jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Shukran mkuu,tatizo ni muda kusema ukweli,hata asubuhi kabla ya kukamata vitabu huwa nachungulia kwa muda wa at least nusu saa,ni muda mfupi sana wa kuweza kuchangia kutokana na ukweli mijadala huwa mara nyingi inafurika hapa ukumbini.Mkuu ni siku nyingi sijasoma makala yako iliyotulia kama hii! Sasa tujiulize baada ya hii analysis tuanzie wapi. Tujadili.
In all, big up and thanks for this splendid analysis!
Masanja,
Hata hivyo kuna mijadala ambayo inakugusa na inakuwa vigumu kuacha kuongezea kamuda kidogo ka ku type something. Ili uweze kutype hoja nzuri ni lazima uwe na muda na uwe umetulia na kuweza kuisoma mada iliyoletwa hapa JF.
Mapumziko kidogo ya summer yanaanza baada ya wiki ijayo na God willing tutapa muda zaidi.