The islamic republic of Iran is completely collapsing!

The islamic republic of Iran is completely collapsing!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,407
Reaction score
17,680
inflation au mfumuko wa bei 300% vs tanzagiza 4.2%, fedha ya iran rial totally collapsed ...

1787577545777.png


1787577561157.png
 
Am down 4 it

Waliapa kuwa wafalme wa jihad ya kuwaangamiza wayahudi na wakristo kwa kutengenza network za ugaidi kupitia proxies mashariki ya kati

Clock is ticking
 
Mkuu mfumuko wa bei, hauusiani na uisilamu,ila hiyo ni mipango mibovu ya watala, sijui kama unachuki zako, binafsi, na uisilamu.

kwa nini unsema hivyo kwamba "nina chuki" ? unaweza labda kuisema hiyo "chuki" kulingana na habari husika? ni wapi nimetaja islam kunapoonyesha hiyo "chuki" ? ...
 
Trumo ana mapungufu makubwa ya kuwa na pupa kwenye kuassume vitu ambavyo bado havijawa, kama si eye basi ni washauri wake

Iran imesha survive vikwazo kibao na haitakuwa mara yao ya kwanza kuwekewa vikwazo, wana njia zao nyingi za panya za kuvikwepa,

Kama kweli Trump kadhamiria kuwaweza IRGC hakuna njia nyingine zaidi ya vita tu, hakuna namna nyingine yoyote inayoweza kuwaweka IRGC kwenye mstari zaid ya kutumia nguvu, IRGC wanaelewa kitu kimoja tu, NVUVU !! wao hivyo vikwazo hata vifanye wananchi wafe njaa kwao sio shida, walishaua wairan elf 52 walioandamana January .
 
Sikubaliani kabisa na usemi kwamba mfumuko wa bei Tanzania eti ni asilimia 4.2 tu.

Katika vitu tunavyodanganywa kama watoto na serikali hii ni hili la mfumuko wa bei.

Mfumuko wa bei Tanzania kiukweli ni kati ya asilimia 30 na 40 na hilo linanasibishwa vizuri zaidi na bei za bidhaa mbalimbali zinavyopanda kila siku lakini kwa muda mrefu sasa kuna siasa inachezwa pale BoT ili kuonyesha kwamba hali ya uchumi ni nzuri bila kufahamu kwamba wanaumbuka na uhalisia wa mambo yalivyo.
 
Am down 4 it

Waliapa kuwa wafalme wa jihad ya kuwaangamiza wayahudi na wakristo kwa kutengenza network za ugaidi kupitia proxies mashariki ya kati

Clock is ticking
Ni lina walipanga kuangamiza wayahudi na wakristo? Una ushahidi wowote?

Kuhusu proxies hata Israel na USA zina proxies za "magaidi" kama HTS (Rais wa Syria), PLC (Yemen), YPG/YPJ/Peshmerga (Iraq), SDF (Syria), PJAK, PAK (Iran).
 
inflation au mfumuko wa bei 300% vs tanzagiza 4.2%, fedha ya iran rial total collapsed ...

View attachment 3656180

View attachment 3656181

Mmarekani kwa vile vikwazo, amemuweka kwenye wakati mgumu. Anahangaika. Watu hawawezi kula mabomu waka drones.

Ndio maana sisi wengine sio wapenzi wa vita. na huwa nawashangaa wanaofikiria vita ni kitu kirahisi kufanya.

Kwa sasa hata Putin anajuta...kuna wakati anaona kabisa balance ya vita imeegema kumpa ushindi adui kuliko yeye
 
Ni lina walipanga kuangamiza wayahudi na wakristo? Una ushahidi wowote?

Kuhusu proxies hata Israel na USA zina proxies za "magaidi" kama HTS (Rais wa Syria), PLC (Yemen), YPG/YPJ/Peshmerga (Iraq), SDF (Syria), PJAK, PAK (Iran).
Proxy wa Iran ndio kila siku wanasaidia Wakristo, kuanzia Iraq vita vya Isis Hadi Lebanon Hezbollah. Hapo Lebanon Wakristo wanasoma Shule za Hezbollah, wanatibiwa Hospitality za Hezbollah na wapo safe kuuliwa na Kina Isis sababu ya Hezbollah.

Nchi ambazo Iran Hana Nguvu unakuta Isis na Alqaeda makundi rafiki ya Israel ndio yanatawala na kuua Wakristo.


Wakristo wenyewe wa Middle East wapo pamoja na hayo makundi, then utamsikia mjinga mjinga huku Tanzania ambaye toka kazaliwa pengine hata mkoa wake hajawahi kutoka Anafkiri Israel ni rafiki wa Wakristo na Iran ni Adui wa Wakristo, go tell that kwa Mkristo wa Lebanon, Iraq ama Syria kama atakuelewa.
 
Sikubaliani kabisa na usemi kwamba mfumuko wa bei Tanzania eti ni asilimia 4.2 tu.

Katika vitu tunavyodanganywa kama watoto na serikali hii ni hili la mfumuko wa bei.

Mfumuko wa bei Tanzania kiukweli ni kati ya asilimia 30 na 40 na hilo linanasibishwa vizuri zaidi na bei za bidhaa mbalimbali zinavyopanda kila siku lakini kwa muda mrefu sasa kuna siasa inachezwa pale BoT ili kuonyesha kwamba hali ya uchumi ni nzuri bila kufahamu kwamba wanaumbuka na uhalisia wa mambo yalivyo.
Unaelewa maana ya Asilimia 30% Leo ukinunua mkate 1000, mwezi ujao unanunua kwa 1300, mwezi inafuata ni 1690 etc haujafika level hio.
 
Back
Top Bottom