The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

Nchi ya Tanzania haina tatizo, tatizo ni kwako tu. Pole
Basi Kaa Kwa kutulia hiyo ndo CHADEMA ambayo tangu LISSU awe Mwenyekiti mmeipitisha kwenye Moto, lakini ndo kwanza Wananchi wanaikubali.

Ulivyo JINGA na zwazwa, unazungumzia Pesa za wafadhali, Mpuuzi usojua kwamba Akaunti zote za Chama Cha CDM ziko monitored na Serikali yenu ya Kifisadi.

Hata Ile Pesa la Ruzuki mkazuia.

Lkn hamjaweza kuua CHADEMA.


Mmewakamata ili iwe Tool ya Maridhiano, lkn nalo halitafanikiwa .


Kila mnalofanya linazidi kuwaharibia.

Ulichoandika, umeandika uharo
 
Mleta mada, jipige kifuani mara 3, srma mpumbavu mimi, shetani ninayemwabudu, ameniondolea akili na kunuacha mwendawazimu.
 
Chadema sio:

1. Lisu
2. Lema
3. Mbowe
4. Boni

Wenye chadema hawaonekani
 
Ni kweli, na kuchukua kwenyewe dola ni lazima upate kura hewa 31m.
hizo ni siasa amna atakaekuuliza, ukiamua ata kuchukua ela ukahonga viongozi waje upande wako yaaani yote sawa, ndo siasa zenyewe izo
 
Mzizi wa CDM ulikuwa ni mrefu mno. Mtandao wao ulikuwa ni mkubwa inatakiwa uwe na akili za uhakika ndio uelewe uzi wangu. Kama wewe unaakili za unga unga ni ngumu sana kuelewa.
Rudi studio ukatunge propaganda nyingine, hii imefail pakubwa. Hata kuku ukimtupia pumba za hivi hali. Ww jiandae kutoa ushahidi wa kura 31m zilipigwa na kina nani.
 
kwan nyerere alikua anatafuta kiti cha uraisi ama uhuru wa nchi? sheria za vyama vya siasa unazijua?
Serikali isiyowajibika ni hatari sana kwa mustakabli wa nchi. Wahalifu wote ni wafuatao;​
1. Wale wote waliokuwa wanaharibu mali za umma na watu binafsi
2. Waliotumia nguvu kubwa na kupelekea kuua baadhi ya waandamanaji na wasiokuwa kwenye maandamano( Hapa ni yule aliyeagiza na aliyetekeleza)
3. Walioshiriki kupiga kura mara mbilimbili kwenye zoezi ya uchaguzi( huu ni udanganyifu)
 
Vyama hua vinakufa baada ya kutoka kwenye Msingi wa Kuanzishwa kwake.

CHADEMA haijatoka kwenye msingi wa kuanzishwa kwake, ndo kwanza kimekita mizizi.

Kinachofanyika hapa ni kukilazimisha kukiua, Kwa kudhoofisha uongozi na raslimali fedha, shida bado kiko mioyoni kwa wananchi kwa sababu bado hawajatoka kwenye misingi ya kuanzishwa kwake.

Na mletaaada, CHADEMA ingekua inakufa kama unavo dai wewe, CCM wasinge kua wanahangaika nao kama ambavo hawahangaiki na CHAUMA au ACT
 
Serikali isiyowajibika ni hatari sana kwa mustakabli wa nchi. Wahalifu wote ni wafuatao;​
1. Wale wote waliokuwa wanaharibu mali za umma na watu binafsi
2. Waliotumia nguvu kubwa na kupelekea kuua baadhi ya waandamanaji na wasiokuwa kwenye maandamano( Hapa ni yule aliyeagiza na aliyetekeleza)
3. Walioshiriki kupiga kura mara mbilimbili kwenye zoezi ya uchaguzi( huu ni udanganyifu)
umegoma kuingia kwenye uchaguzi, kura gan hizo unasema zmeibiwa na hujaingia kwenye uchaguzi?

2) kipindi wabunge wako wanashinda viti ulishawahi kulalamika kura?
 
Inajivua gamba kama nyoka. CHADEMA haiwezi kujivua

CDM ya Lissu na Heche haihitaj kujivua gamba, Mbowe na wenzie kuwekwa pembani ndio ilikua kujivua Gamba, CDM imefungiwa zaidi ya miezi kadhaa kufanya siasa lkn mpaka leo watawala na vibaraka wake mnaiwaza haliyakua haijashiriki uchafuzi wenu.
 
Basi Kaa Kwa kutulia hiyo ndo CHADEMA ambayo tangu LISSU awe Mwenyekiti mmeipitisha kwenye Moto, lakini ndo kwanza Wananchi wanaikubali.

Ulivyo JINGA na zwazwa, unazungumzia Pesa za wafadhali, Mpuuzi usojua kwamba Akaunti zote za Chama Cha CDM ziko monitored na Serikali yenu ya Kifisadi.

Hata Ile Pesa la Ruzuki mkazuia.

Lkn hamjaweza kuua CHADEMA.


Mmewakamata ili iwe Tool ya Maridhiano, lkn nalo halitafanikiwa .


Kila mnalofanya linazidi kuwaharibia.

Ulichoandika, umeandika uharo
Alikuwepo Lyatonga Mrema na NCCR, alikuwa anasukumwa gari lake na wananchi, aliambulia kwenda kunywa kikombe kwa babu Loliondo.

Walikuwepo Malim Self na Lipumba na CUF ilikuwa inatisha. Walikuwa na msemo wa unaitwa Ngangali, waliambiwa na Said Mwema Polisi ni ngunguli. Walikutana na ngunguli huko Zanzibar walichapwa na wengine kupotea kabisa na kuwa wakimbizi mombasa.

Umri wako bado mdogo waulize wazee wako watakujuza. Likija suala la National Interest security is the only piority.

Serikali = CCM, Kuiangusha CCM ni kuiangusha serikali. Unaweza hilo?
 
Chadema sio:

1. Lisu
2. Lema
3. Mbowe
4. Boni

Wenye chadema hawaonekani
Ndio unajidanganya hivyo? Next Year kinafutwa na mkiendelea kitakuwa kikundi cha magaidi, Tanzania will hunt you down, hamtaamini.
 
umegoma kuingia kwenye uchaguzi, kura gan hizo unasema zmeibiwa na hujaingia kwenye uchaguzi?

2) kipindi wabunge wako wanashinda viti ulishawahi kulalamika kura?
MImi siongelei vyama hapa. Tunapotaka kudeal na uhalifu tusibague. Kuua,
umegoma kuingia kwenye uchaguzi, kura gan hizo unasema zmeibiwa na hujaingia kwenye uchaguzi?

2) kipindi wabunge wako wanashinda viti ulishawahi kulalamika kura?
Mimi siongelei vyama hapa. Wahalifu wote; wauaji, waporaji, walichoma sheli n.k, udanganyifu wa kura wote wanatakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Tusibague, hapa naona baadhi ya watu na kama wanataka wawatoe kafara na kubebeshwa mzigo.
 
Vyama hua vinakufa baada ya kutoka kwenye Msingi wa Kuanzishwa kwake.

CHADEMA haijatoka kwenye msingi wa kuanzishwa kwake, ndo kwanza kimekita mizizi.

Kinachofanyika hapa ni kukilazimisha kukiua, Kwa kudhoofisha uongozi na raslimali fedha, shida bado kiko mioyoni kwa wananchi kwa sababu bado hawajatoka kwenye misingi ya kuanzishwa kwake.

Na mletaaada, CHADEMA ingekua inakufa kama unavo dai wewe, CCM wasinge kua wanahangaika nao kama ambavo hawahangaiki na CHAUMA au ACT
Msingi wa kuanzishwa CHADEMA ni upi? Hebu tupatie Imani ya CHADEMA na Idiology yake. Usipojibu maswali haya jipige kifua uwe "Mimi Mwehu"
 
Nachojua CDM haijashiriki uchaguzi ila Kampeni zote neno kubwa ilikuwa ni Chadema , wameitwa watu wamekabidhi kadi za CdM majukwaani lakini wapi, wamemnunua Wenje kataja maneno ya kutisha kuhusu chama alichotoka lakini wapi wananchi hawajaichukia chadema wala kuipenda kijani.. uchaguzi umefanyika bila chadema Ak47 imetumika kuhalalisha matokeo ambayo hata mshindi hana furaha leo ukiifuta CDM kuna kitu kitabadilika? Tukae tujiulize tulipokosea ni wapi ili turudishe imani kwa wananchi... Inafika kipindi kweli viongozi wa serikali na Jeshi la polisi linafunga comment kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii kwamba wananchi wasitoe maoni wakipewa Taarifa? Watanzania Wanawaamini kina Mange na Sativa kuliko mamlaka ?? Hii ni maajab.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
😂😂😂😂😂😂 eleze hilo anguko la chadema sasa unazunguka crd ,bbt😂😂 ceo mbowe ,lissu hamna chama imara kama chadema ambacho kina pambana na dola. Heche & lissu wapo ndani

Dola inatumia nguvu kubwa kwa sababu inaelewa hatari ya hichi chama siyo yale mambo yakina zitto k😂😂
 
CDM ya Lissu na Heche haihitaj kujivua gamba, Mbowe na wenzie kuwekwa pembani ndio ilikua kujivua Gamba, CDM imefungiwa zaidi ya miezi kadhaa kufanya siasa lkn mpaka leo watawala na vibaraka wake mnaiwaza haliyakua haijashiriki uchafuzi wenu.
Haiwezi kusogea hapo ndipo mwisho wa Chadema. Owner wa Chadema ni mzee mtaei
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
ukitoka kuf¥rwa uwe unatuliza ubongo kwanza kabla ya kuja kunya huku jf
 
Haiwezi kusogea hapo ndipo mwisho wa Chadema. Owner wa Chadema ni mzee mtaei
CDM ya mzee mtei sio hii ya leo, ndio maana yanayotokea leo hayakuwahi kutokea tangu Tanganyika ipate uhuru. Hatupo mbali na M23 naamini hivyo, paka sio panya jaribu kumfungiq kila upande kisha utapata majibu.
 
Back
Top Bottom