The king makers

Nilikuwa na mashaka kama nitaweza kuelewa hii story lakini kwa uwezo wako wa kuichambua na kuiweka on simplest way nashukuru sana kwani mbaka sasa tunaenda pamoja mubashara kabisa
heshima kwako kaka
Hahaha!! Pamoja sana komrade, shukrani..
 
Pamoja na kwamba huwa haunitag lakini Mimi ni moja wa wafuasi wako..kudos broo..unajua haya ndio matumizi bora ya akili...
 
Duh, ngoja nitengenezewe juice ya ukwaju na samaki aliekaangwa aina ya Tasi mwamba ili nipate kujua.
 
Je, mahakama ya Korea ni huru?
Je, Lee akikutikana na hatia(assuming mahakma ni huru) Samsung itaparaganyika?
 
Huwa napenda sana kusoma thread za aina hii kwan huwa znaniongezea maarifa, asante sana Mkuu The bold..
 
Ukiendelea kupost makala hizi naomba usiache kunitag Mkuu..
[HASHTAG]#Roby[/HASHTAG] Lee..
 
Pamoja na kwamba huwa haunitag lakini Mimi ni moja wa wafuasi wako..kudos broo..unajua haya ndio matumizi bora ya akili...
Nisamehe bure mkuu! Nimekuobgeza kwenye taglist tayari..
 
Nimeona mkuu The Bold......Nitasoma baadae......Busy busy......
 
Inasemekana Manji anamiliki kampuni ya tigo kwa utaratibu wa kampuni nyingi zenye hisa kidogo kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…