CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 883
Wamenikatisha stimu kabisa. Ila kiungo chetu kimepwaya leo. Pamoja na refa kutubeba beba baadhi ya sehemu.Jamaa poleni aisee.
Wamenikatisha stimu kabisa. Ila kiungo chetu kimepwaya leo. Pamoja na refa kutubeba beba baadhi ya sehemu.Jamaa poleni aisee.
Wamenikatisha stimu kabisa. Ila kiungo chetu kimepwaya leo. Pamoja na refa kutubeba beba baadhi ya sehemu.
Subiri tushinde mechi 6 clean. Ndo utatujua. Liver katuacha point 4 sasa ni nyingi sana. Halafu tuna southampto duu. Pep anatakiwa ashinde mechi ya liverpool january.Atafutwe kiongozi wao ataeleza wenzie wako wapi.
Sasa hao southampton itakuwaje sasa na yeye anataka kukomaa.December huwa ni ngumu sana, na timu nyingi zinakuwa na injuries sana.
Sasa hao southampton itakuwaje sasa na yeye anataka kukomaa.
Chelsea kapigwa pia? Ok hatuchekani. Hiyo ya leicester tutashinda ila hii ya southampton mmmmm sijui ila tukipigwa nachoma jezi yangu. Niliinunua 2010.Na jamaa kaja na moto sana.
Next week mnaenda kwa Leicester, ambaye leo kampiga Chelsea.
Siwezi kushabikia chelsea kufungwa maana tumefungwa na timu ya chini sana kimpira.Na jamaa kaja na moto sana.
Next week mnaenda kwa Leicester, ambaye leo kampiga Chelsea.
ASANTENI SANA MAN CITY KUNIFARIJI KWA KUFUNGWA KWENU, MAANA SI KWA UBOVU WA TIMU YETU YA CHELSEA ISIYOKUWA NA MASTRIKERSKiufupi pep. Aliona sana sane alibanwa sana kwenye ile kona yake. Na alitakiwa abadilishe formation. Mahrez nae ile kona ilikuwa ngumu bora sterling alikuwa anawatoka.
ASANTENI SANA MAN CITY KUNIFARIJI KWA KUFUNGWA KWENU, MAANA SI KWA UBOVU WA TIMU YETU YA CHELSEA ISIYOKUWA NA MASTRIKERS
Niko namtafuta nikimuona namfunga kamba nakuja naye hukuAtafutwe kiongozi wao ataeleza wenzie wako wapi.
Kumbe wewe ndiye kiongozi wao..maana nilipewa kazi ya kukutafuta nikufunge kamba nikulete huku bahati yako umekuja mwenyeweRoho zilukuwa juu. Tuna timu nzuri ila mpira unadunda.
Poleni sana ila hili goal nimelipenda mnoooo
Shida Jiwe si muelewaHili goli unaweza kulitumia kumdhamini Mbowe.
Nimekuja mwenyewe ila february utatujua wote. Tutapiga wote awe man u awe chelsea.awe liverKumbe wewe ndiye kiongozi wao..maana nilipewa kazi ya kukutafuta nikufunge kamba nikulete huku bahati yako umekuja mwenyewe
Acha siasa. Mkuu. Mbowe ni man city kwani? Au huyo jiwe ? Wanaukumbi wao hukooooo. Lets talk about football you are one of the best hereHili goli unaweza kulitumia kumdhamini Mbowe.