Waaleyqum salaam, haswaaa naona bifu linakuja
Ahaha kuliko lile la wagum??? Ngoja tuone na nimejifunza usimuamini mtu kabisa maishani mwako loh
Mh Tater hata kivuli chako kinahama giza liingiapo hata hiyo kidogo itaja kucost baadae
Mh kuna watu wanajua kufake kiasi hata huo umakini usiwepo
Daaaahh madame hii story noma sana..."" yaani muda wote nacheka tu ..." hii story imenikumbusha mbali mnooo""...aiseeee " Muandishi ni comedian wa kiwango cha Charlie Chaplin
daaaahhh nimecheka mnoo Aisee..
Hahaaaaa...Daaaaah Yaaani "" lakini nasikitika Jamaa jina lao linakwenda kuwahukumu""Mwanamke anakwenda kuwatenganisha ""AiseeeHii hadithi mtu asipocheka atakua na matatizo makubwa sana...
Abeeee