The islamic republic of Iran is completely collapsing!

The islamic republic of Iran is completely collapsing!

Naona hujanielewa. Hapo nimetoa mfano tu wa kasekta kamoja lkn gharama za maisha zimepanda sana na hii imeathiri bidhaa na huduma zote nchini.
Kupanda kwa gharama za maisha hakuna anaekataa
Hilo kwasasa ndio tatizo la dunia nzima mpaka kwenu huko marekani gharama zipo juu
Tunachokukatalia ni hizo asilimia unazozisemea
 
Kupanda kwa gharama za maisha hakuna anaekataa
Hilo kwasasa ndio tatizo la dunia nzima mpaka kwenu huko marekani gharama zipo juu
Tunachokukatalia ni hizo asilimia unazozisemea
Kwa hali ilivyo ngumu hiyo ndio takwimu ya ukweli chini ya hapo ni porojo tu.
 
Mkuu mfumuko wa bei, hauusiani na uisilamu,ila hiyo ni mipango mibovu ya watala, sijui kama unachuki zako, binafsi, na uisilamu.
Na hauwezi kumzuia mtu kuchukia asichokipenda, wala huwezi kumlazimisha kupenda kitu Cha ovyo.

Kama anaona watu wanauawa na kubakwa na waislam Kwa sababu sio waislam, Kwa nini asiuchukie huo uislam?
 
Mmarekani kwa vile vikwazo, amemuweka kwenye wakati mgumu. Anahangaika. Watu hawawezi kula mabomu waka drones.

Ndio maana sisi wengine sio wapenzi wa vita. na huwa nawashangaa wanaofikiria vita ni kitu kirahisi kufanya.

Kwa sasa hata Putin anajuta...kuna wakati anaona kabisa balance ya vita imeegema kumpa ushindi adui kuliko yeye

Unaandika utafikiri iran ndo ilianda kumshambulia usa kule kwao
 
Proxy wa Iran ndio kila siku wanasaidia Wakristo, kuanzia Iraq vita vya Isis Hadi Lebanon Hezbollah. Hapo Lebanon Wakristo wanasoma Shule za Hezbollah, wanatibiwa Hospitality za Hezbollah na wapo safe kuuliwa na Kina Isis sababu ya Hezbollah.

Nchi ambazo Iran Hana Nguvu unakuta Isis na Alqaeda makundi rafiki ya Israel ndio yanatawala na kuua Wakristo.


Wakristo wenyewe wa Middle East wapo pamoja na hayo makundi, then utamsikia mjinga mjinga huku Tanzania ambaye toka kazaliwa pengine hata mkoa wake hajawahi kutoka Anafkiri Israel ni rafiki wa Wakristo na Iran ni Adui wa Wakristo, go tell that kwa Mkristo wa Lebanon, Iraq ama Syria kama atakuelewa.

West walifanikiwa sana kuharibu hiki kizazi siku watakapoamka watakuwa wamechelewaa sana hasa hapa bongo wakisikia israel huwa wanafikiria ni wezao .. wakristu kule israel nj chini ya asilimi 2 na huwa wanawekwa daraja la chini sana
 
hii haijawahi kutokea, kumbuka vikwazo vina madaraja pia i.e unaweza ukawekewa vikwazo lkn bado kuna vitu ukaruhusiwa kufanya, unaweza kwa mfano bado ukaruhusiwa ku-transfer fedha kutumia swift (ingawaje wanasema swift ni neutral lkn siyo neutrol kiihvyo bado west wanaweza kukuzuia kuitumia kama wakiamua) au hata exports ya baadhi ya products kwa mfano russia kawekewa vikwazo na eu lkn bado kuna vitu eu wananunua ktk russia kwa mfano mbolea au mafuta ghafi na rasilimali nyinginezo vivyo hivyo iran ndiyo aliwekewa vikwazo tangia miaka ya 70 lkn bado alikuwa na pa kupumulia mfono mdogo tu bado wairani wengi wanaruhusiwa kusoma USA au EU tena wako on scholarships paid by eu au USA.

ila hii ya sasa hivi ni end game ...

View attachment 3656478

Hapo waliopoutengeneza huo mfumo dunia ika lala ikidhani ipo salama mpaka kondoo alipoanza kuitumia hiyo swift kama silaha dunia ndo inahaingaika kujinasua huko
 
Watu ni mashabiki ..ni kwa iran kushindana na USA kwa sasa kwa sababu vikwazo vya sasa vinaushisha kuhalibu miundo mbinu ya uchumi wa tofauti na vikwazo vya zamani...ni swala la muda tu iran itapigishwa magoti
 
Taarifa kaitoa Trump na sio Iran.

Si huyu huyu Trump kila siku anawadanganya kwamba ameshinda vita lakini kesho yake anaomba mazungumzo ya kumaliza vita na Iran?

Anakwambia wameharibu launchers za makombora zote lakini Iran bado anavurumisha makombora kokote atakako.
 
Back
Top Bottom