Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,193
- 21,332
Our kdb & dias nominated
Makombe ya mbuzi hayo ..nyie bado ni timu ndogo Sana ..na msimu ujao no mwendo wa kuwachakaza tuWewe takataja man u misimu 4 katumia €530million hana hata kikombe cha plastic ...
Kazi ni kumuandama our best boss ,....
Kwan mpaka uefa ????
Epl sio kombe ..
Fa ??
Carabao ...
Kwan mpaka hilo f**ckin CL ndio kombee pekee
Laana ya uracist wake inamuandama ..hatokaa abebe UEFA huyu takataka."Pep Guardiola has spent £850m without winning the Champions League"
Why doesn't the media mention the fact that Man United have spent £530m since 2017, winning ZERO out of 16 trophies. They also spent over £1Bn since Ferguson left and have failed to finish above Man City in EIGHT consecutive seasons.
Meanwhile, Pep won 9 trophies in 4 years
Man City's money spent per trophy (Net spend) since Pep arrived: £90m per trophy.
The media bias is unreal. "Chequebook manager and Bald fraud" only come because they're jealous that we have the best MANAGER in the world
View attachment 1805896
kwani wa chelsea wapo mmehamia tu timu ilivyonunuliwa na romanWewe shabiki wa man city Tanzania hakuna. Sasa nyie mamluki mmetokea wapi?
Acha kukariri Mzee ....Kwa wakati kama huu si ajabu kukuta shabiki wa Chelsea...lkn ni ajabu kukuta wa city tena watu wazima ! ...Chelsea imejipatia mashabiki wengi waliozaliwa mid 1990s walioikuta Chelsea iko vizuri 2004.....watu wakuwashangaa ni mashabiki wa city unakuta mtu mkubwa kabisa lkn anakwambia shabiki wa city huyo unajua obviously kahama kutoka timu nyingine....mtoto wa miaka 9 au 10 sahv akisema yeye ni shabiki wa city hapo Sawa tutamuelewa coz kipindi anazaliwa city ilinunuliwa na sheikh mansour....lkn nyie obviously mpk mna simu sahv probably ni wakubwa na mmehama kutoka timu zinginekwani wa chelsea wapo mmehamia tu timu ilivyonunuliwa na roman
Man city our team ,our club our heart ...Acha kukariri Mzee ....Kwa wakati kama huu si ajabu kukuta shabiki wa Chelsea...lkn ni ajabu kukuta wa city tena watu wazima ! ...Chelsea imejipatia mashabiki wengi waliozaliwa mid 1990s walioikuta Chelsea iko vizuri 2004.....watu wakuwashangaa ni mashabiki wa city unakuta mtu mkubwa kabisa lkn anakwambia shabiki wa city huyo unajua obviously kahama kutoka timu nyingine....mtoto wa miaka 9 au 10 sahv akisema yeye ni shabiki wa city hapo Sawa tutamuelewa coz kipindi anazaliwa city ilinunuliwa na sheikh mansour....lkn nyie obviously mpk mna simu sahv probably ni wakubwa na mmehama kutoka timu zingine
As long as we play good football with our world manager pep ,we don't care about trophies ...Laana ya uracist wake inamuandama ..hatokaa abebe UEFA huyu takataka
Akibaki EPL ataendelea kubeba makombe ya mbuzi tu
UEFA atasikia kwenye bomba...
As long as we play good football with our world manager pep ,we don't care about trophies ...
Yaan tuchukue makombe ,tusichukue city is their to stay ,trophies its just bonus ....
Sisi tufocus kucheza modern football to enjoy our life ....
Come on city
Kombe sijui la wanaume ni kwenu nyie ..Baada ya kukosa kombe la wanaume ndo unasema a trophy is just a bonus kupata vichekesho hivi Tubonyeze ngapi hahaha
Yani wanaume wanapita na kombe la Klabu bingwa ulaya wewe unapita na carabao kombe la mbuzi na unajimwambafai..... Tooo rubish
Hata Mimi nililiona hili ,pep alikuwa anaigiza kulia ...
Hata kama pep akitoka sijaona kocha wa kupokea mikoba ya pep ...View attachment 1805395
Hela hii kwa kuchukua tu EPL ambayo hata trashes Mancin na Pellegrino walichukua?
Fukuza huyu na lete Zizu mchukue UCL
Hahahaha haupo serious mzeeBreaking News...📢📢📢
The City of Manchester has been ranked as the most quiet City in the world over the past week.
According to BBC NEWS, Villarreal and Chelsea are the reason why Manchester is very quiet.
The world have been saved from noise pollution kind courtesy of Unai Emery and T.T...