Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
Kuna nyingime nazifanya pasipokujua
Kuna zingine sizifanyi kwa kutokujua..
Mwisho nakumbuka **** mtari upo kwenye biblia unasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..
Kinachoendelea hapa namfikiria mtoa mada lifecoded ni mtu wa aina gani
Nafumba macho kuna picha inanijia kichwani huyu jamaa miaka27 mpaka 32 hajazidi hapo,mwembamba,sio mweupe wala sio mweusi yupo kati hapo zaidi ya maji ya kunde,urefu wake hajafika 180cm wala hajapungua 155😁😁😁.
Mkuu nikisema sina la kusema ntaonekana mchawi,
Kwa upendo nasema ahsante kwa kuleta somo zuri
Kuna zingine sizifanyi kwa kutokujua..
Mwisho nakumbuka **** mtari upo kwenye biblia unasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..
Kinachoendelea hapa namfikiria mtoa mada lifecoded ni mtu wa aina gani
Nafumba macho kuna picha inanijia kichwani huyu jamaa miaka27 mpaka 32 hajazidi hapo,mwembamba,sio mweupe wala sio mweusi yupo kati hapo zaidi ya maji ya kunde,urefu wake hajafika 180cm wala hajapungua 155😁😁😁.
Mkuu nikisema sina la kusema ntaonekana mchawi,
Kwa upendo nasema ahsante kwa kuleta somo zuri