Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,276
<br />Miwani yako umeipeleka wapi?
<br />
Ninayo ila inareflect mno kwenye colour
<br />Miwani yako umeipeleka wapi?
Naona bado hajaivaaMiwani yako umeipeleka wapi?
Kiongozi aisee muda si mrefu nitakuwa kama AsprinHappy birthday kiongozi,
Angalia sasa uzee ndo huo,
TAFAKARI, CHUKUA HATUA!!!!!!!
Yegomasika, nataka baadae nipitie maeneo ya mwaloni pale au kamanga ferry nichukue samaki wa ukweli halafu nijipumzishe kidogo maeneo ya La Kairo baadae niwapeleke madogo pale Salma Cone kidogo nitapitia Isamilo kucheki washikaji wawili watatu na kule Pasiansi na wengine wako maeneo ya Ghana na Kirumba na kule kwa wajeshi Kitangiri kuna jamaa wa Breweries wanakaa kule Bwiru wamesema niwacheki pia.I hope It's not your 21th Birthday, kwani 21th birthday watu huwa wanakunywa mpaka wanazirai. Happy Birthday buddy!.
Naona sasa Dena kapata miwani yake<br />
<br />
Ha ha sababu imepatikana aisee
Hapo kwenye bluu Club Continental panahusika eheeeHappy bday,live to the fullest and enjoy while u can
RR haya banaa lolAt least TF unaruhusiwa kuingia bar.....
Panga meza.....panga viti...happy birthday mkuu.....
Lol!!! Acha tu kuna haja ya kuifanyia re-branding upyaUr more than welcome...
hiyo simu tupa chooni..
Na mahasira nayo.. hahah lol
Hongera kwa Birthday Mkuu,sasa kama umetinga 18 wahi basi kuomba leseni ya udereva TRA maana muhimu sasa uanze kutoa lift hasa usiku ukitoka Runway,Maisha,Bilicanas,Samakisamaki.........!Sizinga Mkuu ndio nimegonga 18 yaani bado kijana kabisa lol
Hapo kwenye bluu Club Continental panahusika eheee
Bishanga that's one of my favourite placesHongera kwa Birthday Mkuu,sasa kama umetinga 18 wahi basi kuomba leseni ya udereva TRA maana muhimu sasa uanze kutoa lift hasa usiku ukitoka Runway,Maisha,Bilicanas,Samakisamaki.........!
Canter anaendesha nani PJ? Kama ni yeye basi nina uhakika Dompo litafika salamaHappy Birthday my dear. Kuna canter nimepakiza Dompo inakuja saa sita uipokee
18 naruhusiwa kuchungulia sasaunataka kwenda kuona khanga ndembendembe?shaurizako utapofoka macho bureeeeeeeeeeee,kuwa kwanza sawa eeeh?
Hahaha mambo ya Masai Camp yale acha tu lolHongera sana Ze Finest!
Sasa hata zile ishu za kule Maasai Camp tunaweza kuanza kuongelea!
Wakati ule nilikuwa nakuskiliza lakini kiaina nakumwaga mbaya!.. ha h a haaaa!
Enjoy my very young broda!
Hahaha Sizinga nafikiri ni muda muafaka sasa wa kutafuta mchumba au unasemaje?Hujanifahamisha bado mkuu...lakini sio mbaya kama upo 18 unaunganika na msanii ''LuLu" kwenye mambo yenu yaleeeee!! ya ku:bange::bange::msela::drum:
Thank you Keren_Happuch you are on the guest list don't miss outHongera sana TF.
Bwana akupe afya njema na maisha yenye baraka tele.
Enjoy your day and be blessed!