The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

kinachowakost man city ni sajili mbovo, Huwezi kutoka kwenye KDB, Bernando, Mahrez, Gundogan halafu ukaishia kwa Anderson, forden, Doku, semenyo Dah inasikitisha sana
 
Mmejikausha kama hakuna kinachoendelea
 
Mtaenddelea kuponea tundu la sindano mpaka lini?




 
Mtu amecheza anavyoweza yeye, ndio jinsi alivyopanga karata zake, namna ya kushida. Wewe unasema ameponea kwenye tundu la sindano, je amepata point zake alizofuata? Na nini kilikuwa kinatakiwa kwani?
Ndio stail yake ya kucheza ... Eti wewe unaumia..... Achana na City mkuu huiwezi
 
kinachowakost man city ni sajili mbovo, Huwezi kutoka kwenye KDB, Bernando, Mahrez, Gundogan halafu ukaishia kwa Anderson, forden, Doku, semenyo Dah inasikitisha sana
Wachambuzi wa Bongo bana dah.....

Mzee umeanza kuchambua matokeo kabla mpira haujachezwa. Jana unasema Anderson, Semenyo na wengine ni sajili mbovu, wakati Man City leo ndiyo wanaanza ligi. Hata hawajapewa muda wa kuonyesha uwezo wao. Uchambuzi wa mpira sio kutaja majina ya KDB, Bernardo, Mahrez na Gündogan halafu moja kwa moja ukahukumu vizazi vipya. Subiri wacheze kwanza ndio tupime usajili.
 
Back
Top Bottom