Mwanzoni mwa miaka ya 60 alikuwapo mwandishi mashuhuri aitwae MARIO PUZZO aliandika kitabu wakati huo kikiitwa THE GODFATHER..ndani yake kulikuwa na main character akiitwa VITO ANDOLIN CORLEONE.."THE GODFATHER"
Mwandishi huyo alijaribu kuandika mahusiano yaliyokuwepo baina ya Serikali na Organised Criminal Gangs "the family" na kuonyesha nguvu ambayo the family inayo katika maamuzi ya Serikali na Taasisi kubwa Duniani, kwa kutumia nguvu ya PESA ama kwa jina halisi RUSHWA, ambayo kwa rushwa waliwakamata wanasiasa, wanasheria na watendaji wakubwa katika Serikali.
Mwandishi akaonesha nguvu ya those powerful organised criminal gangs alipoodhihirisha walivyojipenyeza katika THE MOST POWERFUL AND SECURE INSTITUTION IN THE WORLD-the so called ROMAN CATHOLIC CHURCH kiasi cha kufanya ASSASSINATION ya POPE.
Hii ni nguvu ya Ajabu,.,kwa wale ambao wanaelewa nguvu ya Kanisa wanaelewa ninachokimaanisha.
Nirudi katika Uhalisia wa maisha yetu ya KBONGO.,nitaanza kwa mifano hai..
Katika Moja ya Vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM(kikao kikubwa cha maamuzi ndani ya chama kinachoongoza Serikali) Mjumbe mmoja aitwae KILUMBE NG'ENDA - Ambaye alikuwa ni Katibu wa Mkoa wa Dar es salam wa CCM.,aliwahi kutamka jina la GODFATHER kwenye kikao hicho., akimtuhumu kwa yafuatayo:-
@ Kuwa "GODFATHER" sio mwanaCCM kwa maana hana kadi ya Chama hicho.
b) Godfather anakihujumu Chama kupitia TV yake, Radio na Magazeti.
c) Akatoa nyaraka na meseji zenye kuthibitisha kuwa GODFATHER anafadhili CHASO na midahalo na makongamano ya CDM.
d) Ng'enda akataka Chama kimshughulikie GODFATHER kwani anakidhohofisha na kukipa taswira hasi kwa watanzania.
MATOKEO YAKE..,
Baada ya Mwaka mmoja, Kilumbe Ng'enda alivuliwa GAMBA, akanyang'anywa nafasi yake ya Ukatibu wa Mkoa na kushushwa Cheo, mpaka hivi tunavyojadiliana KILUMBE na miongoni mwa watumishi wa CCM wasiojulikana ofisi yao, hadhi yao, cheo chao wala idara (yupo yupo tu)
Na leo MKOA wa Dar ndio ngome ya Upinzani., Kila uchao nguvu ya CCM inapwaya na Upinzani unapata nguvu ktk Jiji hili, lakini CCM ilikubali ifikwe na hayo kuliko kushughulika na THE GODFATHER.
NAIZUNGUZA CCM AMBACHO NDICHO CHAMA TAWALA TANGU UHURU - THE MOST POWERFUL INSTITUTION HAPA NCHINI...wanaoijua nafasi ya CCM katika maisha ya Watanzania nadhan wananielewa.
Lakini kama Kumbukumbu zetu ziko sahihi kidogo, mtakumbuka kila WAZIRI wa Serikali hii ambae kwa namna yeyote alijaribu kugusa interest ya Godfather aliishia pabaya hasa kwa kuipoteza nafasi yake na kusahaulika kabisa katika siasa za nchi hii.
NDUGU ZANGU..,tunaiishi Tanzania ambayo Criminals wananguvu isiyomithilika na isiyozuilika.
Miaka kadhaa nyuma tulimsikia mmoja ya WAZALENDO HALISI wa nchi hii akitamka kwa ujasiri kuwa atashughulika na wauza dawa za kulevya, mtakuwa mashahidi kuwa HAKUDUMU na hatunae tena..
Miezi michache tu alitokea kidume mwingine aliyekuwa akikamata Nyara za Serikali kila asubuhi na jioni..,MAJANGILI wakakosa kupumua na wakahisi kubughudhiwa..kama hamjasahu Huyo KIDUME sasa hivi sio Waziri tena na taarifa nilizonazo ni kuwa hivi sasa MAJANGILI HAWAUI WANYAMA bali wanawasafirisha wazima wazima tena kwa kutumia NDEGE za SERIKALI.
MUHONGO nae alifikiri kwa kuwa amefika nafasi ya uwaziri bila kupiga magoti ya kuomba hela ya kampen kwa MAGODFATHER wala hawategemei kwa lolote akadhani anaweza kufanya jambo la sawasawa..,Nadhan mnashuhudia kinachomkuta.
HII NDIO TISA (TANZANIA ILIVYO SASA)
Wanyonge, masikini wa nchi hii wanayashuhudia haya kuwa kila anayejitahidi kuwahurumia na kujaribu kuwapunguzia maumivu yao na hadha za maisha magumu anaishia kupotea..
Masikini hawa ni wanyonge, ni masikini hawana nguvu wanaishia kulalamika (tena kimya kimya) lakini nafikiri wanakoelekea sasa wataanza kupaza sauti zao..MIMI NITAUNGANA NAO siku wakipata UJASIRI HUO.
BY ALLEX KOWE.
Mwandishi huyo alijaribu kuandika mahusiano yaliyokuwepo baina ya Serikali na Organised Criminal Gangs "the family" na kuonyesha nguvu ambayo the family inayo katika maamuzi ya Serikali na Taasisi kubwa Duniani, kwa kutumia nguvu ya PESA ama kwa jina halisi RUSHWA, ambayo kwa rushwa waliwakamata wanasiasa, wanasheria na watendaji wakubwa katika Serikali.
Mwandishi akaonesha nguvu ya those powerful organised criminal gangs alipoodhihirisha walivyojipenyeza katika THE MOST POWERFUL AND SECURE INSTITUTION IN THE WORLD-the so called ROMAN CATHOLIC CHURCH kiasi cha kufanya ASSASSINATION ya POPE.
Hii ni nguvu ya Ajabu,.,kwa wale ambao wanaelewa nguvu ya Kanisa wanaelewa ninachokimaanisha.
Nirudi katika Uhalisia wa maisha yetu ya KBONGO.,nitaanza kwa mifano hai..
Katika Moja ya Vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM(kikao kikubwa cha maamuzi ndani ya chama kinachoongoza Serikali) Mjumbe mmoja aitwae KILUMBE NG'ENDA - Ambaye alikuwa ni Katibu wa Mkoa wa Dar es salam wa CCM.,aliwahi kutamka jina la GODFATHER kwenye kikao hicho., akimtuhumu kwa yafuatayo:-
@ Kuwa "GODFATHER" sio mwanaCCM kwa maana hana kadi ya Chama hicho.
b) Godfather anakihujumu Chama kupitia TV yake, Radio na Magazeti.
c) Akatoa nyaraka na meseji zenye kuthibitisha kuwa GODFATHER anafadhili CHASO na midahalo na makongamano ya CDM.
d) Ng'enda akataka Chama kimshughulikie GODFATHER kwani anakidhohofisha na kukipa taswira hasi kwa watanzania.
MATOKEO YAKE..,
Baada ya Mwaka mmoja, Kilumbe Ng'enda alivuliwa GAMBA, akanyang'anywa nafasi yake ya Ukatibu wa Mkoa na kushushwa Cheo, mpaka hivi tunavyojadiliana KILUMBE na miongoni mwa watumishi wa CCM wasiojulikana ofisi yao, hadhi yao, cheo chao wala idara (yupo yupo tu)
Na leo MKOA wa Dar ndio ngome ya Upinzani., Kila uchao nguvu ya CCM inapwaya na Upinzani unapata nguvu ktk Jiji hili, lakini CCM ilikubali ifikwe na hayo kuliko kushughulika na THE GODFATHER.
NAIZUNGUZA CCM AMBACHO NDICHO CHAMA TAWALA TANGU UHURU - THE MOST POWERFUL INSTITUTION HAPA NCHINI...wanaoijua nafasi ya CCM katika maisha ya Watanzania nadhan wananielewa.
Lakini kama Kumbukumbu zetu ziko sahihi kidogo, mtakumbuka kila WAZIRI wa Serikali hii ambae kwa namna yeyote alijaribu kugusa interest ya Godfather aliishia pabaya hasa kwa kuipoteza nafasi yake na kusahaulika kabisa katika siasa za nchi hii.
NDUGU ZANGU..,tunaiishi Tanzania ambayo Criminals wananguvu isiyomithilika na isiyozuilika.
Miaka kadhaa nyuma tulimsikia mmoja ya WAZALENDO HALISI wa nchi hii akitamka kwa ujasiri kuwa atashughulika na wauza dawa za kulevya, mtakuwa mashahidi kuwa HAKUDUMU na hatunae tena..
Miezi michache tu alitokea kidume mwingine aliyekuwa akikamata Nyara za Serikali kila asubuhi na jioni..,MAJANGILI wakakosa kupumua na wakahisi kubughudhiwa..kama hamjasahu Huyo KIDUME sasa hivi sio Waziri tena na taarifa nilizonazo ni kuwa hivi sasa MAJANGILI HAWAUI WANYAMA bali wanawasafirisha wazima wazima tena kwa kutumia NDEGE za SERIKALI.
MUHONGO nae alifikiri kwa kuwa amefika nafasi ya uwaziri bila kupiga magoti ya kuomba hela ya kampen kwa MAGODFATHER wala hawategemei kwa lolote akadhani anaweza kufanya jambo la sawasawa..,Nadhan mnashuhudia kinachomkuta.
HII NDIO TISA (TANZANIA ILIVYO SASA)
Wanyonge, masikini wa nchi hii wanayashuhudia haya kuwa kila anayejitahidi kuwahurumia na kujaribu kuwapunguzia maumivu yao na hadha za maisha magumu anaishia kupotea..
Masikini hawa ni wanyonge, ni masikini hawana nguvu wanaishia kulalamika (tena kimya kimya) lakini nafikiri wanakoelekea sasa wataanza kupaza sauti zao..MIMI NITAUNGANA NAO siku wakipata UJASIRI HUO.
BY ALLEX KOWE.