The Next Move: Lowassa, Karamagi wakutana nje ya nchi

Mkuu hawa jamaa sio mchezo. Inabidi serikali iwe na nguvu kwelikweli ku-deal nao na i-deal nao kwa moyo wa dhati, sio kuzuga zuga. Wanajua kuwa sasa hivi si Mr Presdent or Mr PM wenye uwezo wa kuwagusa, mtandao wao ni mkubwa na una nguvu sana. Kama wameanza hata kuogopa kufanya vikao ndani ya nchi wanaenda nje, basi hii inatia moyo kiasi fulani. Lakini bahati mbaya ka-nzi ka Mwanakijiji kametotoa mayai mengi.

Sasa kama nchi imewashindwa hao, kuna haja ya kuwa na uongozi wa nchi?
 
Jamani mi nauliza hivi serikali haiwezi kutaifisha mitambo ya dowans? Na je kwa nini Idris Rashid asifukuzwe kazi?

Si kufukuzwa kazi tu bali aanze kwa kuchapwa viboko kwanza hadharani (siyo kama DC alivyowafungia waalimu chumbani)
 
Huko Dubai itakuwa wameenda kuuza mitaji yao waliojenga kwa feza za ufisadi niliwahi kusikia kuwa kati ya mafisadi wapo walioekeza huko Dubai ,si ajabu wana mikakati ya kuuza kabla ya serikali haijakurupushwa kuitaifisha mali za huko ,si wanapewa muda ,si ajabu wamesituka au wamesituliwa wauze haraka haraka. Huwezi kujua.
 

Sasa hapo umeongea nini?
Au ni mimi tu ndo sijakuelewa?

Swadakta! ni wewe tuuu hujamuelewa au unajidai. NI kwamba anasema kabla ya kumuhukumu Dk Rashid tungepitia maelezo yake napia haamini kuwa huo mkutano kweli ulifanyika kwani Lowassa asingeweza kuwa sehemu mbili tofauti. Jawabu mrejeshee mwenyewe mimi nimekusaidia kukupa maelezo yake tu.
 
Nimesikia kwenye mdahalo katika one of the TV chanels za Bongo kwamba, kama kuna ukiukwaji wa taratibu za manunuzi kama ilivyofanyika na Richmond (eg not delivering as per contract) then mitambo ilitakiwa kutaifishwa. Jamaa walikuwa wanasema hiyo inatokana na sheria za manunuzi worldwide. Sijapata kwa undani kuhusu hili ila mwenye data kuhusu utaifishaji na sheria za manunuzi za kimataifa ambapo TZ nayo imeridhia anaweza kutuelimisha.

Nadhani mmeangalia eneo zuri la kupata ufumbuzi! If technical fault can be identified, let be used for government benefit.Wakati tunasubiri hatima ya maamuzi ya serikali na mijadala mbalimbali, ni vyema tuangalia maeneo mengine ambayo tunaweza kupata suluhu ya mitambo – na kujiondoa na tishio la kiza.

Ukweli ni kwamba tunahitaji mitambo ya umeme, pesa hatuna, na hata kama tunazo uagizaji wake unachukua muda, ni sahihi kabisa kufikiria ni jinsi gani tunaweza kuimiliki mitambo ya dowans kwa kuitaifisha iwapo kunamakosa ya uagizaji yalifanyika. Inawezekana kabisa, Tanzania imeingia gharama kubwa sana katika harakati ya kuagiza na kuingiza mitambo hii nchini, lakini inawezekana kabisa, kila kitu kilienda kisheria. Cha msingi, nituwe wadadadisi bila kushutumu, tujiulize muagizaji alikuwa nani? Kunamisamaha yoyote ya kodi iliyotewa? Dhumumi la uagizaji ilikuwa ni nini? Taratibu zipi zilifuatwa katika uagizaji?
 
Hapa hakuna wa kutaifisha mitambo, labda kama nyerere angekuwa hai. Hujasikia mwenye mitambo ndo alitoa ndege ya lowasa na kikwete kwenda dodoma 1995!
 
Weekend gani hiyo hawa jamaa walikutana ? Ina maana hawa watu hawakuhudhuria vikao vya NEC ccm wiki hii au ndo wameshajiondoa ?
 
susuviri.... usiwe na wasiwasi, I always put my credibility on the line. But I'll put against anybody's else. In this issue though fikiria nje ya JF, usifikiri kama nimewapasha habari go beyond reporting of an event...

Halafu mbona mkuu unatudondoshea punje punje namna hiyo...Tusubiri CHECHE Kuanzia kesho nini??
 
Kuna umbali gani kutoka Dar kwenda Oman? Inachukua siku ngapi?

Wait a minute, wkend inaanza siku gani ? IJUMAA
Kikao cha NEC kilianza lini ? IJUMAA (my guess)
Kiliisha lini ? JUMAPILI

Sasa kama Ijumaa hadi Jumapili walikuwa occupied *Kikao cha NEC* WALIWEZAJE KUONANA WKEND HII, au WALIENDA KUSPEND A FEW HOURS NA KURUDI SIKU HIYO HIYO? sikatai hii habari, but am just curious/
Umbali toka Dar hadi Dodoma - Sina uhakika

Labda useme walikutana katikati ya wiki na wakarudi Ijumaa hiyo hiyo na kuhudhuria kikao moja kwa moja.
Thanks for the info tho.
 
Wait a minute, wkend inaanza siku gani ? IJUMAA
Kikao cha NEC kilianza lini ? IJUMAA (my guess)
Kiliisha lini ? JUMAPILI

Sasa kama Ijumaa hadi Jumapili walikuwa occupied *Kikao cha NEC* WALIWEZAJE KUONANA WKEND HII, au WALIENDA KUSPEND A FEW HOURS NA KURUDI SIKU HIYO HIYO? sikatai hii habari, but am just curious/
Umbali toka Dar hadi Dodoma - Sina uhakika

Labda useme walikutana katikati ya wiki na wakarudi Ijumaa hiyo hiyo na kuhudhuria kikao moja kwa moja.
Thanks for the info tho.

Kada....usipotee namna hiyo Mkuu
 
susuviri.... usiwe na wasiwasi, I always put my credibility on the line. But I'll put against anybody's else. In this issue though fikiria nje ya JF, usifikiri kama nimewapasha habari go beyond reporting of an event...

Mwanakijiji... nimekusoma na ndivyo nilivyoelewa... najua ume-bipu! kwikwikwii!
 
Mambo ya DDD (Dar-Dubai-Dom). Mada iliyopo sasa ni kuhusu umbali na siku toka Dar-Dubai. Tunazunguka wakati hoja/maswali yalikuwa wazi. Ha ha haaaaaaaa, inafurahisha.
 
Wait a minute, wkend inaanza siku gani ? IJUMAA
Kikao cha NEC kilianza lini ? IJUMAA (my guess)
Kiliisha lini ? JUMAPILI

Sasa kama Ijumaa hadi Jumapili walikuwa occupied *Kikao cha NEC* WALIWEZAJE KUONANA WKEND HII, au WALIENDA KUSPEND A FEW HOURS NA KURUDI SIKU HIYO HIYO? sikatai hii habari, but am just curious/
Umbali toka Dar hadi Dodoma - Sina uhakika

Labda useme walikutana katikati ya wiki na wakarudi Ijumaa hiyo hiyo na kuhudhuria kikao moja kwa moja.
Thanks for the info tho.

Kwa Emirates itokayo Dar saa kumi jioni kwenda Dubai ni almost five hours.

Well a government that comes into power via corrupt means (some politicians might argue leveraging kimtindo) cant do much about corruption with the exception of a few scape goats...


You nailed it.
 
Hawana haja ya kwenda nje kutafuta fedha kwani zile fedha za EPA waliwekeza TCTS ambako wanakamua wafanyabiashara kwa uzembe wao wenyewe kushindwa kutoa mizigo kwa vile hawana vitendea kazi!! Kwa kila container moja wanalipiza U.S.$ 80 kwa kila siku! Ukitaka kujua kiasi cha pesa wanachovuna we nenda bandalini ukaone jinsi macontainer yalivyolundikana. Ingawa muungwana alikwenda akawashambulia watu wa harbours lakini wahujumu bandali yetu wakuu ni TCTS kwani uzembe wao si tu unakosesha serikali mapato bali hizo gharama wanazowabambika wafanyabiashara zinaongeza mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi; wafanyabiashara wanapass hizo gharama zote kwa mlaji ambaye ni mtu wa kawaida kwahiyo kuyafanya maisha ya watanzania kuwa magumu sana. Kwahiyo hata kama BOT wataimplement monetary policy kuthibiti mfumuko wa bei, kama taxation ya huku bandalini haitathibitiwa inflation will not be controlled na maisha bora kwa kila mtanzania yatazidi kuwa nightmare!
 
Back
Top Bottom