The islamic republic of Iran is completely collapsing!

The islamic republic of Iran is completely collapsing!

utamsikia mjinga mjinga huku Tanzania ambaye toka kazaliwa pengine hata mkoa wake hajawahi kutoka Anafkiri Israel ni rafiki wa Wakristo na Iran ni Adui wa Wakristo,
Siyo kweli,
Iran, Wakristo wanabaguliwa, kunyanyaswa, kuonewa na kuadhibiwa vikali kwa sababu ya imani yao..
=============================

In iran, individuals caught possessing or sharing Farsi Bibles face heavy fines, lengthy prison sentences, harassment, and severe legal penalties...
 
Siyo kweli,
Iran, Wakristo wanabaguliwa, kunyanyaswa, kuonewa na kuadhibiwa vikali kwa sababu ya imani yao..
=============================

In iran, individuals caught possessing or sharing Farsi Bibles face heavy fines, lengthy prison sentences, harassment, and severe legal penalties...
Ungeleta na ushahidi Ambao ni Neutral,

1. Iran kuna makanisa toka Karne ya 1 huko na mpaka Leo yanadunda

2. Moja ya Metro kubwa ya Iran ambayo inaanzia kanisani inaitwa St Mary Metro imezinduliwa ku honor kanisa la Armenia
images.jpeg


3. Khamenei mara kwa mara amekua akitembelea hizo community za kikristo na tumeona wakristo wengi hata Ambao wapo nje ya Iran waki honor kifo chake. Kama vile Catholicos Garegin II ambaye ni equivalent ya Papa kwa wakatoliki.

So hebu nielezee taratibu nchi ambayo hata biblia hairuhusiwi why Ina makanisa mengi tena makubwa, why Inajenga architecture za wakristo, why viongozi wake wanapendwa na Nchi na viongozi wa wakristo?

Tatizo la wabongo wengi mnajua west ndio ukristo, makanisa yenu ya kilokole yasiyo na staha yakizuiliwa basi moja kwa moja mnaona watu wanapinga ukristo.

Middle east ndio nyumbani kwa makanisa makongwe kabisa, Armenia na Assyrian churches tradition zao ni toka Karne ya kwanza uhai wa Yesu, miaka na miaka wanapambana na wazungu wakati wanasambaza Ukristo wao feki, wakristo wa Middle East wanawindwa na kuuliwa na west toka hata Muhammad (S.A.W) hajakuja, uisilamu ulipopata nguvu uliyalinda hayo makanisa vs west, na almost vita vyote vya waisilamu vs West wakristo wamesaidia waisilamu, na Hadi Leo hayo makanisa kusimama ni ushahidi tosha wa relationship Yao na hizo state.

Wakristo walikaa kwa amani Iraq both Sadam na communities za kishia waliishi nao kwa amani ila Usa alivyoleta tu demokrasia yake hapo, na Vikundi vyake vya kigaidi ghafla wakaanza kuwindwa.

Syria wakristo waliishi kwa Amani muda mrefu mpaka Usa alipoleta Demokrasia yake, tunaona Usa na Israel sasa hivi nje nje wana back up Al qaeda.

Palestine wakristo na Waisilamu waliishi kwa amani mpaka Israel alivyotokea sasa hivi role ya wakristo Israel ni kutemewa mate.

Same to Lebanon na kwengineko. Kama unataka wa kumlaumu kwa tabu za Wakristo Middle East walaumu hao mabwana zako unaowakatikia viuno kila siku Israel na Usa, sio Iran, Iran amekuwa msaada mkubwa kwa makanisa ya Middle East, Assyrian, Armenia, Maronite, Catholic etc
 
Watu ni mashabiki ..ni kwa iran kushindana na USA kwa sasa kwa sababu vikwazo vya sasa vinaushisha kuhalibu miundo mbinu ya uchumi wa tofauti na vikwazo vya zamani...ni swala la muda tu iran itapigishwa magoti
Tuvipe muda gani???
 
Back
Top Bottom