mojawapo ya allegations kubwa ambazo Hallel alizitumia kupata kundi kubwa la wafuasi hadi wakaasi huko mbinguni ni the so called "freedom".Aliwaambia malaika wenzake kwamba kama ELOHIM alikuwa huru kufanya uumbaji bila kuingiliwa,akiwa peke yake bila Mungu mwingine,basi inampasa na yeye kuwapa uhuru kama huo viumbe aliowaumba ili wafanane naye kwa kila kitu,kama yeye ni Mungu,nao pia wanapaswa kuwa Miungu.Melchizedeks walichukizwa sana na wakataka kumtwanga Hallel pale pale lakini Elohim akawaambia wamwache.Hallel akapewa uhuru na akautumia kuunda majeshi ya malaika ya kutaka kumpindua Elohim.Kumbe shida yake haikuwa uhuru,wala kufanana na Mungu tu,bali kuchukua nafasi ya Mungu,kumnyima Elohim haki yake ya kuwa Mungu wa yote,muumba wa yote,kwa sababu ya "tamaa".Tamaa ilizaliwa ndani ya nafsi ya malaika huyu mkuu,aliyependelewa kila kitu na Mwenyezi Mungu,lakini hakuridhika na nafasi yake,akataka uhuru zaidi akapewa,hakuridhika,akataka kuchukua nafasi ya Elohim,hapo akafikia ukomo wa kufuru yake,akaharibu "balance of nature",akafukuzwa mbinguni,yeye na malaika wenzake wengi kutoka brigade yake,wakatolewa katika nafasi zao.Alipewa nafasi ya kutubu,lakini badala ya kuitumia vizuri,yeye akatumia tena uhuru huo kuongoza race nyingine ya viumbe wa Elohim wanaoitwa binadamu,kumwasi Mungu,na kutaka kubadili ibada ya binadamu toka kwa Elohim kwenda kwake Hallel na wenzie.Wakati Elohim akijaribu kumrudisha kundini mwanadamu baada ya kuasi kwa mara ya kwanza,tayari ile "tamaa" ilishaleta sumu kubwa mbinguni.Another rank of angels called Jedi(watchers au malaika walinzi),ambao kazi yao kuu ilikuwa kulinda, na kuongoza binadamu katika njia za haki hadi wafikie kiwango cha juu cha utimilifu wa kiungu waliopaswa kuufikia taratibu kwa kujifunza,nao wakawakiwa na tamaa ya kuishi kama binadamu kwa kujigeuza katika maumbile yao na kuwaongoza binadamu vile walivyotaka wao kinyume na maelekezo ya Elohim.Hallel na wenzake akina beelzebub,Leviathan n.k ambao sasa wanaitwa draconians kutokana na maumbile yao kulaaniwa na kuwa kama majoka,wakaungana na jedis na kuanzisha empire kubwa duniani ili iunganishe draconians,binadamu,jedis na viumbe fulani wapya walioitwa giants,hao wote wawe jeshi moja na kujiandaa kupambana na Elohim for the second time.Lakini palitokea tatizo,hawa giants walikuwa hybrid wa binadamu na jedis,mchanganyiko ambao ulikuwa imbalance na matokeo yake wakawa lawless ones,wakapambana wao kwa wao,wakapambana na jedis,draconians,humans,wakazaa na viumbe wa asili kama simba,mijusi,chui,ndege n.k na kuongeza matatizo zaidi duniani kwa kuwepo viumbe wa ajabu wasiotawalika.Alibaki binadamu mmoja akiitwa Nuhu ambaye hakutaka kumwasi Elohim na alikuwa pure blood yeye na ukoo wake.Ndipo Elohim akaleta gharika kuisafisha dunia na hybrids na kumtumia Nuhu kuanzisha human race kwa mara nyingine.Lakini Jedis hawakukoma,wakaja tena na kuanza kuzaliana na wajukuu wa Nuhu wasio waaminifu.Wakamuelekeza Nimrod kujenga mnara wa babeli ili wamfikie Elohim.Wakaunganisha nguvu na kuanza kujenga kitu cha ajabu sana kwa msaada wa jedis na hybrids wao.Haukuwa mnara wa kawaida kama wengi tunavyofikiri.There was a very advanced science in it.Elohim akaja kwa mara ya pili this time kuchafua lugha ya viumbe wale wasielewane na shughuli yao ya ujenzi ikaishia hapo.Pia giants waliozaliwa na hybrid wa mbegu ya wajukuu wa Nuhu hawakuwa na maisha marefu na walishindwa kureproduce rapidly kutokana na genetic deffect ambayo Elohim aliweka kwenye DNA ya kizazi kilichofuatia baada ya Nuhu iliyosababisha hata umri wa binadamu wenyewe kupungua.Tokea babeli,palitokea vita nyingi kati ya hybrids na binadamu pure na hasa waisrael waliua hybrids wengi sana katika vita zao.Ilibidi hybrids waende underground ili kujinasua na hostility ambayo binadamu waliitengeneza juu yao.Kwa siri,Hallel,jedis na binadamu waovu both spiritual and physical hybrids,wanaendelea kuendesha mikakati yao ya kuanzisha another assault kwa Elohim.Elohim amewaacha,anataka viumbe wake wote tujifunze,kwamba there is something common btw us and him,ambacho tusipokifuata,tunavuruga balance of nature,na madhara yake ni mabaya,yanayoleta uharibifu na kuondoa the motive behind creation,na hapo Elohim anapata uhalali wa kumharibu yule anayeleta uharibifu huo.Tamaa inapaswa kuachwa to it's maturity stage,ili upatikane uhalali wa hukumu bila kuathiri perception ya viumbe kwa Muumba wao.In fact swali lako linaonyesha Mungu amefanikiwa kukuelimisha,kwa sababu wewe kama kiumbe wake unaona haja ya yeye kumharibu Hallel.Ngojea viumbe wote wafikie stage hiyo uliyopo,hapo hukumu itakuja,tena ataileta Hallel kwa vita ya Harmageddon,hatapona na huo utakuwa mwisho wa kufuru!New world order is just a face lift name,this is an ancient plan started by Hallel in heaven but defeated to the gates of Pandemonium,again defeated during Noah's days,babylon,Rome and now...Harmageddon!