUSHA AND GIVE THEM YOUR LECTURES, MAY BE THEY WILL REFORM AND STOP. YOU ARE REFORMING AN AUDIENCE THAT HAS NOT EVEN STARTED INDULGING IN THE ACTIVITY, UNATIA MASHAKA.

sioni sababu kwa nini unaendelea kunishambulia binafsi badala ya kujibu hoja.Kwa nini umekazana kuni-attack personally?kwa nini unajaribu kufanya "character assasination" badala ya wewe kutoa hoja zako kuhusu mjadala uliopo?kama unapinga uwepo wa ushoga pinga kwa evidence,wewe mwenyewe umesema mashoga wapo hollywood niende nikahubiri huko,halafu hapo hapo unasema kuna mtz kakamatwa na polisi anamlawiti mfanyakazi wake,unasema natazama porno internet cafe,sasa umejuaje kama cafe hizo zina porno?mbona unajicontradict wewe vipi?acha unafiki mkuu!wewe unataka niwataje mashoga hapa ili iweje?mimi naongea hoja zangu kwa kiwango ninachoona kinafaa,kama na wewe una yako zungumza usitake kunifundisha cha kuongea "bwana mkubwa".nimeongea mengi kwenye uzi huu hukuona ila yale maelezo ya ushoga tu na uko bize nayo siku ya pili sasa,why are you so "obsessed"?mbona una hasira sana na hili?unasema natoa mifano ya ushoga,wewe huo wa huyo muuza duka aliyelawitiwa umeujuaje?ya Sodoma na Gomora umejuaje?wewe "mstaarabu" umejuaje kama ushoga uko ulaya na america wengine tusijue kama uko hapa pia bila kuwa mashoga?kwa nini hutaki tuukemee hapa jf una maslahi nao gani?nimezungumzia ubakaji na ulawiti wa watoto wadogo na kesi hizo zimejaa kwenye magazeti yetu na mitaani kwetu kila siku,yote hayo hujastuka isipokuwa nilipotaja ushoga tu umestuka sana na uko bize kunizima kwa kashfa za kipuuzi,why?hivi mimi ninayeukemea ushoga hadharani hapa na wewe usiyetaka ushoga ukemewe hadharani nani anatetea ushoga hapo?na kwa nini umestick sana na hilo,nimeongea mengi ila wewe tangu jana umeng'ang'ana na hilo kudivert akili yangu nisichangie mengine,mjadala usiendelee kwa kukuendekeza wewe humu?sikiliza "bwana mkubwa"(hii ni heshima kwako kwa kuniita bwana mdogo pamoja na kwamba hujui umri wangu),mimi nitaendelea kuchangia mambo humu ninavyotaka,wala huna mamlaka ya kuniambia cha kufanya humu,you are not a moderator anyway!nakushauri uchangie hoja badala ya kushambulia mtu binafsi,haiwasaidii sana wasomaji zaidi ya kuwafanya wajiulize maswali mengi juu yako!wana jf naachana na huyu "bwana mkubwa" na kuanzia hapa sitasoma post zako ili usiniteke akili yangu nikaacha kujadili suala lililopo maana nishahisi motives zako!nitazungumza na kukemea ushoga hapa kila nitakapoona inafaa na ninarudia kile kilichokukera "WATU WANAENDESHWA NA IMANI ZA USHIRIKINA KUBAKA,KULAWITI NA KUFANYA USHOGA ILI KUJIPATIA MAFANIKIO KTK MAISHA,NDIO MAANA MEDIA ZIMEJAA HABARI ZA MAPADRE,MASHEIKH NA WATU MAARUFU TUSIOWADHANIA KUJIHUSISHA NA UCHAFU HUU!WANA JF,kasomeni kitu kinaitwa "energy vampires" kule google!fanyeni research muda wa kutosha muielewe!mkuu Ntuzu mie naachana nae huyu,ntajitahidi kuchangia hoja ya uzi huu ingawa nimemaliza likizo na kazi zinabana ntajitahidi nisipotee sana wana jf wenzangu,hawa jamaa wa hivi ndio kama wale wa kwenye uzi ule wa mzee Said kama unakumbuka,wanadivert mijadala makusudi kwa matusi au staili kama hizi ili mwishowe wale wachangiaji makini wakimbie na mods huifunga kwa kuona imepoteza malengo.Usimuendekeze sana huyu "bwana mkubwa".Usiku mwema mkuu Ntuzu na wana jf wengine,goodnight bwana "privacy",mtetezi wa "privacy" za mashoga.Mods naachana na majibizano haya jamani,msikasirike,humu jamvini huwa sometimes kuna watu wanahitaji special treatment.
 
Last edited by a moderator:
Lilikuwepo tangu Sodoma na Gomora. Swali ni, hao wanaolihubiri ni competent? Utatuletea hadithi ya vipofu saba waliokwenda kuangalia tembo na kila kipofu akarudi na description yake tofauti na wenziwe. Katika uhuru wenu wa amwazo mnauliza hata watoto wa darasa la pili kutoa misimamo yao kuhusu mambo hatari ambayo kimsingi hawayajui bali wana picha ya TEMBO ambaye wanadhani wanamjua.

Ndiyo sababu katika maswala ya namna hiyo kuna maneno kama "USHAURI NASAHA-COUNSELLING" NA AKINA MAMA NA BABA USHAURI. Hawa ni WATAALAM wa mambo wanayofundisha, siyo holela JF kutumia lugha ngumu ya matusi hatari eti tunafundisha watu hatari za hayo mnayoyasema, unamfundisha nani wakati huyo beneficiary wa lecture yako humjui isipokuwa kwa jina bandia la Jogoolashamba?

Mkuu Mimi binafisi napata kufahamu mambo au kuongeza ufahamu kwa kile ninachofaham kupitia JF Hii! Kwahiyo hoja za watu humu jamvini zina sura mbili. Zinasaidia watu na zinaharibu watu! Lkn ni kazi kwako wewe msomaji Wa hoja kupembua ipi inafaa na ipi haifai ata Km mtoa hoja hamjui mpokea hoja lkn Km hoja ni ya kweli Mimi Sioni shida!

Bado niko palepale Sioni Km Huyo ndugu amekosea kuzungumzia hayo mambo hazarani! Huo ni mtazamo wangu!
 
sioni sababu kwa nini unaendelea kunishambulia binafsi badala ya kujibu hoja.Kwa nini umekazana kuni-attack personally?kwa nini unajaribu kufanya "character assasination" badala ya wewe kutoa hoja zako kuhusu mjadala uliopo?kama unapinga uwepo wa ushoga pinga kwa evidence,wewe mwenyewe umesema mashoga wapo hollywood niende nikahubiri huko,halafu hapo hapo unasema kuna mtz kakamatwa na polisi anamlawiti mfanyakazi wake,unasema natazama porno internet cafe,sasa umejuaje kama cafe hizo zina porno?mbona unajicontradict wewe vipi?acha unafiki mkuu!wewe unataka niwataje mashoga hapa ili iweje?mimi naongea hoja zangu kwa kiwango ninachoona kinafaa,kama na wewe una yako zungumza usitake kunifundisha cha kuongea "bwana mkubwa".nimeongea mengi kwenye uzi huu hukuona ila yale maelezo ya ushoga tu na uko bize nayo siku ya pili sasa,why are you so "obsessed"?mbona una hasira sana na hili?unasema natoa mifano ya ushoga,wewe huo wa huyo muuza duka aliyelawitiwa umeujuaje?ya Sodoma na Gomora umejuaje?wewe "mstaarabu" umejuaje kama ushoga uko ulaya na america wengine tusijue kama uko hapa pia bila kuwa mashoga?kwa nini hutaki tuukemee hapa jf una maslahi nao gani?nimezungumzia ubakaji na ulawiti wa watoto wadogo na kesi hizo zimejaa kwenye magazeti yetu na mitaani kwetu kila siku,yote hayo hujastuka isipokuwa nilipotaja ushoga tu umestuka sana na uko bize kunizima kwa kashfa za kipuuzi,why?hivi mimi ninayeukemea ushoga hadharani hapa na wewe usiyetaka ushoga ukemewe hadharani nani anatetea ushoga hapo?na kwa nini umestick sana na hilo,nimeongea mengi ila wewe tangu jana umeng'ang'ana na hilo kudivert akili yangu nisichangie mengine,mjadala usiendelee kwa kukuendekeza wewe humu?sikiliza "bwana mkubwa"(hii ni heshima kwako kwa kuniita bwana mdogo pamoja na kwamba hujui umri wangu),mimi nitaendelea kuchangia mambo humu ninavyotaka,wala huna mamlaka ya kuniambia cha kufanya humu,you are not a moderator anyway!nakushauri uchangie hoja badala ya kushambulia mtu binafsi,haiwasaidii sana wasomaji zaidi ya kuwafanya wajiulize maswali mengi juu yako!wana jf naachana na huyu "bwana mkubwa" na kuanzia hapa sitasoma post zako ili usiniteke akili yangu nikaacha kujadili suala lililopo maana nishahisi motives zako!nitazungumza na kukemea ushoga hapa kila nitakapoona inafaa na ninarudia kile kilichokukera "WATU WANAENDESHWA NA IMANI ZA USHIRIKINA KUBAKA,KULAWITI NA KUFANYA USHOGA ILI KUJIPATIA MAFANIKIO KTK MAISHA,NDIO MAANA MEDIA ZIMEJAA HABARI ZA MAPADRE,MASHEIKH NA WATU MAARUFU TUSIOWADHANIA KUJIHUSISHA NA UCHAFU HUU!WANA JF,kasomeni kitu kinaitwa "energy vampires" kule google!fanyeni research muda wa kutosha muielewe!mkuu Ntuzu mie naachana nae huyu,ntajitahidi kuchangia hoja ya uzi huu ingawa nimemaliza likizo na kazi zinabana ntajitahidi nisipotee sana wana jf wenzangu,hawa jamaa wa hivi ndio kama wale wa kwenye uzi ule wa mzee Said kama unakumbuka,wanadivert mijadala makusudi kwa matusi au staili kama hizi ili mwishowe wale wachangiaji makini wakimbie na mods huifunga kwa kuona imepoteza malengo.Usimuendekeze sana huyu "bwana mkubwa".Usiku mwema mkuu Ntuzu na wana jf wengine,goodnight bwana "privacy",mtetezi wa "privacy" za mashoga.Mods naachana na majibizano haya jamani,msikasirike,humu jamvini huwa sometimes kuna watu wanahitaji special treatment.

Mkuu nimekuelewa sn!

Kwanini usiongeze rikizo ukaendelea kula bata?

Tuko pa1 Mkuu Ukipata nafasi uwe unapita kutuchungulia humu jukwaani maana bado tunahitaji hoja zako!

Yani hua nikikuona hivi Nakumbuka namna ulivyo simama kwa Miguu miwili ktk ule Uzi Wa ndugu yetu Mohamed Said!
Ingawa Uzi ulifungwa bila kupata majibu yetu Kiasi nilihisi kukosa kitu kutoka kwa wenzetu!

Anyway! Pamoja sn!

Asante!
 
Last edited by a moderator:
sioni sababu kwa nini unaendelea kunishambulia binafsi badala ya kujibu hoja.Kwa nini umekazana kuni-attack personally?kwa nini unajaribu kufanya "character assasination" badala ya wewe kutoa hoja zako kuhusu mjadala uliopo?kama unapinga uwepo wa ushoga pinga kwa evidence,wewe mwenyewe umesema mashoga wapo hollywood niende nikahubiri huko,halafu hapo hapo unasema kuna mtz kakamatwa na polisi anamlawiti mfanyakazi wake,unasema natazama porno internet cafe,sasa umejuaje kama cafe hizo zina porno?mbona unajicontradict wewe vipi?acha unafiki mkuu!wewe unataka niwataje mashoga hapa ili iweje?mimi naongea hoja zangu kwa kiwango ninachoona kinafaa,kama na wewe una yako zungumza usitake kunifundisha cha kuongea "bwana mkubwa".nimeongea mengi kwenye uzi huu hukuona ila yale maelezo ya ushoga tu na uko bize nayo siku ya pili sasa,why are you so "obsessed"?mbona una hasira sana na hili?unasema natoa mifano ya ushoga,wewe huo wa huyo muuza duka aliyelawitiwa umeujuaje?ya Sodoma na Gomora umejuaje?wewe "mstaarabu" umejuaje kama ushoga uko ulaya na america wengine tusijue kama uko hapa pia bila kuwa mashoga?kwa nini hutaki tuukemee hapa jf una maslahi nao gani?nimezungumzia ubakaji na ulawiti wa watoto wadogo na kesi hizo zimejaa kwenye magazeti yetu na mitaani kwetu kila siku,yote hayo hujastuka isipokuwa nilipotaja ushoga tu umestuka sana na uko bize kunizima kwa kashfa za kipuuzi,why?hivi mimi ninayeukemea ushoga hadharani hapa na wewe usiyetaka ushoga ukemewe hadharani nani anatetea ushoga hapo?na kwa nini umestick sana na hilo,nimeongea mengi ila wewe tangu jana umeng'ang'ana na hilo kudivert akili yangu nisichangie mengine,mjadala usiendelee kwa kukuendekeza wewe humu?sikiliza "bwana mkubwa"(hii ni heshima kwako kwa kuniita bwana mdogo pamoja na kwamba hujui umri wangu),mimi nitaendelea kuchangia mambo humu ninavyotaka,wala huna mamlaka ya kuniambia cha kufanya humu,you are not a moderator anyway!nakushauri uchangie hoja badala ya kushambulia mtu binafsi,haiwasaidii sana wasomaji zaidi ya kuwafanya wajiulize maswali mengi juu yako!wana jf naachana na huyu "bwana mkubwa" na kuanzia hapa sitasoma post zako ili usiniteke akili yangu nikaacha kujadili suala lililopo maana nishahisi motives zako!nitazungumza na kukemea ushoga hapa kila nitakapoona inafaa na ninarudia kile kilichokukera "WATU WANAENDESHWA NA IMANI ZA USHIRIKINA KUBAKA,KULAWITI NA KUFANYA USHOGA ILI KUJIPATIA MAFANIKIO KTK MAISHA,NDIO MAANA MEDIA ZIMEJAA HABARI ZA MAPADRE,MASHEIKH NA WATU MAARUFU TUSIOWADHANIA KUJIHUSISHA NA UCHAFU HUU!WANA JF,kasomeni kitu kinaitwa "energy vampires" kule google!fanyeni research muda wa kutosha muielewe!mkuu Ntuzu mie naachana nae huyu,ntajitahidi kuchangia hoja ya uzi huu ingawa nimemaliza likizo na kazi zinabana ntajitahidi nisipotee sana wana jf wenzangu,hawa jamaa wa hivi ndio kama wale wa kwenye uzi ule wa mzee Said kama unakumbuka,wanadivert mijadala makusudi kwa matusi au staili kama hizi ili mwishowe wale wachangiaji makini wakimbie na mods huifunga kwa kuona imepoteza malengo.Usimuendekeze sana huyu "bwana mkubwa".Usiku mwema mkuu Ntuzu na wana jf wengine,goodnight bwana "privacy",mtetezi wa "privacy" za mashoga.Mods naachana na majibizano haya jamani,msikasirike,humu jamvini huwa sometimes kuna watu wanahitaji special treatment.

Hollywood na ulaya na tv na intanet ulitaja wewe, ulisema kuwa ushahidi wa kuwepo ushoga ulikuwa unaona video, kwenye tv na intaneti. Wewe ndiyo unaingia mzunguko wa contradictions.

Huyo mTz wa Arusha magazeti yote Tz yalimtangaza na hayajafuta au kutakiwa na yeyote kufuta taarifa hiyo.

Wewe unadhani unajadili hoja kumbe unatoa taarifa kuhusu mambo ya wengine unaodai washirikina wanaosaka utajiri kupitia ushoga, ulawiti na ubakaji. Kama habari hizi unazipata katika habari za mavampire unazosema au google basi huo ni usambazaji wa taarifa hatari bila kujua nani atazisoma. Nina hakika Nuzu anazitaka lakini kuna watu wengi sana JF na taarifa za mavimpire, mashoga na walawiti hazitakiwi kufundisha watu holela, ndiyo sababu pamoja na kuwa uchawi upo mpaka ndani ya biblia Serikali imetangaza wazi kujitenga na jambo hilo kwa sababu ushahidi wake ni lazima utokane pia na uchawi au mchawi. Serikali ikimpata mlawiti inamfunga miaka 30 hadi maisha.

Halafu unaowatangaza ni watu who are not u and you may need to have talked to them in your research kabla hujajitosa kutupa taarifa zao JFi. Magazeti hayo unayoyataja kuwa yameandika habari za mavampire yanafanya biashara hivyo yakipata mteja kama wewe unayependa kusoma hadithi za mavampire watakuandikia ili tu ununue. Sasa wewe zimekuzingua mpaka unataka wote tukasome hizo habari?

Nielewe Bwana mdogo, sikushambulii wewe nashambulia mada hiyo kujadiliwa JF na kushirikisha watu on hearsay. Ndiyo sababu nimesema chagua audience yako kwa makini. JF wanao utaratibu wa wanachama wake kuwasiliana privately. Mtumie Ntuzu kupitia utaratibu huo na mtakuwa mmependeza sana badala ya kulazimisha watu globally kuingia katika kuchangia hoja, unawalazimisha watu wa kawaida wasiojua vampire kuanza kutafuta vampire na wao kuingia vitendo mpaka vya kunywa damu, Rama mla watu katokea katika madarsa hayohayo ya kudhani unatangaza ubaya kumbe unafundisha watu, badala ya kupuuza kuwa hakuna shughuli za namna hiyo Rama alikwenda kuvizia mtoto mdogo akamkata kichwa na kuanza kufyonza damu. Hayo ndiyo matokeo ya darasa lako pia.
 
Hollywood na ulaya na tv na intanet ulitaja wewe, ulisema kuwa ushahidi wa kuwepo ushoga ulikuwa unaona video, kwenye tv na intaneti. Wewe ndiyo unaingia mzunguko wa contradictions.

Huyo mTz wa Arusha magazeti yote Tz yalimtangaza na hayajafuta au kutakiwa na yeyote kufuta taarifa hiyo.

Wewe unadhani unajadili hoja kumbe unatoa taarifa kuhusu mambo ya wengine unaodai washirikina wanaosaka utajiri kupitia ushoga, ulawiti na ubakaji. Kama habari hizi unazipata katika habari za mavampire unazosema au google basi huo ni usambazaji wa taarifa hatari bila kujua nani atazisoma. Nina hakika Nuzu anazitaka lakini kuna watu wengi sana JF na taarifa za mavimpire, mashoga na walawiti hazitakiwi kufundisha watu holela, ndiyo sababu pamoja na kuwa uchawi upo mpaka ndani ya biblia Serikali imetangaza wazi kujitenga na jambo hilo kwa sababu ushahidi wake ni lazima utokane pia na uchawi au mchawi. Serikali ikimpata mlawiti inamfunga miaka 30 hadi maisha.

Halafu unaowatangaza ni watu who are not u and you may need to have talked to them in your research kabla hujajitosa kutupa taarifa zao JFi. Magazeti hayo unayoyataja kuwa yameandika habari za mavampire yanafanya biashara hivyo yakipata mteja kama wewe unayependa kusoma hadithi za mavampire watakuandikia ili tu ununue. Sasa wewe zimekuzingua mpaka unataka wote tukasome hizo habari?

Nielewe Bwana mdogo, sikushambulii wewe nashambulia mada hiyo kujadiliwa JF na kushirikisha watu on hearsay. Ndiyo sababu nimesema chagua audience yako kwa makini. JF wanao utaratibu wa wanachama wake kuwasiliana privately. Mtumie Ntuzu kupitia utaratibu huo na mtakuwa mmependeza sana badala ya kulazimisha watu globally kuingia katika kuchangia hoja, unawalazimisha watu wa kawaida wasiojua vampire kuanza kutafuta vampire na wao kuingia vitendo mpaka vya kunywa damu, Rama mla watu katokea katika madarsa hayohayo ya kudhani unatangaza ubaya kumbe unafundisha watu, badala ya kupuuza kuwa hakuna shughuli za namna hiyo Rama alikwenda kuvizia mtoto mdogo akamkata kichwa na kuanza kufyonza damu. Hayo ndiyo matokeo ya darasa lako pia.

Mkuu Km Utarudi na Kusoma post zangu Nafikiri utapata kunielewa vizuri!

Mimi nilivyo muelewa ndugu Juve2012 na ata wewe ni kwamba Jamii inaharibiki kupitia mambo mbalimbali ikiwemo Hollywood kutengeneza move zao za viumbe Wa ajabu na Internet etc! Na ata wewe kumshauri ndugu Juve2012 kua hili sio jukwaa sahihi ni kutetea Jamii pia isizurike kwa Yale anayosema Juve2012! Na kwa maana hiyo basi haimaanishi kua Mimi nazitaka! Kwani hivi vitu vipo na vitazidi na UASI utafumia kila aina ya njia kumtoa mwanadamu kwenye uhalisia!

Asante
 
Mkuu Km Utarudi na Kusoma post zangu Nafikiri utapata kunielewa vizuri!

Mimi nilivyo muelewa ndugu Juve2012 na ata wewe ni kwamba Jamii inaharibiki kupitia mambo mbalimbali ikiwemo Hollywood kutengeneza move zao za viumbe Wa ajabu na Internet etc! Na ata wewe kumshauri ndugu Juve2012 kua hili sio jukwaa sahihi ni kutetea Jamii pia isizurike kwa Yale anayosema Juve2012! Na kwa maana hiyo basi haimaanishi kua Mimi nazitaka! Kwani hivi vitu vipo na vitazidi na UASI utafumia kila aina ya njia kumtoa mwanadamu kwenye uhalisia!

Asante

Ntuzu, mjadala wa Juve2012 ulianzia swali:"Why is Sex,the outlet of man's evils?" Akaendelea kuhadithia kuwa kuna mapepo ya ngono na experience yake kuhusu nguvu zinazotokea wakati wa ngono! Rudi nyuma nenda kasome. Katika jibu langu nikaanza hivi: "Sex because that is the only human need that requires two partners to accomplish" kwa hiyo asishangae kwa nini sex ndiyo inadominate uovu unaokuja kujulikana hadhara hata baada ya kutake place mafichoni. Nikamwambia kujadili mambo yaliyotokea gizani ni muhali kwa sababu hatuyajui yalivyokuwa hivyo pamoja na nia yake njema ya kufutilia mbali ushoga, ubakaji na maovu yoote asiyoyapenda, tatizo lake anali-address kwenye wrong audience. Pia anahitaji ushahidi kuhusu anayoyasema, kwa kuzingatia kuwa yanatokea gizani ukiyasemasema sana tunakutilia mashaka kuwa mshiriki huko "kajificheni". Juve2012 akang'aka na kusema ushahidi upo kwenye inaneti, video na sinema za Hollywood anazoangalia kwenye tv.

Ndipo nikafikia kusema kwa kuwa wewe na Ntuzu mnapenda vipiindi vya tv vya mavampire, mashoga, wabakaji na mafirauini basi tazameni tu, mstumie mbinu za ujanjaujanja kurecruit watoto wa raia wasioyataka kwa kuyajadili JF.

Juve2012 akadai namshambulia yeye binafsi, lakini ajue kuwa darasa lake ndiyo linalozalisha mavampire kama Rama mlawatu. Darasa hilo hatulihitaji kwa afya ya kiakili ya watoto na vijana wetu. Lakini Ntuzu na rafiki yako juve2012 mnasema mnahitaji kujadiliana, sawa tembeleaneni majumbani kwenu badala ya kuandika janvini bila kujali hata wasio na nguvu ya akili ya kupambanua uozo nini wanasoma. Rafiki yako mwenyewe anauliza "Why Sex?". Hataki kuelewa kuwa sex ni jambo lilokuwa taboo tangu zama za kale kwa sababu hata mnyama akiwa katika heat yu tayari kufa akilia jike. Unasikia mzee wa mika 80 kabaka mjukuu wakje wa miaka 5, ukimwuliza baadaye anakwambia aliingiwa na SHETANI. Halafu mambo yote aliyochagua kujadili Juve2012 ni yale yale ya kufanyika huko "KAJIFICHENI" baada ya kuingiwa na shetani, juve2012 aliyajuaje? Ni mwanachama au huenda kuangalia unyama unatendeka huko ndipo roho inamwuma?

Vitu hivyo mnavyvipigia madebe havikuanzishwa na juve2012, wala havikuanza leo. Ufirauni upo tangu kabla ya Sodoma na Gomora, ubakaji unajulikana tangu Misri ya Musa 1590 BC. Huyu juve2012 kuja 2014 AD kuanza kujadili janvini eti wanataka kufuta uovu huo imo? kama si ujinga ni nini? Kama si ujinga basi juve2012 ana lake la kutaka kujadili ushoga janvini.

Janvi ni lenu, mkiktaka kufundishana ngono kwa kuandika mnayodhani mnayajua kuhusu somo hili HAYAAAAAAA!
 
Ntuzu, mjadala wa Juve2012 ulianzia swali:"Why is Sex,the outlet of man's evils?" Akaendelea kuhadithia kuwa kuna mapepo ya ngono na experience yake kuhusu nguvu zinazotokea wakati wa ngono! Rudi nyuma nenda kasome. Katika jibu langu nikaanza hivi: "Sex because that is the only human need that requires two partners to accomplish" kwa hiyo asishangae kwa nini sex ndiyo inadominate uovu unaokuja kujulikana hadhara hata baada ya kutake place mafichoni. Nikamwambia kujadili mambo yaliyotokea gizani ni muhali kwa sababu hatuyajui yalivyokuwa hivyo pamoja na nia yake njema ya kufutilia mbali ushoga, ubakaji na maovu yoote asiyoyapenda, tatizo lake anali-address kwenye wrong audience. Pia anahitaji ushahidi kuhusu anayoyasema, kwa kuzingatia kuwa yanatokea gizani ukiyasemasema sana tunakutilia mashaka kuwa mshiriki huko "kajificheni". Juve2012 akang'aka na kusema ushahidi upo kwenye inaneti, video na sinema za Hollywood anazoangalia kwenye tv.

Ndipo nikafikia kusema kwa kuwa wewe na Ntuzu mnapenda vipiindi vya tv vya mavampire, mashoga, wabakaji na mafirauini basi tazameni tu, mstumie mbinu za ujanjaujanja kurecruit watoto wa raia wasioyataka kwa kuyajadili JF.

Juve2012 akadai namshambulia yeye binafsi, lakini ajue kuwa darasa lake ndiyo linalozalisha mavampire kama Rama mlawatu. Darasa hilo hatulihitaji kwa afya ya kiakili ya watoto na vijana wetu. Lakini Ntuzu na rafiki yako juve2012 mnasema mnahitaji kujadiliana, sawa tembeleaneni majumbani kwenu badala ya kuandika janvini bila kujali hata wasio na nguvu ya akili ya kupambanua uozo nini wanasoma. Rafiki yako mwenyewe anauliza "Why Sex?". Hataki kuelewa kuwa sex ni jambo lilokuwa taboo tangu zama za kale kwa sababu hata mnyama akiwa katika heat yu tayari kufa akilia jike. Unasikia mzee wa mika 80 kabaka mjukuu wakje wa miaka 5, ukimwuliza baadaye anakwambia aliingiwa na SHETANI. Halafu mambo yote aliyochagua kujadili Juve2012 ni yale yale ya kufanyika huko "KAJIFICHENI" baada ya kuingiwa na shetani, juve2012 aliyajuaje? Ni mwanachama au huenda kuangalia unyama unatendeka huko ndipo roho inamwuma?

Vitu hivyo mnavyvipigia madebe havikuanzishwa na juve2012, wala havikuanza leo. Ufirauni upo tangu kabla ya Sodoma na Gomora, ubakaji unajulikana tangu Misri ya Musa 1590 BC. Huyu juve2012 kuja 2014 AD kuanza kujadili janvini eti wanataka kufuta uovu huo imo? kama si ujinga ni nini? Kama si ujinga basi juve2012 ana lake la kutaka kujadili ushoga janvini.

Janvi ni lenu, mkiktaka kufundishana ngono kwa kuandika mnayodhani mnayajua kuhusu somo hili HAYAAAAAAA!


Nimekuelewa lkn bado mi niko palepale kua wewe uko sawa na ata juve2012 yuko sawa ata hiyo post yng uliyoiquote nimesema hivyo!
 
Mkuu Mimi binafisi napata kufahamu mambo au kuongeza ufahamu kwa kile ninachofaham kupitia JF Hii! Kwahiyo hoja za watu humu jamvini zina sura mbili. Zinasaidia watu na zinaharibu watu! Lkn ni kazi kwako wewe msomaji Wa hoja kupembua ipi inafaa na ipi haifai ata Km mtoa hoja hamjui mpokea hoja lkn Km hoja ni ya kweli Mimi Sioni shida!

Bado niko palepale Sioni Km Huyo ndugu amekosea kuzungumzia hayo mambo hazarani! Huo ni mtazamo wangu!

ukweli ni nini?
 
Tusiongelee ushabiki hawa urusi na marekani tuwaache kama walivyo,just read this book hope you will enjoy much
 
Back
Top Bottom