Taasisi ya The Islamc Foundation ikishirikiana na Albasra foundation ikiendelea kutoaTiba ya bure ya macho katika viwanja vya Hospital ya Aljomeih iliopo msamvu morogoro, kwa yeyote mwenye matatizo ya macho anaweza kufika.
Yu better know what yo sayin,and where yu sayin that coz this here is a public network,being cruel or being heartless is abt a person himself,those people they tryn help our ----n poor country hu celebrates 52 years of poverty,may God hve mercy on yo speech
Allah mwingi wa rehema awalipe kila la kheri ikhwaani hawa kwa harakath zao katika kuihudumia jamii ya watanzania. Mungu awakinge na kila shari na vitimbwi vya mahasidi.
Taasisi ya The Islamc Foundation ikishirikiana na Albasra foundation ikiendelea kutoaTiba ya bure ya macho katika viwanja vya Hospital ya Aljomeih iliopo msamvu morogoro, kwa yeyote mwenye matatizo ya macho anaweza kufika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.