Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Wacha1 mwaka kesho mtakuwa mnacheza ligi ya mchangani ha ha ha hahaaaaaa hadi raha mpaka kumkichwa.
Kazi uliyotumwa lazima uifanye lazima uwakung'ute hao pretenders J3, chi unajua chiri yao imefichuka .... .... ... .brown envelopes zimeleta utata pale FA chacha wanataka ati kujisafisha ... ... ... Calito lazima afanye kazi yake ... ... .. usimwambie ntonto wa shamba na ngo ngo ngo, wala usimwamini BJ. Wale wengine akina Belo, Nzi nk ni wapiga zumari tu wala wasikusumbue khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee