The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

Conspiracy theories zitakuja nyingi sana, na CCM ndiyo ufundi wao upo hapo. Journalism imeshazikwa Tanzania, ukitaka habari ya kweli Tanzania nenda BBC Swahili au DW. Nchi kwisha, ni baada ya miaka karibu 25 tangu Nyerere kuwakabidhi nchi Mbwa. Mtu mweusi hakuna kitu anachoweza. Uchawi tu
Taarifa ikishatoka ni wajibu wa msomaji kutumia zake kichwani azichakate vizuri. Kipindi cha Nyerere taarifa kama hizi zilipokuwa zikitolewa, watu walikaa na kuanza kuzichakata kisha kuzijua kwa undani zaidi.

Mwalimu aliongea na kusema taarifa inatakiwa itengenezwe vizuri na iweze kumfaa mlaji. Inatakiwa ipikwe inukie na iweze kusomeka na kueleweka. Natumai kwa kigezo cha Mwalimu, taarifa yangu hii imetimia kwenye nyanja zote.

Imebaki sasa kwa walaji wasio na mihemko waisome kwa undani, waitafakari na kisha watafute ukweli.
Wajiulize maswali, je IMBEJU haipo? BBT haipo CHADEMA haipo? CRDB haipo, TADB haipo? 4U Movement haikuwepo?
Baada ya kupitia hatua kwa hatua kwa kutumia kanuni ya uandhishi wa habari, wengine waingie kwenye uchunguzi wa kina na waweze kuongezea palipopelea.

Lakini kuja kuipiga nyundo taarifa, kwa kuibeza huku ukilinganisha na vyombo vingine vya habari; ni kukosea kanuni za usomaji wa watu makini.

Ushauri; tumia muda wako kuunganisha dots zilizo kwenye andiko hili kisha utapata japo mbili tatu.

Asante kwa kunisikiliza. Ngoja nikapate supu ya uyoga
 
Wacha mkwara, mkifute hata sasa.

Sikila Mamlaka mnayo? Mkifute, Kuhusu Ugaidi, mnautaka? Mkifute, mkiite kikundi Cha Ugaidi.

Hivi wewe zwazwa , unadhan Tanzania ni kanchi kwako katikatinya Bahati, kwamba hakifikiki?.

Hilo Bichwa umejaza matope?.
Sound umechukua simu ya baba yako. Baba yako kaenda wapi?
 
CDM wamefanikiwa kuwapa ujasiri wananchi, naomba niseme neno

Ndio CDM mtaifanya vyovyote ili ife, ila mmekiona au mmeuona ujasiri mmoja wapo kwa kilichotokea makambako na October 29.
Ile inaitwa ujasiri na kutokuogopa chochote, na ndicho walichokibakiza ndani ya mioyo yao...
 
Ndio unajidanganya hivyo? Next Year kinafutwa na mkiendelea kitakuwa kikundi cha magaidi, Tanzania will hunt you down, hamtaamini.
Kwa hiyo hadithi yote uliyotunga hapo juu yote ni kutafuta sababu ya kufuta Chadema? Ethical standard za CCM kweli kwisha kabisa
 
Lissu ni mwana NCCR siyo mnufaika wa CHADEMA. Lissu ni muhanga wa kujaribu kuawa na mahasimu wake ndani ya CHADEMA analijua hilo.

Wanaonufaika na CHADEMA wanajulikana.
Hivi bado mnatumia nguvu na muda wenu kutulazimisha kuwa Lissu kupigwa shaba pale Dodoma ilikuwa ni kazi ya watu wa CHADEMA?

Kwa lugha nyingine, mnataka kutuambia mna mamluki wenu ndani ya CHADEMA waliofanya hiyo kazi maana mto wa wanaounga mkono juhudi hauonekani kukauka kila mara hali inapokuwa ngumu upande huo.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
Watu wanalipwa mishahara, wanaendesha maVX halafu kazi yao ni kukaa maofisini kutunga mastori ya kuwadanganya watanzania. Hii nchi inaenda kuteketea mbele ya macho yetu.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
Duh sikujua mtu unaweza kuandika Aya ndefu hivi alafu uwe ujinga

Chadema Kwa sasa haiko kwenye maofisi au majukwaani
Watu wameshaweka moyoni

Huo ndo ushindi mkubwa wa chadema hata mkifuta Bado itaibuka ushindi TU

Huoni viongozi wako Gerezani lakini wanasikilizwa kuliko walioko kwenye kampeni
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
Hilo ndo kosa wanalofanya ccm kuamini kwamba wakiondoa chadema ndo kuleta amani ya nchi. Kiini cha tatizo sio chadema, chadema ni wasambazaji tu wafikra za wananchi kuhusu haki. Hizo fikra haziwezi kufa kwa sababu umeua chadema. Upinzani upo na haujaletwa na chadema.
 
Back
Top Bottom