The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

The End of the End of CHADEMA on planet Earth - Ngoma ilivuma sasa inapasuka (Watu wote wenye akili wanajua hili)

President of China

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
31,546
Reaction score
89,514
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
 
chadema hii ya Lissu ya Juzi ambayo mwenyekit hana offce hana mwaka kufuta chadema inawezakana likaja kua kosa kubwa Nguvu yote itarudi kwa Umma watu hawataamini vyama tena Chadema ya Lissu hii ndo imekuja kuanika ukweli wote
 
Hofu kubwa ya CRDB ni ujio wa TADB.

1762592233143.png


1762592264436.png



TADB imekuja kukomboa watanzania kwenye kilimo. CRDB imeacha lengo lake.

TADB itatukomboa kutoka kwenye ombwe
 
chadema hii ya Lissu ya Juzi ambayo mwenyekit hana offce hana mwaka kufuta chadema inawezakana likaja kua kosa kubwa Nguvu yote itarudi kwa Umma watu hawataamini vyama tena Chadema ya Lissu hii ndo imekuja kuanika ukweli wote
Lissu ni mwana NCCR siyo mnufaika wa CHADEMA. Lissu ni muhanga wa kujaribu kuawa na mahasimu wake ndani ya CHADEMA analijua hilo.

Wanaonufaika na CHADEMA wanajulikana.
 
chadema hii ya Lissu ya Juzi ambayo mwenyekit hana offce hana mwaka kufuta chadema inawezakana likaja kua kosa kubwa Nguvu yote itarudi kwa Umma watu hawataamini vyama tena Chadema ya Lissu hii ndo imekuja kuanika ukweli wote
chama cha siasa hakitakiwi kufanya harakati, kinatakiwa kufocus kuchukua dola
 
Lissu ni mwana NCCR siyo mnufaika wa CHADEMA. Lissu ni muhanga wa kujaribu kuawa na mahasimu wake ndani ya CHADEMA analijua hilo.

Wanaonufaika na CHADEMA wanajulikana.
Mahasimu wa Lissu ndani ya Chadema ndo waliweza kutoa camera Nyumba za Viongozi Dodoma karibu na Makazi ya mawaziri na Naibu spika wa Bunge kumbe ndo waligomaea uchunguzi uhuru kutoka nje kumbe ndo walikua wanapiga marufuku watu kukusanyika kumwombea Lissu sometimes tuje na Propaganda za maana
 
Mahasimu wa Lissu ndani ya Chadema ndo waliweza kutoa camera Nyumba za Viongozi Dodoma karibu na Makazi ya mawaziri na Naibu spika wa Bunge kumbe ndo waligomaea uchunguzi uhuru kutoka nje kumbe ndo walikua wanapiga marufuku watu kukusanyika kumwombea Lissu sometimes tuje na Propaganda za maana
Mzizi wa CDM ulikuwa ni mrefu mno. Mtandao wao ulikuwa ni mkubwa inatakiwa uwe na akili za uhakika ndio uelewe uzi wangu. Kama wewe unaakili za unga unga ni ngumu sana kuelewa.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupingana na mimi ninaposema kwa CHADEMA ilipofikia kwa sasa ni pema peponi. Manifesito imeishia hapa. Watu wanataka waone kabisa anguo na kuteketea kwao.

Cinema zote hizi zinazoendelea ni kutokana na anguko hili. CHADEMA ilikuwa imesimika mizizi na ilikuwa na mfumo mkubwa sana. Kwa juu juu kilikuwa kinaonekana kama Chama dhaifu kumbe ndani yake ilikuwa imesimika mifumo mzito.

Kuanguka kwa CHADEMA ndio mwanzo wa kuanguka kwa CRDB, watu wenye ujuzi watakubaliana na mimi.
CRDB ilikuwa inatumika kama kichaka cha kuchukua pesa kutoka kwa wahisani. Pesa za mazingira na pesa nyingi kutoka kwenye mashirika ya kimataifa ziliingizwa huko CRDB. Vijana waliokuwa wanyenyekevu kwa CDM walipata mavumba ya kumwaga kutoka mfereji huo. Pesa ziliingia huko zilikuwa ni za bure tu. CRDB wakaanzisha mradi kipofu uliokuwa unaitwa IMBEJU, vijana watiifu wa CHADEMA walikula mavumba ya kutosha.

Mkurugenzi wao aliyekuwepo alijaribu kugombea ubunge ndani ya CCM na alipewa baada ya kuachia ngazi ndani ya CRDB. Watu walikuwa wanamchora tu.

Nchi ikaona huu ni ujinga sasa tutachezewa mchezo huu mpaka lini? Ikaanzishwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), ili kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi. Lakini mpango ulisukwa vilivyo. Ilianzishwa faster faster Cooperative Bank of Tanzania (Coop Bank Tanzania) - TCB na mwenyekiti wa board akawekwa kuwa mkurugenzi wa CRDB, hii ni kwaajili ya kufedhehesha TADB. Kumbuka waziri alikuwa anapigia chepuo TCB alikuwa ni mmoja wa vijana wa For U Movement kipindi cha mamvi kukatwa kwenye uraisi.

Mwanzilishi wa nyama choma festival aliwekwa kuwa sehemu ya mradi wa BBT. Huo mradi wa kilimo wenye lengo la kusaidia vijana. Hii yote ni kuweka ulaghai lengo ni kuiua TADB. Mradi wa BBT umeshindikana, vijana huko mashambani wanapigana miti tu. Maana original plan ya BBT ilikuwa ni kuipeleka kwenye makambi ya JKT vijana wasimamiwe na jeshi kufanya masuala yakilimo.

Back to the topic: Baada ya watafiti kuona chain ilivyo ndefu waliamua kuanza kwenye mshono kwanza CHADEMA. CHADEMA hawakuliona anguko lao kuwa linakuja, walijiaminisha kuwa wameweka mizizi kila kona.

Baada ya uchaguzi wao kumuengua Mbowe The CEO, ilikuwa ni sehemu ya mkakati. Kwa sasa ni final ni kama kibogoyo kula ubwabwa tu.
Uharo mtupu !! Wewe unadhan CHADEMA ndio tatizo la Nchi hii?

Kwan wanayoyasimamia CHADEMA yanatofauti nanyanayopigiwa kelele na Wananchi?.


Ifuteni Sasa, mbona mmechelewa.
 
Nyerere asingekuwa mwanaharakati tusingepata Uhuru. Hata wewe kwenye nyendo zako za utafutaji wa kipato huwa unafanya uhanaharakati fulani ili deal zako zitike.
kwan nyerere alikua anatafuta kiti cha uraisi ama uhuru wa nchi? sheria za vyama vya siasa unazijua?
 
Ata CCM utafika mwisho wake hakuna mwalimu mzuri Kama mudq
 
Back
Top Bottom