The Godfather

The Godfather

Call him godfather or mother the true has been reveal and the ccm party has come to the end, they will soon be a opposition party in this country you will see it. The only one big problem that facing CCM followers, they never accept the true.

Duh! Hii serenge ni ya kiyunani au?
 
mleta uzi umetumwa tuuu ila umechelewa....
kama unamlengaaa reginald mengi umechemsha mkuu
 
This thread, I HUMBLY GIVE IT A THUMB UP...!!!

👉 Mengi wasipomdhibiti ATAIHARIBU CCM sana..!!!

☝ I swear to GOD....akija RAIS mwenye ujasiri kidogo tu atleast NUSU YA UJASIRI WA EL....Mengi atajutia...!!!

👉 CCM lazima iwe makini sana na watu wa aina hii with unknown identity within a party, yuko CCM kwa ID tu, but kimatendo na media zake zote ZINAIUA CCM....huu ni UHAINI..!!

💻📺📻✂🔨 CCM najua this time hawana la kumfanya...but NGOJA AJE LAIGWANAN....u will see MOTO...hakuna uselessness...!!!

Mkapa alimdhibiti vizuri tu huyo Mengi
 
This thread, I HUMBLY GIVE IT A THUMB UP...!!!

👉 Mengi wasipomdhibiti ATAIHARIBU CCM sana..!!!

☝ I swear to GOD....akija RAIS mwenye ujasiri kidogo tu atleast NUSU YA UJASIRI WA EL....Mengi atajutia...!!!

👉 CCM lazima iwe makini sana na watu wa aina hii with unknown identity within a party, yuko CCM kwa ID tu, but kimatendo na media zake zote ZINAIUA CCM....huu ni UHAINI..!!

💻📺📻✂🔨 CCM najua this time hawana la kumfanya...but NGOJA AJE LAIGWANAN....u will see MOTO...hakuna uselessness...!!!

Mpaka hatua hii hatujaelezwa makosa ya Waziri Muhongo ni yepi. Raisi Kikwete alipomuweka kiporo kwa ahadi ya siku mbili baada ya uchunguzi, ilitegemewa angemfukuza kazi ktk muda huo iwapo angethibibitisha makosa. Ukweli kwamba kajiuzuru mwenyewe baada ya kukaa kiporo mwezi mzima ni ushahidi tosha kuwa hana makosa.
Muhongo amewachalenji waandishi wa habari wathibitishe kama kapokea rushwa wamekaa kimya. Mhariri wa Mtanzania anadai eti hakufanya due dilligence ya makabidhiano ya mitambo ya IPTL kana kwamba hiyo mitambo ni mali ya serikali kama ilivyo ya Kidatu na Mtela! Nadhani dhambi kubwa za Muhongo ni kusitisha malipo ya mabilioni kwa Mkono na kuingilia vitalu vya Mengi na kuwakatalia mabepali kweka sera ya gesi walivyotaka wako. Ni muhanga wa Kangaroo Court ya PAC na upotoshaji wa makusudi vyombo vya habari.
 
mkuu nikusahihishe, tatizo la Muhongo sio Mengi, tatizo la muhongo ni uwendawazimu wa kisomi, akjiamini yeye ni mtaalamu na msomi kuliko wengine...na nitakupa facts juu ya fikra zake kupotoka...

1. Hakuna nchi yeyote inayoendelea au itakayoendelea kwa kutumia umeme wa gas, geothermal au diesel/HFO;
why? Generation cost kwa hiyo mitambo semwa hapo juu ni ghali sana, initial investment ni ndogo sawa, but kurun, maintaining na operational cost ni ghali mnooo, pia durability ni ndogo...i tell u umeme tanzania ungefika tsh 500 per unit very soon.
2. nchi zote dunian ambazo zipo serious na power, back borne yao ya grid is either Hydro au Nuclear...lakini nyingi ni hydro, na hiyo ndio njia rahisi sana ya kutengeneza umeme, na ndio njia nzuri ya kukupa umeme rahisi, initial investment ni kubwa lakin operational ni ndogo sana...maintenance pia ni ndogo...u can even run a plant which is automatic by only 4 people.
vyanzo vya maji tunavyo tele tena na feasibility study zilishafanyika some areas we can generate up to 4000 MW.
sasa swali kwako, Muhongo tangu aingie madarakan uliwah msikia akiongelea Hydro powers? (forget about sijui mambo ya kina cha maji kimepungua maana ile ilikuwaga ni upigaji ili IPTL auze umeme tanesco)

narudia kilichomponza Muhongo zaidi ni kiburi chake cha kisomi...kujiona yeye ni kila kitu, lakini sie tunaojua mambo ya umeme we tell u it was about time tu kwa bomu haswaa la matatizo ya umeme na bei juu ya umeme kulipuka...
yeye kama alikuwa anajua mambo ya miamba na madini its fine, umeme angeomba tu ushauri...na sio kutuletea umeme ghali zaidi...

Asante mkuu kwa kunipa elimu mujarabu ya umeme na gharama zake za uendeshaji,Now you have successfully changed my mind over Muhongo and his power development projects.
 
----,

kwa iyo ulitaka wezi watetewe, kisa tu ni watendaji wazuri??? poor mind



Sio kwamba ni watendaji wazuri bali ni waongo.
Muhongo ni muongo sana na anawadanganya watanzania kwa sera ambazo hazitekelezeki.
Watu ambao hawajawahi kifanya biashara wanamwamini sana muhongo.

Lakini kwa mfanyabiashara kwa mazingira ya CCM lazima alalamike.

Iko rushwa kubwa sana kwenye suala la wawekezaji toka nje.
Wa ndani wanaitwa madalali lakini anasahau kuwa hata hayo makampuni makubwa ni madalali wanapoona fursa za kuwekeza kwenye nchi maskini.
Na Muhongo anafikiri ni rahisi kufanya biashara au kuwa dalali nje ya ofisi na mgongo wa serikali basi ajaribu kujitegemea kwa kuwekeza kwa lengo la kunufaika yeye na familia yake kama anavyodanganya umma .

Muhongo anadanganya watu kuwa yeye ndio ameleta umeme vijijini.
Hivi Tanesco ilianzishwa na Muhongo?.Hivi REA imeanzishwa na Muhongo?
Huu mpango uko Muda mrefu wa umeme vijijini.Tangu utawala wa Nyerere. Bahati nzuri mpango wa REA ukaongeza nguvu.
Leo Muhongo anaongopea watu kuwa amepunguza bei ya umeme vijijini. Wapambe wake nao wanamshabikia ili bosi wao asije akakosa ajira huko nje walikomtuma .


Na pia huyu mleta mada hana jipya kwani Mhongo na uprofesa wake inabidi sasa awe kama gaidi au ajiunge na makampuni ya kitapeli mana haaminiki tena kwenye taasisi zenye usafi na uadilifu za kimataifa.Labda aendelee kutumika kama dalali na kibaraka wa wanyonyaji wa wakizungu.Na ISIS wakimgundua watakitaka kile kichwa chake kilichojaa utumwa wa kizungu.
 
Ndiyo maana nimesema ningekuwa na uwezo, sasa sina uwezo huo, nchi haiwezi kuburuzwa na wapuuzi wachache kama MENGI. yeye mwenyewe katajirika kwa kukwepa kodi.

Yaani hapa ni kama vile unasema CCM na serikali yake wamewekwa mfukoni na Bw. Mengi? Kwamba, akimwambia Rais mfukuze Prof. Muhongo, basi Rais anatekeleza. Jamani, tumefikia hatua ya kukidharau chama na Rais wetu kiasi hiki? Kwamba Rais na CCM wanatekeleza maelekezo ya Bw. Mengi? Siamini. Tunaweza kukosoa serikali lakini hili la kusema Mengi ndiye anatoa maelekezo ya namna ya kuendesha nchi ni dharau kubwa kwa serikali na chama tawala. Kipindi cha nyuma kuna watu (Mwakilishi wa Pope hapa nchini?) waliwahi kusema serikali ya Nyerere imewekwa mfukoni wa mafisadi, cha moto walikiona. Sasa leo thatha, ambaye ni kada maarufu wa CCM, anafikia hatua ya kumdharau Rais na CCM kwa kiwango cha hali ya juu na hakuna hatua zinazochukuliwa. Kweli waliosema Rais ni dhaifu hawakukosea.

Kwamba serikali inafahamu fika kuwa Mengi anakwepa kodi na haichukui hatua (thatha wa JF anafahamu hivyo na ushahidi anao)? Jamani, kuna serikali dhaifu zaidi ya hii ya CCM kweli? Serikali inashindwa kukusanya kodi. Serikali hiyo ya nini? Si bora tubaki bila serikali na kila mtu ajifanyie lake? Wakati wa mabadiliko ni sasa: Kataa Katiba inayopendekezwa, Kataa CCM, Boresha Maisha!
 
Mengi na Escrow wapi na wapi?
Muhongo kaingizwa Kingi na JK nae kaingia kichwakichwa kwa ujinga wake, kang'ang'ania kiti mpaka kaona aibu mwenyewe akatoka.

Suala la Godfather CCM ndiyo wanalitaka wenyewe, CCM ina Godfathers kila mkoa ktk nchi hii, uchaguzi unapokaribia barua za mchango wa fedha zinaletwa ofisi mbalimbali za wafanyabiashara binafsi na wengine wanakuwa wamepewa kiwango cha kuchanga.
Kwa maani hiyo CCM inajilazimisha kuingia mfukoni kwa mfanyabiashara at the end mfanyabiashara lazima arudishe fedha zake tena kwa kukupangia wewe serikali(mwenyekiti wa chama ndiyo mfanyakazi mkuu wa serikali).
So CCM itajikuta haiwezi kujiendesha yenyewe ila itaendeshwa na Godfathers the way wanavyotaka.
GODFATHERZZZ WA CCM:

Rugemalira
Harbinder Sing
Mpaka sasa wako safi hamna anayewabugudhi, hata Rais(Nwenyekiti wa Chama) alisema hela zile za Escrow ni za hawa watu not za umma.
Habari hiyo ikiripotiwa na ITV TZ mnaanza maneno kwamba Mengi yuko against serikali ya chama, ikiripotiwa na TBC mnaufyata kuliko Muongo.
Hivi watu wa chama chetu cha mapinduzi mna akili timamu kweeeeli.
 
Kigezo cha ajira ni elimu na uaminifu
Ukikosa uaminifu hupati kazi.
Kuna wazungu pale azam
Kuna financial advisor wadosi hindus pale tena anawasikilza sana.
Mnataka kazi mkaukate mchume haraka mshazoea escrow wote watoto wa kondoo



Bora umesema ukweli watu wameamua kurithi uongo wa Kipofu wao Muhongo.

Hivi kweli mtu haoni umuhimu wa Bahressa. Makampuni yake yameajiri watu kwa maelfu utamlinganisha muhongo anaekula kwa kuajiriwa na laptop mkononi.
Yani Mhongo hata akiwekwa gerezani hakuna mtu wa kuathirika zaidi ya familia yake.

Eti mleta mada anasema Bahressa ameajiri waislam tu !!!
Hivi waislam sio watanzania?
Kama muislam ana sifa zinazohitajika kwa nini asiajiriwe ili aendane na mazingira ya kazi zake?

CCM kazi yake ni kuwatumia watanzania maskini wenye elimu ndogo na uelewa mdogo kutetea mafisadi wanaokwapua mali za umma.
 
This thread, I HUMBLY GIVE IT A THUMB UP...!!!

👉 Mengi wasipomdhibiti ATAIHARIBU CCM sana..!!!

☝ I swear to GOD....akija RAIS mwenye ujasiri kidogo tu atleast NUSU YA UJASIRI WA EL....Mengi atajutia...!!!

👉 CCM lazima iwe makini sana na watu wa aina hii with unknown identity within a party, yuko CCM kwa ID tu, but kimatendo na media zake zote ZINAIUA CCM....huu ni UHAINI..!!

💻📺📻✂🔨 CCM najua this time hawana la kumfanya...but NGOJA AJE LAIGWANAN....u will see MOTO...hakuna uselessness...!!!

Nimesoma maoni ya wengi humu ndani lakini ukweli ni kuwa wengi wetu bado hatujaijua CCM na Serikali yake na ndy maana mashambulizi yanaenda kwa Dr Mengi ila niwaombe tu kuwa wapole na ipo siku sote tutajajua kuwa siasa za Bongo ni usanii wa sarakasi zisizo.za democrasia hata kidogo. Kwa muda wa sasa haya tuendelee kuaminishwa kuwa GODFATHER lengwa ni Mengi R. kama ilivyoletwa na mtoa mada.
USILO LIJUA NI SAWASAWA NA USIKU WA GIZE NENE!
 
Sio kwamba ni watendaji wazuri bali ni waongo.
Muhongo ni muongo sana na anawadanganya watanzania kwa sera ambazo hazitekelezeki.
Watu ambao hawajawahi kifanya biashara wanamwamini sana muhongo.

Lakini kwa mfanyabiashara kwa mazingira ya CCM lazima alalamike.

Iko rushwa kubwa sana kwenye suala la wawekezaji toka nje.
Wa ndani wanaitwa madalali lakini anasahau kuwa hata hayo makampuni makubwa ni madalali wanapoona fursa za kuwekeza kwenye nchi maskini.
Na Muhongo anafikiri ni rahisi kufanya biashara au kuwa dalali nje ya ofisi na mgongo wa serikali basi ajaribu kujitegemea kwa kuwekeza kwa lengo la kunufaika yeye na familia yake kama anavyodanganya umma .

Muhongo anadanganya watu kuwa yeye ndio ameleta umeme vijijini.
Hivi Tanesco ilianzishwa na Muhongo?.Hivi REA imeanzishwa na Muhongo?
Huu mpango uko Muda mrefu wa umeme vijijini.Tangu utawala wa Nyerere. Bahati nzuri mpango wa REA ukaongeza nguvu.
Leo Muhongo anaongopea watu kuwa amepunguza bei ya umeme vijijini. Wapambe wake nao wanamshabikia ili bosi wao asije akakosa ajira huko nje walikomtuma .


Na pia huyu mleta mada hana jipya kwani Mhongo na uprofesa wake inabidi sasa awe kama gaidi au ajiunge na makampuni ya kitapeli mana haaminiki tena kwenye taasisi zenye usafi na uadilifu za kimataifa.Labda aendelee kutumika kama dalali na kibaraka wa wanyonyaji wa wakizungu.Na ISIS wakimgundua watakitaka kile kichwa chake kilichojaa utumwa wa kizungu.

Asante sana mkuu. Prof. Muhongo akiulizwa kuhusu escrow, anasema hahusiki kwa kuwa mikataba ilisainiwa kabla hajakabidhiwa Wizara. Akiulizwa kuhusu umeme vijijini, anahusika sana na jitihada zake zimepelekea maelfu ya vijiji kupata umeme. REA na miradi ya umeme vijijini iliandaliwa kabla Prof. Muhongo hajakabidhiwa wizara na ingetekelezwa hata kama Waziri wa Nishati angekuwa Hawa Ghasia badala ya Prof. Muhongo. Kwenye umeme vijijini, hasemi kuwa miradi iliandaliwa kabla hajafika Wizarani kama ilivyo kwa mikataba ya IPTL. Iweje mafanikio ya Wizara yanamhusu lakini mapungufu ya Wizara hayamhusu?

Na huyu anadai ni msomi aliyebobea. Msomi aliyebobea haogopi kukosolewa na hukubali inapothibitishwa kuwa amekosea. Kwa mfano, mtu msomi hukubali pindi inapothibitishwa kuwa utafiti wake ulikuwa na makosa fulani fulani. Hakai kung'ang'ana kujitetea kwa kuorodhesha utitiri wa vyeti alivyonavyo na kazi alizowahi kufanya.
 
Asante mkuu kwa kunipa elimu mujarabu ya umeme na gharama zake za uendeshaji,Now you have successfully changed my mind over Muhongo and his power development projects.

Na Prof. Muhongo ni mtaalamu wa miamba. Sasa, utaalamu wa miamba na energy systems (pamoja na gharama zake) haviendani. Prof. Muhongo ni researcher na si kiongozi au manager anayeweza kutuletea umeme wa uhakika na bei nafuu. Prof. Muhongo hajawahi kuuza hata juice, ataweza kweli kusimamia biashara ngumu kwenye sekta ya nishati? Prof. Muhongo ni msomi mzuri sana na mtaalamu anayeheshimika wa miamba. Ni vyema akaendelee na kazi aliyoisomea na anayoimudu vilivyo kuliko kung'ang'ania vitu asivyoviweza.
 
THE GODFATHER:

Mwanzoni mwa miaka ya 60 alikuwapo mwandishi mashuhuri aitwae MARIO PUZZO aliandika kitabu wakati huo kikiitwa THE GODFATHER..ndani yake kulikuwa na main character akiitwa VITO ANDOLIN CORLEONE.."THE GODFATHER"

Mwandishi huyo alijaribu kuandika mahusiano yaliyokuwepo baina ya Serikali na Organised Criminal Gangs "the family" na kuonyesha nguvu ambayo the family inayo katika maamuzi ya Serikali na Taasisi kubwa Duniani, kwa kutumia nguvu ya PESA ama kwa jina halisi RUSHWA, ambayo kwa rushwa waliwakamata wanasiasa, wanasheria na watendaji wakubwa katika Serikali.

Mwandishi akaonesha nguvu ya those powerful organised criminal gangs alipoodhihirisha walivyojipenyeza katika THE MOST POWERFUL AND SECURE INSTITUTION IN THE WORLD-the so called ROMAN CATHOLIC CHURCH kiasi cha kufanya ASSASSINATION ya POPE.

Hii ni nguvu ya Ajabu,.,kwa wale ambao wanaelewa nguvu ya Kanisa wanaelewa ninachokimaanisha.

Nirudi katika Uhalisia wa maisha yetu ya KBONGO.,nitaanza kwa mifano hai..

Katika Moja ya Vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM(kikao kikubwa cha maamuzi ndani ya chama kinachoongoza Serikali) Mjumbe mmoja aitwae KILUMBE NG'ENDA - Ambaye alikuwa ni Katibu wa Mkoa wa Dar es salam wa CCM.,aliwahi kutamka jina la GODFATHER kwenye kikao hicho., akimtuhumu kwa yafuatayo:-

@ Kuwa "GODFATHER" sio mwanaCCM kwa maana hana kadi ya Chama hicho.

b) Godfather anakihujumu Chama kupitia TV yake, Radio na Magazeti.

c) Akatoa nyaraka na meseji zenye kuthibitisha kuwa GODFATHER anafadhili CHASO na midahalo na makongamano ya CDM.

d) Ng'enda akataka Chama kimshughulikie GODFATHER kwani anakidhohofisha na kukipa taswira hasi kwa watanzania.

MATOKEO YAKE..,

Baada ya Mwaka mmoja, Kilumbe Ng'enda alivuliwa GAMBA, akanyang'anywa nafasi yake ya Ukatibu wa Mkoa na kushushwa Cheo, mpaka hivi tunavyojadiliana KILUMBE na miongoni mwa watumishi wa CCM wasiojulikana ofisi yao, hadhi yao, cheo chao wala idara (yupo yupo tu)
Na leo MKOA wa Dar ndio ngome ya Upinzani., Kila uchao nguvu ya CCM inapwaya na Upinzani unapata nguvu ktk Jiji hili, lakini CCM ilikubali ifikwe na hayo kuliko kushughulika na THE GODFATHER.

NAIZUNGUZA CCM AMBACHO NDICHO CHAMA TAWALA TANGU UHURU - THE MOST POWERFUL INSTITUTION HAPA NCHINI...wanaoijua nafasi ya CCM katika maisha ya Watanzania nadhan wananielewa.

Lakini kama Kumbukumbu zetu ziko sahihi kidogo, mtakumbuka kila WAZIRI wa Serikali hii ambae kwa namna yeyote alijaribu kugusa interest ya Godfather aliishia pabaya hasa kwa kuipoteza nafasi yake na kusahaulika kabisa katika siasa za nchi hii.

NDUGU ZANGU..,tunaiishi Tanzania ambayo Criminals wananguvu isiyomithilika na isiyozuilika.

Miaka kadhaa nyuma tulimsikia mmoja ya WAZALENDO HALISI wa nchi hii akitamka kwa ujasiri kuwa atashughulika na wauza dawa za kulevya, mtakuwa mashahidi kuwa HAKUDUMU na hatunae tena..

Miezi michache tu alitokea kidume mwingine aliyekuwa akikamata Nyara za Serikali kila asubuhi na jioni..,MAJANGILI wakakosa kupumua na wakahisi kubughudhiwa..kama hamjasahu Huyo KIDUME sasa hivi sio Waziri tena na taarifa nilizonazo ni kuwa hivi sasa MAJANGILI HAWAUI WANYAMA bali wanawasafirisha wazima wazima tena kwa kutumia NDEGE za SERIKALI.

MUHONGO nae alifikiri kwa kuwa amefika nafasi ya uwaziri bila kupiga magoti ya kuomba hela ya kampen kwa MAGODFATHER wala hawategemei kwa lolote akadhani anaweza kufanya jambo la sawasawa..,Nadhan mnashuhudia kinachomkuta.

HII NDIO TISA (TANZANIA ILIVYO SASA)

Wanyonge, masikini wa nchi hii wanayashuhudia haya kuwa kila anayejitahidi kuwahurumia na kujaribu kuwapunguzia maumivu yao na hadha za maisha magumu anaishia kupotea..

Masikini hawa ni wanyonge, ni masikini hawana nguvu wanaishia kulalamika (tena kimya kimya) lakini nafikiri wanakoelekea sasa wataanza kupaza sauti zao..MIMI NITAUNGANA NAO siku wakipata UJASIRI HUO.

Kwa maoni yako kuna mambo ambayo sijaelewaz intention yake hasa kwa public.

Huyo Godfather unayedanganya uma siyo sahihi. Yeye amekuwa mwiba kwa wezi kwa kujaribu kufungua wananchi macho. Kwa mtu kama wewe ambaye ni mnufaika wa syndicates za Wizi, ufisadi (Mapapa), madawa ya kulevya (Nzowa issue), watapanya mali zaumma ikiwemo ardhi, na wasiotaka jamii ielewe mambo viongozi washenzi wa CCM wanaifanyia nchi mko sahihi kumuana ni adui wenu. Vyombo vya habari vya huyu unayemhadaa kwa umma vimesaidia sana kuleta uelewa wa mbambo yaliyofichika ikiwemo midahalo huru, taarifa za pande mbili kueleweka vizuri. amefichua maovu mengi na kusababisha CCM kuaibika na kutafuta mbinu nyingi chafu za kudhuru vyombo hivi vya habari. Uzuri huyu ndugu awe na tabia gani ila Kupitia kwa vyombo vyake vya habari taifa limekomboa raslimali nyingi, limejengea wazalendo uzalendo wa kweli na kuimarisha confidence ya wananchi.
KUPITIA VYOMBO HIVI VYA HABARI HUYU NDUGU MBALI NA KUTENDA HAKI NA KUAJIRI WENGI, amesaidia sana kukuwa kwa uhuru wa vyombo vya habari, kuamsha ari ya wanahabari kutngeneza habari sanifu, za kimaendeleo, makala constructive na ripoti mbalimbali maalumu ambazo ni matukio ya kweli wananchi wanafanyiwa na hakuna uwajibikaji kuwaadhibu wahusika. mfano migogoro ya ardhi.

Naona wanaosupport mawazo yako mufilisi ni wezi wenzako ambao walitaka wakishaiba waitwe heros kama Chenge (Mwaandaaji wa katiba ya CCM) ambao hawataki kabisa kuwajibika. Kiburi cha Muhongo, majidai, mbwembwe, dharau, dhihaka, uongo na kujiona anajua kila kitu ndo kilimuondoa kwenye uwaziri. fedha kama hazikukwapuliwa, kwa nini ajiuzulu?? Viongozi wenu CCM wezi na walafi ndio wanaosababisha maisha ya wananchi yanakuwa magumu na wanaichukia chama chenye serikali kwakuwa kimekosa kutoa sera zenye tija zaidi ya kujikita kwenye wizi, ufisadi, kuuwa aldino , na kuuza nchi kwa mafungu na rasilimali zake kwa wawekezaji wezi.

Kwa taarifa yako inaonesha una bifu binafsi ila jamii inaelewa fika muuaji wa Chama chenu cha wizi ni viongozi wachafu ikianzia kwa mwenyekiti mpaka kwa watendaji wadogo katika chama. mha husda mna hadaa na mnafanana kabisa na ibilisi mwaribifu. mfsno ni njia CCM inazotomua kuwadhuru waaduilifu wa chama na kuwainua waovu. Kuna waliolishwa sumu na wengine kuuawa au kudhuriwa kwa kusababishiwa ajali. mfano mzuri tu ni recent incidence ya Mgimwa na Dr. Mvungi. Jamii inaelewa fika unyama CCM inaoufanya kwa raia wema kupitia polisi na vyombo vya usalama. wapinzani wanajua uchungu wa kuwepo CCM kwa jinsi walivyotumia fedha na madaraka kukandamiza wapinzani mpaka kuanzisha hujuma ya kudhuru raia wakisingizia wapinzani. mfano ni Mwigulu nchemba na wengine.

Tumeshuudia rafu za chaguzi mbalimbali zikifanywa na CCM ba sio ripot za TV, tumeona rafu ndani ya chama, tumeona hujuma kwenye elimu, viongozi wasio na weledi wakipewa nafasi nyeti, maisha kuzidi kuwa magumu huku kina masaburi na viwanda vya ARV faki wakizidi kuneemeka, mahospitalini dawa shida na huduma mbovu, elimu ndio changa la macho, vyuo vikuu mikopo inatolewa kama dawa, sasa utamlaumu Godfather ndio kasababisha haya?????? Ufisadi, Wizi, tafakari na chukua hatua, muuanyi wa CCM ni UFISADI KIKWETE na Syndicate iliyomuweka madarakani. Udhaifu,hadaa, fedha, umasikini, visasi na umimi ndio vinaiharibu CCM.

God father anafanya ligal businesses ila CCM wanafanya illegal business kuanzaia madawa ya kulevia, pembe za ndovu, madini, warumwa (wanapelekwa uarabuni kiagent wakilaghaiwa kazi nzuri) na ndio in ayoharibu nchi.
Tutafakari pamoja.
 
kumjadili baba wawili ni kupoteza muda tu.!! ccm wanatapatapa wanatafuta mchawi.wamerikologa walinywe tu..!!
 
Mpaka hatua hii hatujaelezwa makosa ya Waziri Muhongo ni yepi. Raisi Kikwete alipomuweka kiporo kwa ahadi ya siku mbili baada ya uchunguzi, ilitegemewa angemfukuza kazi ktk muda huo iwapo angethibibitisha makosa. Ukweli kwamba kajiuzuru mwenyewe baada ya kukaa kiporo mwezi mzima ni ushahidi tosha kuwa hana makosa.
Muhongo amewachalenji waandishi wa habari wathibitishe kama kapokea rushwa wamekaa kimya. Mhariri wa Mtanzania anadai eti hakufanya due dilligence ya makabidhiano ya mitambo ya IPTL kana kwamba hiyo mitambo ni mali ya serikali kama ilivyo ya Kidatu na Mtela! Nadhani dhambi kubwa za Muhongo ni kusitisha malipo ya mabilioni kwa Mkono na kuingilia vitalu vya Mengi na kuwakatalia mabepali kweka sera ya gesi walivyotaka wako. Ni muhanga wa Kangaroo Court ya PAC na upotoshaji wa makusudi vyombo vya habari.

vibaraka wa ccm mna kazi kubwa kiwango cha uchafu wa ccm ni mkubwa sana hamuwez kuusafisha kwa kusingia mara MENGI mtatajana wengi tu msimu si ndo huu
 
Back
Top Bottom