The islamic republic of Iran is completely collapsing!

The islamic republic of Iran is completely collapsing!

inflation au mfumuko wa bei 300% vs tanzagiza 4.2%, fedha ya iran rial total collapsed ...

View attachment 3656180

View attachment 3656181
Tatizo ni kwamba hataki ku-collapse peke yake ila ataitumia Hormuz kuiadhibu Dunia nzima.

Miaka ya Vita Baridi na Baada ya kuanguka kwa USSR Marekani ilikuwa na nguvu kubwa mno hasa kwenye diplomasia, ilikuwa inaweza kuzozana na kupatana na nchi yeyote bila watu wa kati.

Ajabu leo inaitegemea Pakistan (iliyowahi kuishambulia na kuiita 'hot bed of terror ' ) kwa upatanishi..

zitto junior
 
Propaganda hizi, Iran ina vikwazo vya uchumi tokea 1979 ndio sembuse vikwazo vya miezi hii 6 viimalize kiuchumi?

hii haijawahi kutokea, kumbuka vikwazo vina madaraja pia i.e unaweza ukawekewa vikwazo lkn bado kuna vitu ukaruhusiwa kufanya, unaweza kwa mfano bado ukaruhusiwa ku-transfer fedha kutumia swift (ingawaje wanasema swift ni neutral lkn siyo neutrol kiihvyo bado west wanaweza kukuzuia kuitumia kama wakiamua) au hata exports ya baadhi ya products kwa mfano russia kawekewa vikwazo na eu lkn bado kuna vitu eu wananunua ktk russia kwa mfano mbolea au mafuta ghafi na rasilimali nyinginezo vivyo hivyo iran ndiyo aliwekewa vikwazo tangia miaka ya 70 lkn bado alikuwa na pa kupumulia mfono mdogo tu bado wairani wengi wanaruhusiwa kusoma USA au EU tena wako on scholarships paid by eu au USA.

ila hii ya sasa hivi ni end game ...

1787635241083.png
 
Tatizo ni kwamba hataki ku-collapse peke yake ila ataitumia Hormuz kuiadhibu Dunia nzima.

Miaka ya Vita Baridi na Baada ya kuanguka kwa USSR Marekani ilikuwa na nguvu kubwa mno hasa kwenye diplomasia, ilikuwa inaweza kuzozana na kupatana na nchi yeyote bila watu wa kati.

Ajabu leo inaitegemea Pakistan (iliyowahi kuishambulia na kuiita 'hot bed of terror ' ) kwa upatanishi..

zitto junior

USA siyo dictatorship kama tanzagiza, kuna checks and balances, kila miaka 4 kuna uchaguzi wa raisi ikiafwatiwa baadaye na mid terms elections nguvu ya raisi inategemeana na kama ana control bunge, hii inaathiri foreign policies pia, hivyo mara nyingi ukiona wanawatumia sijui pakis siyo kwa sababu wameishiwa nguvu bali pia hawataki kupoteza elections huko kwao, kwa kawaida watu wengi hawapendi vita hata huko USA wengi hawapendi vita na unaweza kushangaa baada ya mid-terms november kama Trump asipopoteza uwingi bungeni vita ikarudia, tena safari hii ikawa vita kamili kama irak au libya kwani Trump atakuwa hana cha kupoteza tena lkn kama democrats na muslims wakishinda mid terms ndiyo labda ndiyo mwisho wa Trump.

lkn USA bado ni the most powerful country in the world by tena far, ingawaje wengine wanakuja kama brics na china wao lkn as long the mighty US dollar rules bado USA itabakia kuwa powerful kwa maoni yangu.

uchumi wa china+ujerumani+japani = USA, ndiyo unafikia USA lkn USA ina watu ~ milioni 340 tu vs china 1.4 billion people ...
 
Unaelewa maana ya Asilimia 30% Leo ukinunua mkate 1000, mwezi ujao unanunua kwa 1300, mwezi inafuata ni 1690 etc haujafika level hio.
Hauwezi ukaathiri kila bidhaa lakini kwa hali tuliyonayo kusema mfumuko wa bei eti ni asilimia 4.2 ni kufanya watu wajinga na wasiojitambua.

Angalia gharama za maisha kwa ujumla, angalia bei za bidhaa za ujenzi nk.

It's terrible.
 
Hauwezi ukaathiri kila bidhaa lakini kwa hali tuliyonayo kusema mfumuko wa bei eti ni asilimia 4.2 ni kufanya watu wajinga na wasiojitambua.

Angalia gharama za maisha kwa ujumla, angalia bei za bidhaa za ujenzi nk.

It's terrible.
Tatizo sio Asilimia, tatizo ni wewe hesabu imekupitia kushoto, Asilimia 4.2 kwa mwezi ni kubwa mno, kwa logic yako wewe Asilimia 30 ndani ya miaka mitano bei ya cement ingetoka 16,000 mpaka takriban 70,000 kusingekalika humu.
 
Tatizo sio Asilimia, tatizo ni wewe hesabu imekupitia kushoto, Asilimia 4.2 kwa mwezi ni kubwa mno, kwa logic yako wewe Asilimia 30 ndani ya miaka mitano bei ya cement ingetoka 16,000 mpaka takriban 70,000 kusingekalika humu.

sasa irani ni 300% na fedha ya irani imekuwa useless, 100 tsh = 50 000 iranian rial, hata shilingi yetu iko juu tena sana tu ya rial ya iran i.e shilingi 1 = 500 rial irani ...
 
hii haijawahi kutokea, kumbuka vikwazo vina madaraja pia i.e unaweza ukawekewa vikwazo lkn bado kuna vitu ukaruhusiwa kufanya, unaweza kwa mfano bado ukaruhusiwa ku-transfer fedha kutumia swift (ingawaje wanasema swift ni neutral lkn siyo neutrol kiihvyo bado west wanaweza kukuzuia kuitumia kama wakiamua) au hata exports ya baadhi ya products kwa mfano russia kawekewa vikwazo na eu lkn bado kuna vitu eu wananunua ktk russia kwa mfano mbolea au mafuta ghafi na rasilimali nyinginezo vivyo hivyo iran ndiyo aliwekewa vikwazo tangia miaka ya 70 lkn bado alikuwa na pa kupumulia mfono mdogo tu bado wairani wengi wanaruhusiwa kusoma USA au EU tena wako on scholarships paid by eu au USA.

ila hii ya sasa hivi ni end game ...

View attachment 3656478
Time will tell
 
Trumo ana mapungufu makubwa ya kuwa na pupa kwenye kuassume vitu ambavyo bado havijawa, kama si eye basi ni washauri wake

Iran imesha survive vikwazo kibao na haitakuwa mara yao ya kwanza kuwekewa vikwazo, wana njia zao nyingi za panya za kuvikwepa,

Kama kweli Trump kadhamiria kuwaweza IRGC hakuna njia nyingine zaidi ya vita tu, hakuna namna nyingine yoyote inayoweza kuwaweka IRGC kwenye mstari zaid ya kutumia nguvu, IRGC wanaelewa kitu kimoja tu, NVUVU !! wao hivyo vikwazo hata vifanye wananchi wafe njaa kwao sio shida, walishaua wairan elf 52 walioandamana January .
Ulitaka watu wahatarishe usalama wa wairan zaidi ya 90M halafu waachwe
Yaani hata kama ilitakiwa watu 30M wafe ili wengine 60M wawe salama na iran iwe salama basi wangefyekwa
Pia hao IRGC kama waliua watu wana tofauti ndogo sana na hao wapuuzi wa marekani waloua zaidi ya wairan 3k
 
Mmarekani kwa vile vikwazo, amemuweka kwenye wakati mgumu. Anahangaika. Watu hawawezi kula mabomu waka drones.

Ndio maana sisi wengine sio wapenzi wa vita. na huwa nawashangaa wanaofikiria vita ni kitu kirahisi kufanya.

Kwa sasa hata Putin anajuta...kuna wakati anaona kabisa balance ya vita imeegema kumpa ushindi adui kuliko yeye
Adui kushinda pale Ukraine kwa sasa sahau sijui put in yupi unamuongelea wewe
Iran hakuitaka vita ila baada ya kua aliletewa hakua nanamna zaidi ya kupambana nayo na kaishinda na ataishinda zaidi
Miaka 40s sasa ngonjera zile zile na hili sasa pia litapita mutakuja na drama mpya
 
Adui kushinda pale Ukraine kwa sasa sahau sijui put in yupi unamuongelea wewe
Iran hakuitaka vita ila baada ya kua aliletewa hakua nanamna zaidi ya kupambana nayo na kaishinda na ataishinda zaidi
Miaka 40s sasa ngonjera zile zile na hili sasa pia litapita mutakuja na drama mpya

Kwetu huku uzaramuni kuna mtu anaitwa Putin
 
hii haijawahi kutokea, kumbuka vikwazo vina madaraja pia i.e unaweza ukawekewa vikwazo lkn bado kuna vitu ukaruhusiwa kufanya, unaweza kwa mfano bado ukaruhusiwa ku-transfer fedha kutumia swift (ingawaje wanasema swift ni neutral lkn siyo neutrol kiihvyo bado west wanaweza kukuzuia kuitumia kama wakiamua) au hata exports ya baadhi ya products kwa mfano russia kawekewa vikwazo na eu lkn bado kuna vitu eu wananunua ktk russia kwa mfano mbolea au mafuta ghafi na rasilimali nyinginezo vivyo hivyo iran ndiyo aliwekewa vikwazo tangia miaka ya 70 lkn bado alikuwa na pa kupumulia mfono mdogo tu bado wairani wengi wanaruhusiwa kusoma USA au EU tena wako on scholarships paid by eu au USA.

ila hii ya sasa hivi ni end game ...

View attachment 3656478
Hata vikwazo walivyoekewa mwaka 1979 havikuwa vimewahi kuekwa kabla ya hapo
Ila wakaishi navyo mpaka leo na wanamaendeleo kuliko nyie ambao hamuna vikwazo
Ili iran iwezwe na vikwazo lazima china angel mkono vikwazo vya marekani
Dunia yasasa kama kikwazo chako hakijaungwa mkono na China basi sawa na kazi bure
Kinachomsaidia Russia kwasasa ndio kitakacho msaidia iran sasa na baadae
Iran alijua haya miaka mingi ndio maana akajenga mahusiano na jumuia za Kanda yake ukiacha huku Asia Magharibi
Kiufupi iran alijiandaa na haya miaka kama 20+ nyuma huko
Tuwape muda gani iran itakua imeanguka kutokana na hivi vikwazo???
 
Hauwezi ukaathiri kila bidhaa lakini kwa hali tuliyonayo kusema mfumuko wa bei eti ni asilimia 4.2 ni kufanya watu wajinga na wasiojitambua.

Angalia gharama za maisha kwa ujumla, angalia bei za bidhaa za ujenzi nk.

It's terrible.
Mukiambiwa musome munaona munaonewa
Sasa ndio umeongea nini hiki wewe bei za bidhaa za ujenzi ndio umeona kupanda kwa vitu kwa 30%???
 
Mukiambiwa musome munaona munaonewa
Sasa ndio umeongea nini hiki wewe bei za bidhaa za ujenzi ndio umeona kupanda kwa vitu kwa 30%???
Naona hujanielewa. Hapo nimetoa mfano tu wa kasekta kamoja lkn gharama za maisha zimepanda sana na hii imeathiri bidhaa na huduma zote nchini.
 
sasa irani ni 300% na fedha ya irani imekuwa useless, 100 tsh = 50 000 iranian rial, hata shilingi yetu iko juu tena sana tu ya rial ya iran i.e shilingi 1 = 500 rial irani ...
Iran kila kitu karibia Bure, so mfumuko wa bei unawaathiri kwenye vitu luxury tu kama magari, simu Kali etc. ila vitu vyao vya kawaida kuanzia mafuta, gesi, vyakula, malazi etc bei rahisi.

Wewe unanunua mafuta Lita 4000 wenzako wananunua mafuta Lita sh 28, hata kama kuna inflation asilimia 1000 nevermind 300 yatatoka 28 kuja 280.

Internet ipo, Ai zipo google google siku moja maisha ya watu wanaishi vipi na sio kujifanya mtumwa wa kujitolea kujipendekeza kwa watu Ambao hawana hata time na wewe.

Hii video ya vyakula Iran na bei zake, kama lengo lako kujifunza

View: https://youtu.be/zXD-OG8nwcU?si=cnPmoB_mqU_0o2_a

Then compare na Tanzania, wao wenye vikwazo na inflation kubwa still wana bidhaa bei rahisi, na hapo ni super market za kishua mtaani ni rahisi zaidi.
 
Back
Top Bottom