Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 520
Habari wadau...naleta kwenu conspiracy theory hii ili tuijidali naamini humu JF kuna wajuzi zaidi....who is really behind the death of 2PAC. Je ni Natorious B.I.G au Suge Knight...??
Wakati nakua na kuanza fatilia muziki wa Marekani miaka ya 90 nilitokea kuwa shabiki wa 2pac lakini kwa kuwa tulikua tumelishwa story za mtaani kuwa B.I.G. na kundi lake(bad boys record) ndio walimua 2PAC basi nilimchukia Natorious pamoja na Puff Dady (Pdidy).
Na niliamini hivyo pasipo shaka lolote. Nafikiri wengi wetu tuliangukia kundi hili..
Ila baada ya kuelemika na kuanza kuhoji mambo na kufatilia mambo nilifanikiwa kupata matazamo tofauti kuhusu swala hili.
Hii ilianzia baada ya kuona movie ya maisha ya Natorious B.I.G ambayo imeonesha ni jinsi B.I.G alivyokua hausiki kabisa na kifo cha 2PAC na jinsi walivyokua marafiki hapo zamani.
Kilichokuja kunichanganya zaidi ni documentary moja ya "untold truth behind 2PAC death " kwenye hii documentary imempotray SUGE KNIGHT kama the man behind 2PAC's death.
Kwamba kipindi kile cha bifu lilozuka kati ya West Coast Rapers (mfn kina 2pac na death row, snoop dog etc ) na East Coast( wakina B
I G, bad boys na wasanii wengine wanaotoka New York) inasemekana Suge Knight kwa kupitia Death Row alipiga hela sana mauzo yaliongezeka kadri bifu lilipozidi kuwa kubwa.
Ila inasemekana mbeleeni kulipungua maelewano kati yake sugar knight na 2pac na ndipo 2pac akatangaza nia ya kujitoa Death Row inasemekana hiki kitendo kilimkera Suge knight ndio akafanya mpango wa kumuua 2pac katika mpango kabambe uliosukwa na baadhi ya corrupted corps ili ionekane kambi ya B.I.G ndio inahusika.
Cha kushangaza mpaka leo muuaji wa hawa watu wawili (2PAC na Natorious B.I.G) hajawai kupatikana pamoja na uwezo na ukubwa wa F.B.I katika kufanya upelelezi.
Je kuna mwenye infos zaidi kuhusu kifo cha nguli huyu wa Hiphop duniani
Wakati nakua na kuanza fatilia muziki wa Marekani miaka ya 90 nilitokea kuwa shabiki wa 2pac lakini kwa kuwa tulikua tumelishwa story za mtaani kuwa B.I.G. na kundi lake(bad boys record) ndio walimua 2PAC basi nilimchukia Natorious pamoja na Puff Dady (Pdidy).
Na niliamini hivyo pasipo shaka lolote. Nafikiri wengi wetu tuliangukia kundi hili..
Ila baada ya kuelemika na kuanza kuhoji mambo na kufatilia mambo nilifanikiwa kupata matazamo tofauti kuhusu swala hili.
Hii ilianzia baada ya kuona movie ya maisha ya Natorious B.I.G ambayo imeonesha ni jinsi B.I.G alivyokua hausiki kabisa na kifo cha 2PAC na jinsi walivyokua marafiki hapo zamani.
Kilichokuja kunichanganya zaidi ni documentary moja ya "untold truth behind 2PAC death " kwenye hii documentary imempotray SUGE KNIGHT kama the man behind 2PAC's death.
Kwamba kipindi kile cha bifu lilozuka kati ya West Coast Rapers (mfn kina 2pac na death row, snoop dog etc ) na East Coast( wakina B
I G, bad boys na wasanii wengine wanaotoka New York) inasemekana Suge Knight kwa kupitia Death Row alipiga hela sana mauzo yaliongezeka kadri bifu lilipozidi kuwa kubwa.
Ila inasemekana mbeleeni kulipungua maelewano kati yake sugar knight na 2pac na ndipo 2pac akatangaza nia ya kujitoa Death Row inasemekana hiki kitendo kilimkera Suge knight ndio akafanya mpango wa kumuua 2pac katika mpango kabambe uliosukwa na baadhi ya corrupted corps ili ionekane kambi ya B.I.G ndio inahusika.
Cha kushangaza mpaka leo muuaji wa hawa watu wawili (2PAC na Natorious B.I.G) hajawai kupatikana pamoja na uwezo na ukubwa wa F.B.I katika kufanya upelelezi.
Je kuna mwenye infos zaidi kuhusu kifo cha nguli huyu wa Hiphop duniani