Bibi mpaka hizi bank zetu za kizalendo wanatoa hizo kadi?Ni kadi mpya, unapewa ukiwa na pesa ya kutosha bank. Niko sema pesa si vi chenji ni pesa ya kweli.
Haina limits na inakubalika sehemu yeyote.
Dunia ya wenye pesa inatutenga.
Hongera zenu kwa kumiliki makopa kopa.Tumeridhika ya kwetu ni copper platinum
Ukikabidhiwa hii unapata na privilege ya kusubiri ndege VIP lounge ukiwa unasafiri kokote duniani.kuna huu mzigo AMEX kwa afrika mashariki unatolewa na Equity Bank hatari sana
View attachment 1229446American Express Centurion Black Card Review
The American Express Black Card, also known as the Centurion Card from American Express, is definitely for high-earners. As mentioned before, you can only get the Amex Black Centurion Card if you have received an invitation.www.forbes.com
ah ah wanasema with AMEX CARD everything is possible...kuna tajiri aliomba awekewe vipepeo kwe chumba cha hotel kumsuprize mke wake ambavyo hata havipatikani hiyo nchi ah ahUkikabidhiwa hii unapata na privilege ya kusubiri ndege VIP lounge ukiwa unasafiri kokote duniani.
Sina black card ninayo rangi nyengine nilikwenda duka moja huko duniani, wakati wa kulipa yule muhudumu akaomba kitambulisho(ID) nikampa. Hakuridhika akamwita bosi wake akaangalia nae hakuridhika wakavuta waya wakaongea na customer service, wakanipa niongee nao akaniuliza masuali 2 tu. Akanambia mpe huyo meneja kuambiwa kama ndio mimi mwenyewe akaanza ku apologize pale. Nikamwambia usijali mpo kazini nipe nilichokijia niondoke, wakanipatia receipt yangu ndukiiiii.kuna huu mzigo AMEX kwa afrika mashariki unatolewa na Equity Bank hatari sana
View attachment 1229446American Express Centurion Black Card Review
The American Express Black Card, also known as the Centurion Card from American Express, is definitely for high-earners. As mentioned before, you can only get the Amex Black Centurion Card if you have received an invitation.www.forbes.com
Halafu kuna benki ile ya Visa wanakulipisha Tzs15,000 na Mastercard bure, nikauliza tofauti yake yule teller hata hajui. Nilibaki kucheka nikasema huko makao makuu Texas wanajua watu wanaliwa kijinga huku afrika.Nacho pia ukiomba benk wanakwambia tutakufikiria.
Samahani mkuu Kiduku Lilo ni ndugu yako?Sina black card ninayo rangi nyengine nilikwenda duka moja huko duniani, wakati wa kulipa yule muhudumu akaomba kitambulisho(ID) nikampa. Hakuridhika akamwita bosi wake akaangalia nae hakuridhika wakavuta waya wakaongea na customer service, wakanipa niongee nao akaniuliza masuali 2 tu. Akanambia mpe huyo meneja kuambiwa kama ndio mimi mwenyewe akaanza ku apologize pale. Nikamwambia usijali mpo kazini nipe nilichokijia niondoke, wakanipatia receipt yangu ndukiiiii.
Ndukiiiii
Jihadhari na tetenasi.Tumeridhika ya kwetu ni copper platinum